Ukweli ni kwamba kila mtu ana kaharufu kake

Ukweli ni kwamba kila mtu ana kaharufu kake

KING MIDAS

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2010
Posts
8,589
Reaction score
16,936
Yaani hata uoge vipi ka harufu kako katakuwepo tu, wewe huto kasikia, watakasikia watu wa pembeni yako.

Hata ujisugue mwili mzima na limao katakuwepo tu. Ukido, kanahamia na kwa mwenzako, mnatengene kaharufu kenu kengine.

Ukizini na mchepuko ukirudi home, hata uoge vipi, mwenzako atakahisi, hata asipokusema, kuna siku atakwambia kwamba unachepuka.
 
Write your reply...kuna binamu yangu hivi tulikuwa tukifanya matusi basi pua langu moja kwa moja kwapani kwake.nilikuwa napenda sana jamani
 
nikweli hata mie kuna harufu flani naipenda sana ajabu wenye hiyo harufu wanaichukia balaa. yan huwa nachukia wakipulizia marashi badala ake wabaki vilevile na harufu zao ili mie pua zang zienjoy
 
Hivi wakuu,hawa wazungu huwaga na kaharufu Fulani hivi amazing..ni nini Ile wakuu ni perfume..au nini?
 
Tabia za manukato hizo, mama mwenye nyumba rahisi kukustukia manukato tofauti na yako kama ulikumbatia, au ulijamiiana huko nje
 
Back
Top Bottom