KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
Mnyakyusa mwenzio Unique Flower ndio huenda ana harufu yako, maana nyie mnanyolana wenyewe kwa wenyeweMwenye harufu yangu, fasta tuonane PM
Mie Masai kitu ya Masai Mara Sasa wewe unaniambia Nini??Mnyakyusa mwenzio Unique Flower ndio huenda ana harufu yako, maana nyie mnanyolana wenyewe kwa wenyewe
Sawa ngomosi ya nditoMie Masai kitu ya Masai Mara Sasa wewe unaniambia Nini??
Ngomosi ??Sawa ngomosi ya ndito
Huyo haogi vizuri ma pp ndio maana ananuka hivyooWengine kama beberu.
Wewe si masai?Ngomosi ??
Ndio Nini??
Wale wananukaga kama mboga ya walawi😁Hivi wakuu,hawa wazungu huwaga na kaharufu Fulani hivi amazing..ni nini Ile wakuu ni perfume..au nini?
Ile ni harufu ya Sunscreen cream / lotion wanapaka kujilinda na jua.Hivi wakuu,hawa wazungu huwaga na kaharufu Fulani hivi amazing..ni nini Ile wakuu ni perfume..au nini?
Oooh asante Kwa ufafanuzi..Ile ni harufu ya Sunscreen cream / lotion wanapaka kujilinda na jua.
AiseeWrite your reply...kuna binamu yangu hivi tulikuwa tukifanya matusi basi pua langu moja kwa moja kwapani kwake.nilikuwa napenda sana jamani