Ukweli ni kwamba Lissu amekubali tu "collective responsibility" ila yeye alipinga maridhiano tangu mwanzo

Ukweli ni kwamba Lissu amekubali tu "collective responsibility" ila yeye alipinga maridhiano tangu mwanzo

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Licha ya Lissu kuomba radhi kwa kile kinachoonekana ni kukubali maridhiano na serikali ya Raisi Samia, ukweli ni kwamba, Lissu amekubali akiwa ni sehemu ya uongozi wa CHADEMA uliofika hayo makubaliano ya kile kinachoitwa 4R.

Lissu alithibitisha kutokuwa muumini wa 4R katika mahojiano na mtangazaji wa ITV, Farhia Middle kwenye kipindi cha "Dakika 45" wiki kama tatu hivi zilizopita ambapo alisema kuwa yeye binafsi alipinga swala la maridhiano akiamini kulikuwa hakuna dhamira ya dhati ya hilo jambo.

Kwahiyo, kwa Lissu kuomba radhi, ni kukubali tu uwajibikaji wa pamoja(collective responsibility).

Nikipata ile clip nitaiweka.


View: https://www.youtube.com/watch?v=ZL2V3hUw5Hg&pp=ygUZdHVuZHUgbGlzc3UgZGFraWthIDQ1IGl0dg%3D%3D
 
uzuri wa LISSU hawezi unafki, na ana speak his mind bila kujali mtapenda au hamtapenda, LISSU alishasema hakuna utofauti wowote kati ya maza na jiwe maana yote aliyofanya jiwe alifanya na maza kama msaidiz wake, lkn pia ccm ni ile ile kwahyo hakuwa radhi kukaa mezani nao akiamini hamna kitu ni danganya toto... bahat mbaya alibd amheshimu mwenyekiti.
leo ni dhahri hakuna 'R' hata moja inayotekelezwa, show zianpigwa hadharani bila wasiwasu. kama mwoga unabd ujikalie kimya.
 
Licha ya Lissu kuomba radhi kwa kile kinachoonekana ni kukubali maridhiano na serikali ya Raisi Samia, ukweli ni kwamba, Lissu amekubali akiwa ni sehemu ya uongozi wa CHADEMA uliofika hayo makubaliano ya kile kinachoitwa 4R.

Lissu alithibitisha kutokuwa muumini wa 4R katika mahojiano na mtangazaji wa ITV kwenye kipindi cha "Dakika 45" wiki kama tatu hivi zilizopita ambapo alisema kuwa yeye binafsi alipinga swala la maridhiano akiamini kulikuwa hakuna dhamira ya dhati ya hilo jambo.

Kwahiyo, kwa Lissu kuomba radhi, ni kukubali tu uwajibikaji wa pamoja.

Nikipata ile clip nitaiweka.
ni muhimu tukampatia muda wa kutosha apumzike itapendeza zaidi huyo muungwana 🐒
 
Sisi wengine tuliwaambia….lakini kama ilivyo ada, mkatubeza.

Haya, kiko wapi sasa?

Mangapi tuliwaambia na mkatubeza, mkatukebehi?
Hata hivyo, faida ya kumpa mtu nafasi halafu akaharibu/mambo yakiharibika, yeye ndio atakuwa wa kulaumiwa.
 
Nisawa ktk dhana ya collective leadership ilibidi akubaliane maamuzi ya wengi kama alivyofanya mnyika wakati wa ujio wa LOWASA
 
Hata hivyo, faida ya kumpa mtu nafasi halafu akaharibu/mambo yakiharibika, yeye ndio atakuwa wa kulaumiwa.
Ok, Sawa.

Iła akitoka Samia halafu akaja mwingine na kikafanyika hicho hicho kilichofanyika wakati wa Samia, baadhi ya watu watajenga hoja hiyo hiyo ya kumpa mtu nafasi.
 
Ok, Sawa.

Iła akitoka Samia halafu akaja mwingine na kikafanyika hicho hicho kilichofanyika wakati wa Samia, baadhi ya watu watajenga hoja hiyo hiyo ya kumpa mtu nafasi.
That would be insanity according to Albert Einstein.
 
Namkubali sana TL.

Ilikuwa lazima Samia apewe nafasi ya kuonesha utofauti. Nchi ilikuwa desperate kupata Rais mtenda haki. Ameprove failure hana budi kukaa pembeni.

Kuepusha haya yote ndio maana tunahitaji katiba nzuri ambayo mtu yeyote mwenye miaka kuanzia 45 anaweza kuongoza nchi kwa kuzingatia misingi na si utashi binafsi.
 
Namkubali sana TL.

Ilikuwa lazima Samia apewe nafasi ya kuonesha utofauti. Nchi ilikuwa desperate kipata Rais mtenda haki. Ameprove failure hana budi kukaa pembeni.

Kuepusha haya yote ndio maana tunahitaji katiba nzuri ambayo mtu yeyote mwenye miaka kuanzia 45 anaweza kuongoza nchi kwa kuzingatia misingi na si utashi binafsi.
Apewe nafasi ya nini ilhali yeye alikuwa makamu wa Magufuli na hakujiuzulu wala kupinga chochote kilichokuwa kinaendelea kwenye serikali yao?

Walau angekuwa ni outsider, hapo ingeleta maana kumpa nafasi.

Hakuwa outsider. Alikuwa insider. Alikuwa namba 2.

Sasa watu wanashangaa nini kwa haya yote yanayotokea?

Mbona wengine tuliyaona haya toka mwanzo.

Yeye mwenyewe Samia alisema yeye na Magufuli ni kitu kimoja.

Alisema hivyo less than a month baada ya kuapishwa kuwa Rais.

Na simzushii. Simwekei maneno mdomoni. Huyu hapa yeye mwenyewe akisema kwa maneno yake: kwa msaada tu, anzia sekunde ya 30.


View: https://youtu.be/h8PI67aF0Sw?si=Irkkb22l-LdPgceS

Sasa mtu anawaambieni hivyo na nyinyi bado mnampa nafasi? Mbona wengine tuliyaona haya mapema kabisa? Nyie wenzetu hamna uwezo wa discernment?

Shida ni nini? Upumbavu? Naivety? Au vyote kwa pamoja?
 
Apewe nafasi ya nini ilhali yeye alikuwa makamu wa Magufuli na hakujiuzulu wala kupinga chochote kilichokuwa kinaendelea kwenye serikali yao?

Walau angekuwa ni outsider, hapo ingeleta maana kumpa nafasi.

Hakuwa outsider. Alikuwa insider. Alikuwa namba 2.

Sasa watu wanashangaa nini kwa haya yote yanayotokea?

Mbona wengine tuliyaona haya toka mwanzo.

Yeye mwenyewe Samia alisema yeye na Magufuli ni kitu kimoja.

Alisema hivyo less than a month baada ya kuapishwa kuwa Rais.

Na simzushii. Simwekei maneno mdomoni. Huyu hapa yeye mwenyewe akisema kwa maneno yake: kwa msaada tu, anzia sekunde ya 30.


View: https://youtu.be/h8PI67aF0Sw?si=Irkkb22l-LdPgceS

Sasa mtu anawaambieni hivyo na nyinyi bado mnampa nafasi? Mbona wengine tuliyaona haya mapema kabisa? Nyie wenzetu hamna uwezo wa discernment?

Shida ni nini? Upumbavu? Naivety? Au vyote kwa pamoja?

NN, Shift of power ilipaswa kufanyikaje since katiba yetu hairuhusu uchaguzi baada ya kifo cha Rais? Hakuna mpumbavu wala Naive hapa.

Rais Samia ndiye alikuwa successor wa Magufuli kwa mujibu wa katiba, ilikuwa lazima apewe benefit of the doubt kama ilivyofanyika.

Ulitakaje? Kwamba after msiba wa the late Magufuli (RIP) watu waanze kumzonga Samia bila kutaka kufahamu ataongoza vipi? Haukumbuki waliojaribu kumkosoa Rais Samia toka mwanzo walikumbana na “gender card” played well by Some of CCM supporters!?

Katiba yetu ni mbovu, ndio maana kuna muda tunaishi kwa hisani ya “Utashi wa Rais husika “

Kuna mengi sana ya kunavigate kwa viongozi wa upinzani, Na mimi huwa naona wanajaribu, Ama sivyo wasipokuwa flexible wangeshauwawa wote au kuwepo jela au kukimbia nchi, CCM ina hiyo power ya kumfanya kila mpinzani wake awe miserable.
 
NN, Shift of power ilipaswa kufanyikaje since katiba yetu hairuhusu uchaguzi baada ya kifo cha Rais? Hakuna mpumbavu wala Naive hapa.
Transfer of power ilitakiwa kufanyika kwa mujibu wa katiba na sheria na hicho ndicho kilichofanyika.
Rais Samia ndiye alikuwa successor wa Magufuli kwa mujibu wa katiba, ilikuwa lazima apewe benefit of the doubt kama ilivyofanyika.

Hapana. Haikuwa lazima kumpa benefit of doubt na ndo maana sisi wengine hatukumpa na muda ume prove kwamba tulikuwa sahihi.

Tulikuwa sahihi kwa sababu shida haikuwa mtu. Shida ilikuwa ni CCM. Hivyo haijalishi ni nani aliyepo madarakani. Madhali anatoka CCM,, hakutokuwa na jipya.

Awe baba, awe mama, awe babu, bibi, shangazi, mjomba, binamu, na kadhalika, kama anatoka CCM, hakutokuwa na jipya.

Samia huyu huyu aliyesema kwamba hata kama CCM wasipopata kura za kutosha, bado watatangazwa washindi ndo mliamua mumpe benefit of doubt?

Samia aliyesema kwamba waliompiga risasi hawakuwa polisi wa serikali ya CCM maana wangekuwa ni wa kwao wasingekosea kulenga, ndo wa kupewa benefit of doubt?

I couldn’t be that foolish to believe in her.

When people tell and show you who they are, believe them.

Samia alisema yeye na Magufuli ni kitu kimoja. I believed her. And guess what? I was 💯% right.
Ulitakaje ? Kwamba after msiba wa the late Magufuli (RIP) watu waanze kumzonga Samia bila kutaka kufahamu ataongoza vipi? Haukumbuki waliojaribu kumkosoa Rais Samia toka mwanzo walikumbana na “gender card” played well by Some of CCM supporters!?
Mtu yeyote anayeamua kucheza karata ya kijinsia ujue hana hoja ndo maana anakimbilia kwenye jinsia.

Mimi kwa upande wangu nilikuwa clear kabisa kwa kuzingatia uhalisia.

Mtu aliyekuwa makamu wa Magufuli na ambaye akiwa makamu alitoa kauli nyingi tata, nisingeweza kuwekeza matumaini yangu kwake.

Angekuwa ni mtu tofauti kabisa, hapo labda cautiously ningeweza kumpa nafasi.

But the fact that she was Magufuli’s vice president, that’s all I needed to know that she won’t be much different.

And time proved me right.
Katiba yetu ni mbovu, ndio maana kuna muda tunaishi kwa hisani ya “Utashi wa Rais husika “

Kuna mengi sana ya kunavigate kwa viongozi wa upinzani, Na mimi huwa naona wanajaribu, Ama sivyo wasipokuwa flexible wangeshauwawa wote au kuwepo jela au kukimbia nchi, CCM ina hiyo power ya kumfanya kila mpinzani wake awe miserable.
Okay, ndo maana leo majuto kawa mjukuu.

Mbowe alifungwa kwa miezi nane, kama sijakosea, baada tu ya Samia kuwa Rais.

Alizushiwa kesi ya ughaidi. Halafu anatoka na kuanza kuimba mapambio ya Samia.

Where they do that at?
 
Transfer of power ilitakiwa kufanyika kwa mujibu wa katiba na sheria na hicho ndicho kilichofanyika.


Hapana. Haikuwa lazima kumpa benefit of doubt na ndo maana sisi wengine hatukumpa na muda ume prove kwamba tulikuwa sahihi.

Tulikuwa sahihi kwa sababu shida haikuwa mtu. Shida ilikuwa ni CCM. Hivyo haijalishi ni nani aliyepo madarakani. Madhali anatoka CCM,, hakutokuwa na jipya.

Awe baba, awe mama, awe babu, bibi, shangazi, mjomba, binamu, na kadhalika, kama anatoka CCM, hakutokuwa na jipya.

Samia huyu huyu aliyesema kwamba hata kama CCM wasipopata kura za kutosha, bado watatangazwa washindi ndo mliamua mumpe benefit of doubt?

Samia aliyesema kwamba waliompiga risasi hawakuwa polisi wa serikali ya CCM maana wangekuwa ni wa kwao wasingekosea kulenga, ndo wa kupewa benefit of doubt?

I couldn’t be that foolish to believe in her.

When people tell and show you who they are, believe them.

Samia alisema yeye na Magufuli ni kitu kimoja. I believed her. And guess what? I was 💯% right.

Mtu yeyote anayeamua kucheza karata ya kijinsia ujue hana hoja ndo maana anakimbilia kwenye jinsia.

Mimi kwa upande wangu nilikuwa clear kabisa kwa kuzingatia uhalisia.

Mtu aliyekuwa makamu wa Magufuli na ambaye akiwa makamu alitoa kauli nyingi tata, nisingeweza kuwekeza matumaini yangu kwake.

Angekuwa ni mtu tofauti kabisa, hapo labda cautiously ningeweza kumpa nafasi.

But the fact that she was Magufuli’s vice president, that’s all I needed to know that she won’t be much different.

And time proved me right.
Mlikuwa sahihi, na hatimaye muda umesema.

We’re just hoping for the best.
 
Back
Top Bottom