NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Unafiki siyo tusi wala neno baya.
Samia pamoja na kuwa alikuwa msaidizi wa Hayati JPM lakini kwa matendo yake ni wazi aliishi na marehemu kinafiki.
Huwezi kuyapuuza ya msaidizi wako endapo ulikuwa naye sawa katika utendaji na kosa kubwa alilolifanya ni kutokujiuzulu ili angalau historia ingekuwa upande wake.
Lakini kwa namna anavyofanya sasa kuyapongeza ya JPM kinafiki si haki hata kidogo.
Yeye afanye yake na asijifiche katika uswahili bwana, tumechoka na hadithi zake.
Ya jpm ni yapi au kama yale ya kuchoma vifaranga, kupiga wapinzani marisasiUnafiki siyo tusi wala neno baya.
Samia pamoja na kuwa alikuwa msaidizi wa Hayati JPM lakini kwa matendo yake ni wazi aliishi na marehemu kinafiki.
Huwezi kuyapuuza ya msaidizi wako endapo ulikuwa naye sawa katika utendaji na kosa kubwa alilolifanya ni kutokujiuzulu ili angalau historia ingekuwa upande wake.
Lakini kwa namna anavyofanya sasa kuyapongeza ya JPM kinafiki si haki hata kidogo.
Yeye afanye yake na asijifiche katika uswahili bwana, tumechoka na hadithi zake.
maneno ya waziri ni nonsense
Mkuu, unaeleweka kwa uliyoeleza hapa; lakini kweli unaweza wewe kujibu swali nikikuuliza hapa?Unafiki siyo tusi wala neno baya.
Samia pamoja na kuwa alikuwa msaidizi wa Hayati JPM lakini kwa matendo yake ni wazi aliishi na marehemu kinafiki.
Huwezi kuyapuuza ya msaidizi wako endapo ulikuwa naye sawa katika utendaji na kosa kubwa alilolifanya ni kutokujiuzulu ili angalau historia ingekuwa upande wake.
Lakini kwa namna anavyofanya sasa kuyapongeza ya JPM kinafiki si haki hata kidogo.
Yeye afanye yake na asijifiche katika uswahili bwana, tumechoka na hadithi zake.
KweliUkubali pia, kwa baadhi ya watu wengi, yeye kujishikamanisha na marehemu, inakuwa ni kasoro kubwa sana.
Wiki iliyopita nilikuwa Mwanza, kuna watu walikuwa 8 hivi wakimwongelea marehemu, kuna mengine waliyokuwa wakitamka dhidi ya marehemu hata waliokuwa wanamchukia, hawawezi kutamka. Hata mimi siwezi kuyatamka hapa. Amemaliza safari ya Duniani, kilichobakia ni yeye na Muumba. Lakini kwa ujumla kuna watu walikuwa na chuki zilizopindukia dhidi ya marehemu kutokana na matendo yake marehemu yaliyowaumiza wengi.
Mama hapwai anajua anachokifanya. NonseseMama amechemka sana anajitajid kumponda Magufuli shida ni kuwa anapwaya sana hana uwezo kumfikia hata kidogo tu ya alichofanya magu
Kwani nani alikuwa naye? Samia anaamini kwenye itikadi za kiliberali, mwendazake anaamini kwenye primitive communalism 😆😆 sasa unategemea nini?Unafiki siyo tusi wala neno baya.
Samia pamoja na kuwa alikuwa msaidizi wa Hayati JPM lakini kwa matendo yake ni wazi aliishi na marehemu kinafiki.
Huwezi kuyapuuza ya msaidizi wako endapo ulikuwa naye sawa katika utendaji na kosa kubwa alilolifanya ni kutokujiuzulu ili angalau historia ingekuwa upande wake.
Lakini kwa namna anavyofanya sasa kuyapongeza ya JPM kinafiki si haki hata kidogo.
Yeye afanye yake na asijifiche katika uswahili bwana, tumechoka na hadithi zake.
Ajitenge mara ngapi?Kujitenga na JPM ni samaki nje ya maji,ajaribu yetu macho.
kafanya baya gani hadi umefikia huko ndugu.mbona sisi tunamwona yuko vizuri.au ulitaka kacheo. maana unaroroma macho yamekutokaUnafiki siyo tusi wala neno baya.
Samia pamoja na kuwa alikuwa msaidizi wa Hayati JPM lakini kwa matendo yake ni wazi aliishi na marehemu kinafiki.
Huwezi kuyapuuza ya msaidizi wako endapo ulikuwa naye sawa katika utendaji na kosa kubwa alilolifanya ni kutokujiuzulu ili angalau historia ingekuwa upande wake.
Lakini kwa namna anavyofanya sasa kuyapongeza ya JPM kinafiki si haki hata kidogo.
Yeye afanye yake na asijifiche katika uswahili bwana, tumechoka na hadithi zake.
Hakua mtu muungwana kabisaYule alikua anawaponda watangulizi wake laivu. Akadiriki kusema wanawashwa. Akaenda mbali kuwatuma wahuni akina sabaya, hapi, makonda na musiba wawatukane na kuwazodoa hadharani. Mwacheni avune alichopanda na kukipalilia.
Hahahaaaaaa. Halafu mkuu angesubiri awamu ya Saba tu aache nongwaIla mkuu kwa nn umebadilisha ID?
Kuna haja ya kubadilisha katiba kuhusu upatikanaji wa VP na madaraka yake awe tu Deputy PresidentUnafiki siyo tusi wala neno baya.
Samia pamoja na kuwa alikuwa msaidizi wa Hayati JPM lakini kwa matendo yake ni wazi aliishi na marehemu kinafiki.
Huwezi kuyapuuza ya msaidizi wako endapo ulikuwa naye sawa katika utendaji na kosa kubwa alilolifanya ni kutokujiuzulu ili angalau historia ingekuwa upande wake.
Lakini kwa namna anavyofanya sasa kuyapongeza ya JPM kinafiki si haki hata kidogo.
Yeye afanye yake na asijifiche katika uswahili bwana, tumechoka na hadithi zake.
Hamia Burundi, tuachie Tanzania yetuunafiki unamuumbua waziwazi...kesho asirudie kauli zke
watu wanamchora tu kwa sasa
Mara Mimi na Magufuli ni kitu kimoja,yeye mwenyewe alishasema viatu vya jabali la Afrika haviwezi,mashabiki msijipe matumaini hewa.Ajitenge mara ngapi?