Ukweli ni kwamba Rais Samia hakuwa pamoja na Hayati Magufuli

Umeandika Utopolo kwa kudhani kuwa unamsema Rais wa sasa kumbe unamsema kipenzi chako Magufuli ambaye makabuli yake yanafukuliwa huku sssa hivi.
 
Hapana mkuu wote ni kitu kimoja
 
"Ndio maana wakati tunampiga risasi tundu lisu tulikataa kumshirikisha mama kwenye mipango hiyo"
 
Bibi huyu ni mnafiq mbobezi.
 
Kuonyesha ubabe,,, alimsifia mama Salim kuwa mzuri mbele yake
 
Kuna wadau wanasema sa100 ndiye aliyekua anampa kigogo taarifa za serikali ya stone.
 
Ndio keshakuwa rais wa awamu ya sita. Hizi nyingi ni kelele tu kama zile za chura wakati Tembo ana kiu anakunywa maji mchana wa jua kali.
 
Kuna essay moja kaandika prof. Shivij juu ya maguphobia kama unajua lugha ya malikia embu fanya kuitafuta itakusaidia kukupunguzia ujinga.
Ukweli ni kwamba MAGUFULI alikuwa kiongozi wa hovyo narudia hovyo kuwahi kutokea Tanzania
 
Kutwa kujifanya makubazi hayamtoshi atayavaaje nayo ni ya kiume!
 
Nilichogundua na ninacho endelea kukigundua kuwaongoza Wa Tanzania ni jambo jepesi sana tena sana,haikuhitaji maarifa mapaana bali uwe na uelewa wa kujua nini wanataka na nini hawataki baaasi!!..kwisha habari yao...Mama kwenye hilo nina mpa hongera na kumuhofia kimaarifa.
 
Yani unachoma moto vifaranga bila hata woga? Siezi shangaa maana kama mpaka leo hatujui Azori na bensanane wako wapi kuchoma moto vifaranga jambo dogo kwake.
Kuna mambo yanafikirisha sana ivi vifaranga vina nguvu kuliko binadamu ... binafamu wamepotezwa lakini hawaulizwi
 
Huo ndio ukweli na vikwazo vyote alivyokuwa anakumbana navyo yeye alikuwa nyuma yake bila shaka hata na nadhani hata ....................mazingira yanajieleza bayana ......................................akitoka tu madarakani ndio atakuwa rais wa kwanza kutoka Tanzania atakayekabiliana na mashitaka ambayo hataamini...............................
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…