Ukweli ni kwamba SAMATTA anajua kutupia (kuvaa vizuri) Kuliko Mabishoo wengi wa BongoFleva

Ukweli ni kwamba SAMATTA anajua kutupia (kuvaa vizuri) Kuliko Mabishoo wengi wa BongoFleva

Unadhani ulaya kaenda kutazama majumba na kutupia magori tu!!
 
Ana

ana demu mpaka motto lakini kimya.wangekuwa hawa dada wetu wa shilawadu kama hamisa na mama yake wote sasa wangekuwa wapo GENK-UBELGIJI kumpeleka mtoto kudai hela za matumizi milioni tano tano kila mwezi

hahaha kwelii aise....jamaa yuko lowkey sn yn cmjui kbs uyo demu wala mwanae
 
Wanaume wanajua kuvaa bongo ni Jux na Samatta na nguo zinawakaa haswa na kuwapendeza.

Domo tarumbeta kamrithisha hadi mwanae tiffa yaani hata wavae nguo ya bilioni hawapendezi kabisa bora hata mimi nikivaa mtumba wangu wa Ilala nakuwa balaa na nawakamata dada zao

Ninataka kufua nasubiri povu
Timu kibakuli nayo imo humu ?
 
Wanaume wanajua kuvaa bongo ni Jux na Samatta na nguo zinawakaa haswa na kuwapendeza.

Domo tarumbeta kamrithisha hadi mwanae tiffa yaani hata wavae nguo ya bilioni hawapendezi kabisa bora hata mimi nikivaa mtumba wangu wa Ilala nakuwa balaa na nawakamata dada zao

Ninataka kufua nasubiri povu

Ukishatanguliza chuki kwa mtu hata avae nguo za dhahabu tupu ni kazi bure. Kamwe hatapendeza machoni mwako.
 
Nilikua najaribu kumtazama mbwana samatta leo nikagundua jamaa sio kwenye mpira tu hata kwenye mavazi yuko vizuri sana tena kushinda hawa mabishoo wa bongo fleva, Na tena sio mavazi tu hata Gari anayoendesha hakuna msanii mwenye nayo hapa bongo lakini still jamaa ni cool na hana mbwembwe,I respect that.

Yupo kawaida sana huyo

Kwenye kuvaa vizuri hayupo kabisa.

Halafu hata kuongea hajui na kithembe chake.
 
Sijui mleta thread wetu atakuwa ni jinsi ya ME au KE?
 
Back
Top Bottom