kasulamkombe
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 2,232
- 2,491
HAMISA MOBETO ANGEMPATA HUYU SAMATA ANGEPELEKEWA MTOTO HUKO HUKO UBELGIJI!!kweli na hana majivuno ya kijinga demu wake naye ni mkimya
Ushaanza,sasa we demu wake anakuhusu nn mkuu, pambana na demu wakoafu yupo simple hana skendo hana majivuno ila demu wake happiness ana mashauzi saana
kweli na hana majivuno ya kijinga demu wake naye ni mkimya
ana demu mpaka mtoto lakini kimya.wangekuwa hawa dada wetu wa shilawadu kama hamisa na mama yake wote sasa wangekuwa wapo GENK-UBELGIJI kumpeleka mtoto kudai hela za matumizi milioni tano tano kila mwezidemu wk ni nani mkuu?
Ana
ana demu mpaka motto lakini kimya.wangekuwa hawa dada wetu wa shilawadu kama hamisa na mama yake wote sasa wangekuwa wapo GENK-UBELGIJI kumpeleka mtoto kudai hela za matumizi milioni tano tano kila mwezi
Timu kibakuli nayo imo humu ?Wanaume wanajua kuvaa bongo ni Jux na Samatta na nguo zinawakaa haswa na kuwapendeza.
Domo tarumbeta kamrithisha hadi mwanae tiffa yaani hata wavae nguo ya bilioni hawapendezi kabisa bora hata mimi nikivaa mtumba wangu wa Ilala nakuwa balaa na nawakamata dada zao
Ninataka kufua nasubiri povu
kuna mtu mwingine akikusaidia anataka dunia nzima ijue lakini huyu anapiga kimyakweli na hana majivuno ya kijinga demu wake naye ni mkimya
Wakati yuko kongo alikuwa anavaa Midosho sana ..UVAAJI HUO SIO ULAYA KAANZA TANGU YUPO CONGO
Wanaume wanajua kuvaa bongo ni Jux na Samatta na nguo zinawakaa haswa na kuwapendeza.
Domo tarumbeta kamrithisha hadi mwanae tiffa yaani hata wavae nguo ya bilioni hawapendezi kabisa bora hata mimi nikivaa mtumba wangu wa Ilala nakuwa balaa na nawakamata dada zao
Ninataka kufua nasubiri povu
Yupo kawaida sana huyoNilikua najaribu kumtazama mbwana samatta leo nikagundua jamaa sio kwenye mpira tu hata kwenye mavazi yuko vizuri sana tena kushinda hawa mabishoo wa bongo fleva, Na tena sio mavazi tu hata Gari anayoendesha hakuna msanii mwenye nayo hapa bongo lakini still jamaa ni cool na hana mbwembwe,I respect that.
nenda instagram anatumia happiness77demu wk ni nani mkuu?
hivi kwamfano ukigoma kumpa mihela huyo mobetto atakufanyajeH
HAMISA MOBETO ANGEMPATA HUYU SAMATA ANGEPELEKEWA MTOTO HUKO HUKO UBELGIJI!!
Anajua wa kuwachezea hajakutana na wanaume machine!! hapati kitu!!hivi kwamfano ukigoma kumpa mihela huyo mobetto atakufanyaje
Mmh. Niko busy kutafuta ela ya kodi niingize maserati Tznenda umtembelee Genk-Belgium
Hilo guu lako unaonekana mashallah ...chura hakosi hapo Nina uhakikaWanaume weusi wana mvuto wa pekee.
Cc, L......ce baby.
Me Wa Dar huyo mkuuWewe ni jinsia gani?ulichoandika mwanzo na mwisho vinajikanganya
Au madaleSASA MKUU MTU ANAISH ULAYA AFANANE NA HUYU WA DAR JANGWAN?