Ukweli ni kwamba sina hisia naye na wala sio aina ya mwanamke nimpendae kimuonekano lakini...

πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
Uzi unachekesha huuu...
Hilo jina la knmb mlibadilishe plz....
 
Kiukweli bikra alikuwa nayo ila alishawahi kuwa na mahusiano kadhaa na walishiriki kila kitu, walichoshindwa ni kuitoa bikra tu, kiufupi mwili wake utadhani alishazaa zao kadhaa.
Mjomba acha kamba basi yaan unasema warume walishindwa kumlomba mpaka kunkwangua bikra unazungumzia bikra ipi Bro?
 
Kaingizwa chaka, bikra gani anatoa maelezo ya kusugua harage 🀣🀣🀣
Haijui bikra huyo nshamba wa mbwise huko kaingizwa mjini, wanawake mna drama nyingi km Lamomy ona sasa huyo kapewa bikra feki mtu kashachakazwa mpaka ananukia maziwa anasema muonekano km ameshazaa mara kadhaa mtu alikua anazichomoa unasema eti kazaa mara kadhaa kusingizia ana bikra
 
Ww shiindwaa pepo mi sina drama, ila drama zinanifata zenyewe 🀣🀣🀣
 
Ww shiindwaa pepo mi sina drama, ila drama zinanifata zenyewe 🀣🀣🀣
🀣🀣🀣 Jamaa kapewa bikra feki alafu mwenyewe karidhika kweli Dunia haina huruma alafu utakuta anawaambia hivyo na maneno matamu mwenyewe kakubari
 
Ile ambayo mijibwa yenye haina manyoya
Ile mizoba ina midonda ukiipiga na jiwe inakutazama kwa upole afu ilo linasogea pembeni mdogo mdogo haliondoki πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Linakubaliana na yote
 
Ile mizoba ina midonda ukiipiga na jiwe inakutazama kwa upole afu ilo linasogea pembeni mdogo mdogo haliondoki πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Linakubaliana na yote
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Eeeeh hiyo hiyo
 
Binti kiziwi kuanzia mwaka jana December umekuwa na koment flani hivi mpya mpya hahaaaaa
Joke lakini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…