Ukweli ni kwamba wapalestina hata wakiuwawa na waisrael pale sio kwao warudi walikotoka

Ukweli ni kwamba wapalestina hata wakiuwawa na waisrael pale sio kwao warudi walikotoka

Kizuio

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2018
Posts
845
Reaction score
521
Wafilisti walikuwa kabila la watu wa Ulaya ambao walivuka Bahari ya Kati na kisha kushindwa kuvamia Misri waliteka pwani ya Kanaani (1175 KK hivi) wakifaidika na silaha za chuma walizozitumia dhidi ya watu waliokuwa na zile za shaba tu, wakiwa wenyeji au Waisraeli.

Ingawa hawakuwa wengi, waliathiri sana nchi yao mpya, kiasi cha kuiachia jina la Palestina.

Habari nyingi juu yao zinapatikana katika Biblia.
 
Tupe chanzo cha habari yako tafadhali!
Wakati unafanya hivo pia utueleze kwa kifupi asili ya Wayahudi maana habari yako imeegemea upande mmoja.
Wayahudi ni Neno lililotokana na kabila la Yuda mmoja wa watoto wa yakobo ambao waligawiwa ardhi na yoshua baada ya kuwatoa misri
 
Ilikuwa ya Mungu na waliyoishi huko walikuwa waperisi na wakanaan ndio walikuwa wenyeji wa ardhi hiyo
Unaweza kumthibitisha walau huyo Mungu unaesema ardhi ile ni ya kwake?
Kama utaweza kuthibitisha uwepo wake pia fafanua mbona historia ya kitabu chako unachosimamia kinasema kuwa kabla ya hawa watoto wa Ibrahim kuiteka nchi ile walipambana kwanza na wenyeji wa pale? Kwahiyo tukubali watoto hawa wa Ibrahim waliingia vitani na Mungu unaemmaanisha?
Nakuuliza hivi sababu umesema nchi ile ilikuwa ya Mungu wako.
 
Unaweza kumthibitisha walau huyo Mungu unaesema ardhi ile ni ya kwake?
Kama utaweza kuthibitisha uwepo wake pia fafanua mbona historia ya kitabu chako unachosimamia kinasema kuwa kabla ya hawa watoto wa Ibrahim kuiteka nchi ile walipambana kwanza na wenyeji wa pale? Kwahiyo tukubali watoto hawa wa Ibrahim waliingia vitani na Mungu unaemmaanisha?
Nakuuliza hivi sababu umesema nchi ile ilikuwa ya Mungu wako.
Kumbuka Abraham anatoka iraki kuja kanaan kwa agizo la Mungu na Mungu anamwahidi kumpa nchi hiyo wazawa watakaotokana na abraham
Kwa hiyo wa kumlaumu ni yule aliyemtaka abraham kutoka iraki kuja kanaan kuishi pamoja na wenyeji waperisi na wakanaan na kumwahidi nchi hiyo itakuwa ya kizazi kitakachotokana na abraham

Hii ni ahadi aliyopewa Abraham kabla hata isaka na yakobo hawajazaliwa
 
Wafilisti walikuwa kabila la watu wa Ulaya ambao walivuka Bahari ya Kati na kisha kushindwa kuvamia Misri waliteka pwani ya Kanaani (1175 KK hivi) wakifaidika na silaha za chuma walizozitumia dhidi ya watu waliokuwa na zile za shaba tu, wakiwa wenyeji au Waisraeli.

Ingawa hawakuwa wengi, waliathiri sana nchi yao mpya, kiasi cha kuiachia jina la Palestina.

Habari nyingi juu yao zinapatikana katika Biblia.
Unazungumzia biblia hii yenye vitabu kama series ya jumong na kufanyiwa marekebosho kutokana na dunia inavyokwenda au? tuanzie hapo.
 
Unazungumzia biblia hii yenye vitabu kama series ya jumong na kufanyiwa marekebosho kutokana na dunia inavyokwenda au? tuanzie hapo.
Habari za wafilisti zinapatikana humo
Kama unataka kuwafahamu wafilisti
Ila wapalestina waondoke warudi kwao ulaya na kama kuna waarabu wa kiislamu warudi katika nchi zao za asili hapo sio kwao kabisa
 
Kumbuka Abraham anatoka iraki kuja kanaan kwa agizo la Mungu na Mungu anamwahidi kumpa nchi hiyo wazawa watakaotokana na abraham
Kwa hiyo wa kumlaumu ni yule aliyemtaka abraham kutoka iraki kuja kanaan kuishi pamoja na wenyeji waperisi na wakanaan na kumwahidi nchi hiyo itakuwa ya kizazi kitakachotokana na abraham

Hii ni ahadi aliyopewa Abraham kabla hata isaka na yakobo hawajazaliwa
Jibu lako linazidi kuibua maswali zaidi mkuu!
Kwa kifupi tu hivi leo hii au kesho ikitokea Wayahudi wakaja hapa Tanzania wakiwa na ndege za kijeshi, vifaru, bunduki na kila aina ya silaha wakaanza kutushambulia kila kona wakisema, "JEHOVAH/MUNGU KATUPA NCHI YA TANZANIA TUITAWALE NA KUIMILIKI!" utawaelewa na kuwasaport kwa kuwa Mungu wao ndio amewapa Tanzania?
Kumbuka Mungu wao pia wakati ule aliwaamuru waue kila mtu watakaemkuta mule kanaan kuanzia watoto, wazee, kinamama, vijana, kukatakata na maashera yao na kuua mpaka na wanyama wafugwao! Sasa chukulia ndio tupewe taarifa leo kuwa asubuhi ya kesho tuwe tumeondoka nchini mwetu laa sivyo tutauawa wote na Wayahudi kwa kuwa Mungu amewapa nchi hii.

Nakuuliza tena! Utakuwa tayari kwa jambo hilo kwa kuwa Mungu ndio kasema?
Je, kwaweza kuwa na Mungu mpumbavu namna hii?

Mungu muweza wa yote, mwenye upendo, mjuzi wa yote, aliyeko kila mahali aweza kuyatenda hayo?

Unajua binadamu mwenye akili timamu akiyaamini haya, basi kuna haja hizi dini zipigwe marufuku maana zinadumaza akili za watoto wetu.
 
Kumbuka Abraham anatoka iraki kuja kanaan kwa agizo la Mungu na Mungu anamwahidi kumpa nchi hiyo wazawa watakaotokana na abraham
Kwa hiyo wa kumlaumu ni yule aliyemtaka abraham kutoka iraki kuja kanaan kuishi pamoja na wenyeji waperisi na wakanaan na kumwahidi nchi hiyo itakuwa ya kizazi kitakachotokana na abraham

Hii ni ahadi aliyopewa Abraham kabla hata isaka na yakobo hawajazaliwa
..huuu ni upumbafu kabisa
 
Jibu lako linazidi kuibua maswali zaidi mkuu!
Kwa kifupi tu hivi leo hii au kesho ikitokea Wayahudi wakaja hapa Tanzania wakiwa na ndege za kijeshi, vifaru, bunduki na kila aina ya silaha wakaanza kutushambulia kila kona wakisema, "JEHOVAH/MUNGU KATUPA NCHI YA TANZANIA TUITAWALE NA KUIMILIKI!" utawaelewa na kuwasaport kwa kuwa Mungu wao ndio amewapa Tanzania?
Kumbuka Mungu wao pia wakati ule aliwaamuru waje kila mtu watakaemkuta mule/kanaan! Sasa chukulia ndio tupewe taarifa leo kuwa asubuhi ya kesho tuwe tumeondoka nchini mwetu laa sivyo tutauawa wote na Wayahudi kwa kuwa Mungu amewapa nchi hii.

Nakuuliza tena! Utakuwa tayari kwa jambo hilo kwa kuwa Mungu ndio kasema?
Je, kwaweza kuwa na Mungu mpumbavu namna hii?

Mungu muweza wa yote, mwenye upendo, mjuzi wa yote, aliyeko kila mahali aweza kuyatenda hayo?

Unajua binadamu mwenye akili timamu akiyaamini haya, basi kuna haja hizi dini zipigwe marufuku maana zinadumaza akili za watoto wetu.
...asipo elewa hii kuhusu uhuni wa wayahudi...basi karogwa
 
Wafilisti walikuwa kabila la watu wa Ulaya ambao walivuka Bahari ya Kati na kisha kushindwa kuvamia Misri waliteka pwani ya Kanaani (1175 KK hivi) wakifaidika na silaha za chuma walizozitumia dhidi ya watu waliokuwa na zile za shaba tu, wakiwa wenyeji au Waisraeli.

Ingawa hawakuwa wengi, waliathiri sana nchi yao mpya, kiasi cha kuiachia jina la Palestina.

Habari nyingi juu yao zinapatikana katika Biblia.
wewe unatia huruma... Umekengeuka kwa kutetea mauaji, umefilisika kwa kuwa mtumwa

Si ajabu hata historia yako huijui kwani its most likely unapoishi sasa sio asili yako

Hakuna kitu kibaya kama kuwa maamuma in the name of religion
 
Jibu lako linazidi kuibua maswali zaidi mkuu!
Kwa kifupi tu hivi leo hii au kesho ikitokea Wayahudi wakaja hapa Tanzania wakiwa na ndege za kijeshi, vifaru, bunduki na kila aina ya silaha wakaanza kutushambulia kila kona wakisema, "JEHOVAH/MUNGU KATUPA NCHI YA TANZANIA TUITAWALE NA KUIMILIKI!" utawaelewa na kuwasaport kwa kuwa Mungu wao ndio amewapa Tanzania?
Kumbuka Mungu wao pia wakati ule aliwaamuru waue kila mtu watakaemkuta mule kanaan kuanzia watoto, wazee, kinamama, vijana, kukatakata na maashera yao na kuua mpaka na wanyama wafugwao! Sasa chukulia ndio tupewe taarifa leo kuwa asubuhi ya kesho tuwe tumeondoka nchini mwetu laa sivyo tutauawa wote na Wayahudi kwa kuwa Mungu amewapa nchi hii.

Nakuuliza tena! Utakuwa tayari kwa jambo hilo kwa kuwa Mungu ndio kasema?
Je, kwaweza kuwa na Mungu mpumbavu namna hii?

Mungu muweza wa yote, mwenye upendo, mjuzi wa yote, aliyeko kila mahali aweza kuyatenda hayo?

Unajua binadamu mwenye akili timamu akiyaamini haya, basi kuna haja hizi dini zipigwe marufuku maana zinadumaza akili za watoto wetu.
Tumia akiri kidogo brother tambua wanagombania ardhi ya halali kwao yani urithi wao waliopewa na MUNGU.
Hivyo hawawezi kuja Tanzania kwasababu hawakupewa kuimiliki.
 
Tumia akiri kidogo brother tambua wanagombania ardhi ya halali kwao yani urithi wao waliopewa na MUNGU.
Hivyo hawawezi kuja Tanzania kwasababu hawakupewa kuimiliki.
...pum.bafu wewe-sorry to say that.
...hivi umewafikiri kuwa watu wanaoamini hiyo biblia ni just chini ya 1/3...acha upoyoyo
... Uislam na ukristo ni ukoloni wa akili
 
Back
Top Bottom