Ukweli ni kwamba wapalestina hata wakiuwawa na waisrael pale sio kwao warudi walikotoka

Ukweli ni kwamba wapalestina hata wakiuwawa na waisrael pale sio kwao warudi walikotoka

Habari za wafilisti zinapatikana humo
Kama unataka kuwafahamu wafilisti
Ila wapalestina waondoke warudi kwao ulaya na kama kuna waarabu wa kiislamu warudi katika nchi zao za asili hapo sio kwao kabisa
usichojua hao unaowaita waisrael ni wazungu walioiba show hapo mashariki ya kati kwa ajili ya Amerika kutawala uchumi wa mafuta.
 
Historia za karibuni hazisaidii kitu
Historia ya eneo hilo inaanzia enzi za abraham alipopewa ahadi na Mungu wake
Sasa ndio maana nikakwambia tafuta historia ya ardhi ile kabla abraham/Ibrahim hajaikanyaga
 
usichojua hao unaowaita waisrael ni wazungu walioiba show hapo mashariki ya kati kwa ajili ya Amerika kutawala uchumi wa mafuta.
Hata Abrahamu alitoka iraki na akaibeba ardhi yote ya kanaan ikawa yake
 
Wanaoishi pale sio wapalestina halisi ni waarabu tu wa kiislamu ambao pia sio kwao wanatakiwa kuondoka au wafate masharti ya waisrael
utumwa tupu mkuu... any thoughts of justifying killings is evil
 
Wafilisti walikuwepo enzi za waamuzi na wakati huo walikuwa wanawatawala waisrael kwa miaka 40 na sababu kubwa ni kuwa waisraeli waliasi Neno la Mungu wao nakuwaletea wababe wawatawale
Kabla ya wafilisti walivamiwa sana na Falme nyingine
Mwisho wa wafilisti ulikuwa enzi za mfalme Saul daudi alipomuua kamanda wao mkuu goliati

Hapo mashariki ya kati hivi sasa hakuna tena wafilisti wala wakanaan Bali wahamiaji wa kiarabu ambao waliligeuza eneo hilo kuwa Lao wakati sio Lao kiuhalisia
 
Sasa ndio maana nikakwambia tafuta historia ya ardhi ile kabla abraham/Ibrahim hajaikanyaga
Kabla ilikuwa ya wakanaan na waperisi ambao huko nyuma walishamchukiza Mungu na Laana ikatamkwa kuwa watakuwa mahame yaani hawatatambulika popote zaid ya historia ya kuwepo kwao
 
Fuatilia historia mkuu
Abraham hakupokewa na wapalestina
Abrahamu na familia yake waliishi pamoja na wenyeji wakanaan na waperisi


Wafilisti walikuja hapo kutoka ulaya wakati hata nchi haijaitwa Israeli bado na hii ni enzi za waamuzi
Kwani unafikiri mfalme Abimael sio mfilisti?.
Huyo abimael si ndo alimpokea Abraham na mkewe kipindi cha njaa na akawatunza,tena Abraham akijifanya Sara ni dadake ili amkamate ugoni mfalme?
 
Kabla ilikuwa ya wakanaan na waperisi ambao huko nyuma walishamchukiza Mungu na Laana ikatamkwa kuwa watakuwa mahame yaani hawatatambulika popote zaid ya historia ya kuwepo kwao
Mkuu hujaeleza walimuudhi nini mungu,nijuavyo Mimi Abraham aliwakuta wanaabudu mungu alieitwa El,na kuhani Melchizedek I ndo alimsomea dua ya kumbariki Abraham,sasa jiulize alimsomea dua kwa mungu yupi na Abraham akakubali,
Hiyo alikuwa ni kuhani wa mji wa Salem,ambao Leo unaitwa jerusalem
 
Wafilisti walikuwepo enzi za waamuzi na wakati huo walikuwa wanawatawala waisrael kwa miaka 40 na sababu kubwa ni kuwa waisraeli waliasi Neno la Mungu wao nakuwaletea wababe wawatawale
Kabla ya wafilisti walivamiwa sana na Falme nyingine
Mwisho wa wafilisti ulikuwa enzi za mfalme Saul daudi alipomuua kamanda wao mkuu goliati

Hapo mashariki ya kati hivi sasa hakuna tena wafilisti wala wakanaan Bali wahamiaji wa kiarabu ambao waliligeuza eneo hilo kuwa Lao wakati sio Lao kiuhalisia
Sure wafilist asili yao ni kisiwa cha Crete,huko ulaya karibu na ugiriki,lakini hawa walikuwa karne za mwanzo hapo kabla Abraham hajafika caanan,na walijulikana kama sea people,kwa ajili ya shughuli yao kuu ya uvuvi,moja ya miji yao ya mwanzo ni Gaza,na umeendelea kuwepo continuously,wapalestina wA Gaza ndo haohao wafilist wali go evolution ,
Wapalestina wa Gaza na wa west bank ni tofauti kidogo,
Wacaanan by nature ni walebanon.

Saul hajawahi kuwamaliza wafilist,waliendelea kuwepo hata wakati wa wafalme wa Israel baada ya mfalme Solomon,
Kama sikosei,Gaza imeendelea kukaliwa nao tangu enzi
 
Kwani unafikiri mfalme Abimael sio mfilisti?.
Huyo abimael si ndo alimpokea Abraham na mkewe kipindi cha njaa na akawatunza,tena Abraham akijifanya Sara ni dadake ili amkamate ugoni mfalme?
Sasa hapa umetoka nje kabisa ya kanaan na umeingia misri mkuu
Ni kweli kwa stori ya Abrahamu kujifanya Sara ni dada yake ilikuwa misri na sio kanaan
 
Mkuu hujaeleza walimuudhi nini mungu,nijuavyo Mimi Abraham aliwakuta wanaabudu mungu alieitwa El,na kuhani Melchizedek I ndo alimsomea dua ya kumbariki Abraham,sasa jiulize alimsomea dua kwa mungu yupi na Abraham akakubali,
Hiyo alikuwa ni kuhani wa mji wa Salem,ambao Leo unaitwa jerusalem
Kwanza Noah alikuwa na wana watatu shemu, hamu, na yafethi na huyu hamu alikuwa na mtoto anaitwa kanaani na ndio chimbuko la wakanaan sasa huyu hamu alifanya upuuzi wakati baba yao alipolewa unywaji so Noah alipojua akamlaani mwanae hamu ambae ni kanaani kuwa atakuwa mtumwa wa watumwa kwa ndugu zake hapo ndio ubaya ulipoanzia

Huyu melksedeki unamtaja alimpokea abraham wakati anarudi kushinda vita ili kumpongeza kwa ushindi alioupata vitani dhidi ya wafalme kadhaa na melksedeki alikuwa mfalme wa mji wa salemu lakini pia Akiwa ni kuhani wa Mungu mkuu
 
Kwanza Noah alikuwa na wana watatu shemu, hamu, na yafethi na huyu hamu alikuwa na mtoto anaitwa kanaani na ndio chimbuko la wakanaan sasa huyu hamu alifanya upuuzi wakati baba yao alipolewa unywaji so Noah alipojua akamlaani mwanae hamu ambae ni kanaani kuwa atakuwa mtumwa wa watumwa kwa ndugu zake hapo ndio ubaya ulipoanzia

Huyu melksedeki unamtaja alimpokea abraham wakati anarudi kushinda vita ili kumpongeza kwa ushindi alioupata vitani dhidi ya wafalme kadhaa na melksedeki alikuwa mfalme wa mji wa salemu lakini pia Akiwa ni kuhani wa Mungu mkuu
Lakini umesema wafilist walitokea Europe,kwa hiyo wanahusikaje na Noah,hata kama kuna ukweli?.
Ujue caanan lilikuwa ni kina la eneo kubwa,likichukua mpaka Lebanon na sehemu za Syria,caanan ilikuwa inatofautisha na tawala za kaskazini kama Akkadian,asyria,aram etc
Hii habari sijui ya Noah ni magumashi tu,hujiulizi ilikuaje hawa watoto wa Noah wakabeba majina ya maeneo?,kwanini maeneo yawe na majina ya watoto kwa caanan na isiwe kwa mesopotamia ambao ndo chimbuko la kila kitu?
 
Kwanza Noah alikuwa na wana watatu shemu, hamu, na yafethi na huyu hamu alikuwa na mtoto anaitwa kanaani na ndio chimbuko la wakanaan sasa huyu hamu alifanya upuuzi wakati baba yao alipolewa unywaji so Noah alipojua akamlaani mwanae hamu ambae ni kanaani kuwa atakuwa mtumwa wa watumwa kwa ndugu zake hapo ndio ubaya ulipoanzia

Huyu melksedeki unamtaja alimpokea abraham wakati anarudi kushinda vita ili kumpongeza kwa ushindi alioupata vitani dhidi ya wafalme kadhaa na melksedeki alikuwa mfalme wa mji wa salemu lakini pia Akiwa ni kuhani wa Mungu mkuu
Ushawahi kujiuliza kama kabla ya Abraham,caanan waliabudu mungu mkuu El,
Na ilikuaje Abraham akamwita mtoto wake wa kwanza Ismael lenye maana ya mungu kasikia,
Huoni kumbe hata watu wa caanan waliabudu mungu huyohuyo wa Abraham,ila waisrael wakajimilikisha huyo mungu,na kisha wayahudi walipojitenga na Israel na wao wakaanzisha mungu wao kwa jina la Yahweh?
 
Lakini umesema wafilist walitokea Europe,kwa hiyo wanahusikaje na Noah,hata kama kuna ukweli?.
Ujue caanan lilikuwa ni kina la eneo kubwa,likichukua mpaka Lebanon na sehemu za Syria,caanan ilikuwa inatofautisha na tawala za kaskazini kama Akkadian,asyria,aram etc
Hii habari sijui ya Noah ni magumashi tu,hujiulizi ilikuaje hawa watoto wa Noah wakabeba majina ya maeneo?,kwanini maeneo yawe na majina ya watoto kwa caanan na isiwe kwa mesopotamia ambao ndo chimbuko la kila kitu?
Ngoja kwanza
Hii mesopotamia ilikuwa wapi bila shaka ni Asia huko

Sasa kutoka Asia kuja kanaan pana umbali kidogo na lazima ujue zamani hizo miji waliyogawiwa watu waliita kwa majina yao so sio kitu cha ajabu
Na kanaan alipewa eneo lake na hapo ndipo kizazi chake kilipozuka na wakaitwa wakanaan wakilitukuza jina la Babu yao kanaan
Na ikumbukwe Laana haifi itakikumba kizazi chochote cha aliepewa Laana na wakanaan waliendelea kuwa watumwa wa ndugu zao daima
 
Lakini umesema wafilist walitokea Europe,kwa hiyo wanahusikaje na Noah,hata kama kuna ukweli?.
Ujue caanan lilikuwa ni kina la eneo kubwa,likichukua mpaka Lebanon na sehemu za Syria,caanan ilikuwa inatofautisha na tawala za kaskazini kama Akkadian,asyria,aram etc
Hii habari sijui ya Noah ni magumashi tu,hujiulizi ilikuaje hawa watoto wa Noah wakabeba majina ya maeneo?,kwanini maeneo yawe na majina ya watoto kwa caanan na isiwe kwa mesopotamia ambao ndo chimbuko la kila kitu?
Walitokea ulaya ndio na lengo la ni kuivamia misri lakini wakazidiwa kijeshi na ndipo wakaiteka pwani ya kanaan na kuweka makazi huko kama nchi yao kwa kuwashinda wenyeji waisrael na waisrael ni kizazi cha mtoto wa Noah aitwae shemu na katika kizazi cha shemu alizaliwa Terra baba yake abraham mkuu
 
Ushawahi kujiuliza kama kabla ya Abraham,caanan waliabudu mungu mkuu El,
Na ilikuaje Abraham akamwita mtoto wake wa kwanza Ismael lenye maana ya mungu kasikia,
Huoni kumbe hata watu wa caanan waliabudu mungu huyohuyo wa Abraham,ila waisrael wakajimilikisha huyo mungu,na kisha wayahudi walipojitenga na Israel na wao wakaanzisha mungu wao kwa jina la Yahweh?
Sina shida na wakanaan kumwabudu Mungu wa kweli tatizo ni Laana iliyosababishwa na hamu na ikatupwa kwa mtoto wake kanaan
Sijui kwa nini Noah aliipeleka Laana yake kwa mjukuu wake kanaan na sio mwanae hamu
 
Sasa hapa umetoka nje kabisa ya kanaan na umeingia misri mkuu
Ni kweli kwa stori ya Abrahamu kujifanya Sara ni dada yake ilikuwa misri na sio kanaan
Hapana,kuna visa viwili,cha farao nacha abimael.
Halafu kuna kingine copy and paste cha Isaac na mkewe Rebecca nae alimkana mkewe na kudai ni dadake,kwa mfalme huyohuyo Abimael
 
A
Ngoja kwanza
Hii mesopotamia ilikuwa wapi bila shaka ni Asia huko

Sasa kutoka Asia kuja kanaan pana umbali kidogo na lazima ujue zamani hizo miji waliyogawiwa watu waliita kwa majina yao so sio kitu cha ajabu
Na kanaan alipewa eneo lake na hapo ndipo kizazi chake kilipozuka na wakaitwa wakanaan wakilitukuza jina la Babu yao kanaan
Na ikumbukwe Laana haifi itakikumba kizazi chochote cha aliepewa Laana na wakanaan waliendelea kuwa watumwa wa ndugu zao daima
Sumeria-Akkadian-mesopotamia-Assyria-Babel-Iraq
 
Tumia akiri kidogo brother tambua wanagombania ardhi ya halali kwao yani urithi wao waliopewa na MUNGU.
Hivyo hawawezi kuja Tanzania kwasababu hawakupewa kuimiliki.
Mkuu ni vizuri tuache upotoshaji hivi ni lini sinai imewahi kuwa part ya canaan ila mbona waisrael waliwahi kuikalia mabavu mpaka walipolazimishwa kuipisha je nayo ni ardhi aliyowaahidi Mungu?? Vipi Golan heights wanayoikalia kimabavu ni eneo la syria tokea enzi za biblia je ni lini ni nchi ya ahadi??? Kwanini mnaangalia tu upande wa palestina na huko westbank,golan heights na sinai hamuongelei au ndio mahaba ya kidini???
 
Back
Top Bottom