Ukweli ni kwamba wapalestina hata wakiuwawa na waisrael pale sio kwao warudi walikotoka

Ukweli ni kwamba wapalestina hata wakiuwawa na waisrael pale sio kwao warudi walikotoka

Wafilisti walikuwa kabila la watu wa Ulaya ambao walivuka Bahari ya Kati na kisha kushindwa kuvamia Misri waliteka pwani ya Kanaani (1175 KK hivi) wakifaidika na silaha za chuma walizozitumia dhidi ya watu waliokuwa na zile za shaba tu, wakiwa wenyeji au Waisraeli.

Ingawa hawakuwa wengi, waliathiri sana nchi yao mpya, kiasi cha kuiachia jina la Palestina.

Habari nyingi juu yao zinapatikana katika Biblia.
Kazi kwelikweli nani aliyekwambia wafilisti ndio wapalestina?? Wafilisti wametokea ukoo wa caphtor mwana wa mizraim sasa wapi na wapi na wapalestina?? Hivi hii story mnaitoaga wapi kuwa wapalestina ni wafilisti??? Kwanni mnapotosha hata makanisani nasikiaga sana hadi nashangaa mnatoa wapi hizo taarifa....

Alafu kingine nchi ya ahadi kibiblia inafika hadi Euphrates na inaanzia mto nile mbona sijawahi sikia wakienda kuishi misri au iraq ambapo ndipo mto frati upo?? Why palepale mashariki ya kati?? Kana kwamba ardhi wanayodai kupewa ndio palepale tu kwanini hili kiasi wawatese wapalestina wasio na hatia

Mwisho kusema wapalestina warudi walipotoka ni kauli ya ajabu sababu hta wayahudi walihamia tu pale na walikuta wazawa......hivyo basi hakuna sababu yeyote ya kuwatesa wapalestina kama waliishi wa wagibeoni vizuri ingawa waliwakalia kimabavu basi waishi hivyo hivyo na palestina yaani nchi moja yenye haki sawa wakumbuke hata wao walipokuwa utumwani walipokelewa na nchi nyingi tu kwanni leo hii wawaone wapalestina kama hawana haki eti sababu walipewa hiyo nchi..... Mbona wao walipewa hifadhi nchi nyingi tu sembuse leo hii waone wengine ndio hawafai kuishi hapo!! Sio undumilakuwili huu

Mimi ni mkristo ila kiukweli hawa wayahudi wenye nywele nyeupe na macho ya blue!! Wanakosea sana
 
Hatutafuti history ya nyuma tunachoangalia ni pale Ibrahim alipopewa ardhi Hiyo kuwa urithi wake huko mwanzo inawezekana kabisa ilikua yao lakini MUNGU wa Ibrahim alimpa Ibrahim tena kwa agano dhabiti lisilo wezwa kuvunjwa, Hivyo ndugu zenu wapelestina wanajisumbua tu.
Kasome tena mipaka ya NCHI YA AHADI kwenye hesabu ndio mrudi hapa kupotosha..... hyo miji ya kwenye biblia iliyotajwa mbona mmeipitiliza?? Hadi mkaiba ardhi Jordan syria na misri??? Wapi mambo haya yapo kwenye ramani ya NCHI YA AHADI if at all ndio hoja yenu humu
 
Kwanza Noah alikuwa na wana watatu shemu, hamu, na yafethi na huyu hamu alikuwa na mtoto anaitwa kanaani na ndio chimbuko la wakanaan sasa huyu hamu alifanya upuuzi wakati baba yao alipolewa unywaji so Noah alipojua akamlaani mwanae hamu ambae ni kanaani kuwa atakuwa mtumwa wa watumwa kwa ndugu zake hapo ndio ubaya ulipoanzia

Huyu melksedeki unamtaja alimpokea abraham wakati anarudi kushinda vita ili kumpongeza kwa ushindi alioupata vitani dhidi ya wafalme kadhaa na melksedeki alikuwa mfalme wa mji wa salemu lakini pia Akiwa ni kuhani wa Mungu mkuu
Hivi hizi hoja mnatoa wapi.... Unasema canaan alilaaniwa kuwa atakuwa mtumwa hivyo unabii ukatimizwa?? Vipi kuhusu waisrael kuwa utumwani misri je nayo walilaaniwa?? Au waafrika kwenda utumwani nao tulilaaniwa.... Hivi kuna ufalme enzi hizo haukuburuzwa utumwani sasa why utumie hoja ya canaan kulaaniwa kuhalalisha issue ya israel kuikalia palestina?? Zina uhusiano gani??
 
Hivi hizi hoja mnatoa wapi.... Unasema canaan alilaaniwa kuwa atakuwa mtumwa hivyo unabii ukatimizwa?? Vipi kuhusu waisrael kuwa utumwani misri je nayo walilaaniwa?? Au waafrika kwenda utumwani nao tulilaaniwa.... Hivi kuna ufalme enzi hizo haukuburuzwa utumwani sasa why utumie hoja ya canaan kulaaniwa kuhalalisha issue ya israel kuikalia palestina?? Zina uhusiano gani??
Halafu ni ni kisingizio tu kumtumia Abraham kuhalarisha uporaji ardhi ya watu,
Hats kama ni kweli aliwahi kuwepo Abraham,
Ahadi alipewa ABRAHAM kwa uzao wake ,
Wao wakajimilikisha eti ahadi ilikuwa ya wana wa Jacobi mjukuu wa Abraham,
So kweli maana sentensi ziko wazi kabisa,ahadi ni ya uzao wa abraham
Bila kubagua watoto wa ketura,Sara ama yule kijakazi .
Wao wanadai eti ahadi ilimuhusu Jacob,usanii kuu ya usanii
 
Mkuu ni vizuri tuache upotoshaji hivi ni lini sinai imewahi kuwa part ya canaan ila mbona waisrael waliwahi kuikalia mabavu mpaka walipolazimishwa kuipisha je nayo ni ardhi aliyowaahidi Mungu?? Vipi Golan heights wanayoikalia kimabavu ni eneo la syria tokea enzi za biblia je ni lini ni nchi ya ahadi??? Kwanini mnaangalia tu upande wa palestina na huko westbank,golan heights na sinai hamuongelei au ndio mahaba ya kidini???
Uko sawa ila hawa wayuda waliobaki walikuwa wanatafutwa ili wauwawe wote
Na waliporudi hapo mashariki ya kati kutoka ulaya waarabu wa sasa wa kiislamu waliungana kumpiga mwisrael wakamzunguka lakini akisaidiwa na Marekani alishinda vita hiyo na katika vita hiyo ndipo alipoteka baadhi ya hayo maeneo unayoyataja
 
Kazi kwelikweli nani aliyekwambia wafilisti ndio wapalestina?? Wafilisti wametokea ukoo wa caphtor mwana wa mizraim sasa wapi na wapi na wapalestina?? Hivi hii story mnaitoaga wapi kuwa wapalestina ni wafilisti??? Kwanni mnapotosha hata makanisani nasikiaga sana hadi nashangaa mnatoa wapi hizo taarifa....

Alafu kingine nchi ya ahadi kibiblia inafika hadi Euphrates na inaanzia mto nile mbona sijawahi sikia wakienda kuishi misri au iraq ambapo ndipo mto frati upo?? Why palepale mashariki ya kati?? Kana kwamba ardhi wanayodai kupewa ndio palepale tu kwanini hili kiasi wawatese wapalestina wasio na hatia

Mwisho kusema wapalestina warudi walipotoka ni kauli ya ajabu sababu hta wayahudi walihamia tu pale na walikuta wazawa......hivyo basi hakuna sababu yeyote ya kuwatesa wapalestina kama waliishi wa wagibeoni vizuri ingawa waliwakalia kimabavu basi waishi hivyo hivyo na palestina yaani nchi moja yenye haki sawa wakumbuke hata wao walipokuwa utumwani walipokelewa na nchi nyingi tu kwanni leo hii wawaone wapalestina kama hawana haki eti sababu walipewa hiyo nchi..... Mbona wao walipewa hifadhi nchi nyingi tu sembuse leo hii waone wengine ndio hawafai kuishi hapo!! Sio undumilakuwili huu

Mimi ni mkristo ila kiukweli hawa wayahudi wenye nywele nyeupe na macho ya blue!! Wanakosea sana
Hivi unajua jina la palestina limetokana na nini au unabisha tu
 
Kazi kwelikweli nani aliyekwambia wafilisti ndio wapalestina?? Wafilisti wametokea ukoo wa caphtor mwana wa mizraim sasa wapi na wapi na wapalestina?? Hivi hii story mnaitoaga wapi kuwa wapalestina ni wafilisti??? Kwanni mnapotosha hata makanisani nasikiaga sana hadi nashangaa mnatoa wapi hizo taarifa....

Alafu kingine nchi ya ahadi kibiblia inafika hadi Euphrates na inaanzia mto nile mbona sijawahi sikia wakienda kuishi misri au iraq ambapo ndipo mto frati upo?? Why palepale mashariki ya kati?? Kana kwamba ardhi wanayodai kupewa ndio palepale tu kwanini hili kiasi wawatese wapalestina wasio na hatia

Mwisho kusema wapalestina warudi walipotoka ni kauli ya ajabu sababu hta wayahudi walihamia tu pale na walikuta wazawa......hivyo basi hakuna sababu yeyote ya kuwatesa wapalestina kama waliishi wa wagibeoni vizuri ingawa waliwakalia kimabavu basi waishi hivyo hivyo na palestina yaani nchi moja yenye haki sawa wakumbuke hata wao walipokuwa utumwani walipokelewa na nchi nyingi tu kwanni leo hii wawaone wapalestina kama hawana haki eti sababu walipewa hiyo nchi..... Mbona wao walipewa hifadhi nchi nyingi tu sembuse leo hii waone wengine ndio hawafai kuishi hapo!! Sio undumilakuwili huu

Mimi ni mkristo ila kiukweli hawa wayahudi wenye nywele nyeupe na macho ya blue!! Wanakosea sana
Hakuna mtu aliyesema wapalestina ndio wafilisti soma uelewe
 
Kazi kwelikweli nani aliyekwambia wafilisti ndio wapalestina?? Wafilisti wametokea ukoo wa caphtor mwana wa mizraim sasa wapi na wapi na wapalestina?? Hivi hii story mnaitoaga wapi kuwa wapalestina ni wafilisti??? Kwanni mnapotosha hata makanisani nasikiaga sana hadi nashangaa mnatoa wapi hizo taarifa....

Alafu kingine nchi ya ahadi kibiblia inafika hadi Euphrates na inaanzia mto nile mbona sijawahi sikia wakienda kuishi misri au iraq ambapo ndipo mto frati upo?? Why palepale mashariki ya kati?? Kana kwamba ardhi wanayodai kupewa ndio palepale tu kwanini hili kiasi wawatese wapalestina wasio na hatia

Mwisho kusema wapalestina warudi walipotoka ni kauli ya ajabu sababu hta wayahudi walihamia tu pale na walikuta wazawa......hivyo basi hakuna sababu yeyote ya kuwatesa wapalestina kama waliishi wa wagibeoni vizuri ingawa waliwakalia kimabavu basi waishi hivyo hivyo na palestina yaani nchi moja yenye haki sawa wakumbuke hata wao walipokuwa utumwani walipokelewa na nchi nyingi tu kwanni leo hii wawaone wapalestina kama hawana haki eti sababu walipewa hiyo nchi..... Mbona wao walipewa hifadhi nchi nyingi tu sembuse leo hii waone wengine ndio hawafai kuishi hapo!! Sio undumilakuwili huu

Mimi ni mkristo ila kiukweli hawa wayahudi wenye nywele nyeupe na macho ya blue!! Wanakosea sana
Misri ni nchi inayojulikana mipaka yake iko toka enzi za abraham na ilijulikana hivyo wataendaje kuishi huko
 
Kazi kwelikweli nani aliyekwambia wafilisti ndio wapalestina?? Wafilisti wametokea ukoo wa caphtor mwana wa mizraim sasa wapi na wapi na wapalestina?? Hivi hii story mnaitoaga wapi kuwa wapalestina ni wafilisti??? Kwanni mnapotosha hata makanisani nasikiaga sana hadi nashangaa mnatoa wapi hizo taarifa....

Alafu kingine nchi ya ahadi kibiblia inafika hadi Euphrates na inaanzia mto nile mbona sijawahi sikia wakienda kuishi misri au iraq ambapo ndipo mto frati upo?? Why palepale mashariki ya kati?? Kana kwamba ardhi wanayodai kupewa ndio palepale tu kwanini hili kiasi wawatese wapalestina wasio na hatia

Mwisho kusema wapalestina warudi walipotoka ni kauli ya ajabu sababu hta wayahudi walihamia tu pale na walikuta wazawa......hivyo basi hakuna sababu yeyote ya kuwatesa wapalestina kama waliishi wa wagibeoni vizuri ingawa waliwakalia kimabavu basi waishi hivyo hivyo na palestina yaani nchi moja yenye haki sawa wakumbuke hata wao walipokuwa utumwani walipokelewa na nchi nyingi tu kwanni leo hii wawaone wapalestina kama hawana haki eti sababu walipewa hiyo nchi..... Mbona wao walipewa hifadhi nchi nyingi tu sembuse leo hii waone wengine ndio hawafai kuishi hapo!! Sio undumilakuwili huu

Mimi ni mkristo ila kiukweli hawa wayahudi wenye nywele nyeupe na macho ya blue!! Wanakosea sana
Hili swala la kusema hawaitambui Israel kama taifa ndio itawafanya waendelee kuwa watumwa wa waisrael siku zote
 
Hivi hizi hoja mnatoa wapi.... Unasema canaan alilaaniwa kuwa atakuwa mtumwa hivyo unabii ukatimizwa?? Vipi kuhusu waisrael kuwa utumwani misri je nayo walilaaniwa?? Au waafrika kwenda utumwani nao tulilaaniwa.... Hivi kuna ufalme enzi hizo haukuburuzwa utumwani sasa why utumie hoja ya canaan kulaaniwa kuhalalisha issue ya israel kuikalia palestina?? Zina uhusiano gani??
Inaonekana hata hujui wana wa yakobo na yakobo walifikaje misri na kuishi humo
Chanzo cha wao kuwepo misri sio walipelekwa Bali walijipeleka wenyewe kwa kuwa kulikuwa na njaa kali mno huko kanaan hivyo ikawabidi yakobo baba yao awatume watoto wake kwenda kununua chakula huko misri kwa kuwa kulikuwa na nafaka nyingi
Kufika huko ndio wakakutana na ndugu yao waliemuuza Yusuf huku wakijua kuwa alishakufa kitambo
Wakati huo Yusuf ni waziri mkuu wa misri katika utawala wa farao ndipo alipowaambia njaa kanaan itaendelea kwa miaka mitano akawasihi wakamchukue baba yao yakobo wakaishi misri na kupewa eneo huko misri lililokuwa likiitwa gosheni huko ndiko walikoongezekea na kuwa wengi kumbuka waliishi misri miaka 400 kabla hawajatoka
 
Halafu ni ni kisingizio tu kumtumia Abraham kuhalarisha uporaji ardhi ya watu,
Hats kama ni kweli aliwahi kuwepo Abraham,
Ahadi alipewa ABRAHAM kwa uzao wake ,
Wao wakajimilikisha eti ahadi ilikuwa ya wana wa Jacobi mjukuu wa Abraham,
So kweli maana sentensi ziko wazi kabisa,ahadi ni ya uzao wa abraham
Bila kubagua watoto wa ketura,Sara ama yule kijakazi .
Wao wanadai eti ahadi ilimuhusu Jacob,usanii kuu ya usanii
Sijui kama unaelewa maana ya kizazi cha abraham mkuu
Isaka yakobo watoto wa yakobo na kadhalika
 
Halafu ni ni kisingizio tu kumtumia Abraham kuhalarisha uporaji ardhi ya watu,
Hats kama ni kweli aliwahi kuwepo Abraham,
Ahadi alipewa ABRAHAM kwa uzao wake ,
Wao wakajimilikisha eti ahadi ilikuwa ya wana wa Jacobi mjukuu wa Abraham,
So kweli maana sentensi ziko wazi kabisa,ahadi ni ya uzao wa abraham
Bila kubagua watoto wa ketura,Sara ama yule kijakazi .
Wao wanadai eti ahadi ilimuhusu Jacob,usanii kuu ya usanii
Mkuu hii hoja uliyotoa ina mashiko sana hata kwenye biblia wanayoiquote inasema Abraham ni baba wa mataifa yote na hata ahadi zake zinarithiwa na wakristo wote duniani sasa najiuliza huu mstari huwa hawausomi na kwanni walazimishe hyo ardhi iwe ya wayahudi tu ilihali Hata hawa wapalestina wa sasa ni uzao wa Abraham kihistoria!!
 
Sijui kama unaelewa maana ya kizazi cha abraham mkuu
Isaka yakobo watoto wa yakobo na kadhalika
Kijana unapingana na biblia yako

Wagalatia 3
28 Hapana Myahudi wala Myunani. Hapana mtumwa wala huru. Hapana mtu mume wala mtu mke. Maana ninyi nyote mmekuwa mmoja katika Kristo Yesu.
29 Na kama ninyi ni wa Kristo, basi, mmekuwa uzao wa Ibrahimu, na warithi sawasawa na ahadi
.

Ila bado mnaamini waisraeli wana ahadi zao wakati biblia imeshahitimisha hapa kuwa wote ni sawa na uzao wa Abraham ni wakristo wote sasa kwanni muamini ile nchi ni ya wayahudi pekeee?? Kwanni mnaipinga biblia yenu wenyewe!!??
 
Uko sawa ila hawa wayuda waliobaki walikuwa wanatafutwa ili wauwawe wote
Na waliporudi hapo mashariki ya kati kutoka ulaya waarabu wa sasa wa kiislamu waliungana kumpiga mwisrael wakamzunguka lakini akisaidiwa na Marekani alishinda vita hiyo na katika vita hiyo ndipo alipoteka baadhi ya hayo maeneo unayoyataja
Sasa kwanini hamsemi haya kwa uwazi mnajificha kwenye mwavuli kuwa ni nchi ya ahadi.... Mpka wa nchi ya ahadi upo kwenye hesabu ila leo hii kuna maeneo hayapo ndani ya ramani ile ila wayahudi wanayakalia je ni haki hiyo??
 
Inaonekana hata hujui wana wa yakobo na yakobo walifikaje misri na kuishi humo
Chanzo cha wao kuwepo misri sio walipelekwa Bali walijipeleka wenyewe kwa kuwa kulikuwa na njaa kali mno huko kanaan hivyo ikawabidi yakobo baba yao awatume watoto wake kwenda kununua chakula huko misri kwa kuwa kulikuwa na nafaka nyingi
Kufika huko ndio wakakutana na ndugu yao waliemuuza Yusuf huku wakijua kuwa alishakufa kitambo
Wakati huo Yusuf ni waziri mkuu wa misri katika utawala wa farao ndipo alipowaambia njaa kanaan itaendelea kwa miaka mitano akawasihi wakamchukue baba yao yakobo wakaishi misri na kupewa eneo huko misri lililokuwa likiitwa gosheni huko ndiko walikoongezekea na kuwa wengi kumbuka waliishi misri miaka 400 kabla hawajatoka
Walifanywa watumwa irrespective walifikaje misri ndio najengea hoja kwamba ni kwanini unahalalisha laana ya Nuhu kwa canaan kwamba ndio ilisababisha canaan ije kutawaliwa na israel ila wana wa israel utumwani mbona hamsemi ni laana??huoni kuna undumilakuwili..... Je ina maana waafrika kwenda utumwani ulaya ni laana pia???
 
Hili swala la kusema hawaitambui Israel kama taifa ndio itawafanya waendelee kuwa watumwa wa waisrael siku zote
Ni nabii gani kawarudisha hawa wayahudi wazungu israel maana miaka yote ni manabii ndio huwarudisha wayahudi kwao ssa naomba unitajie ni nabii gani kawarudisha hawa wayahudi feki israel??
 
Back
Top Bottom