Ukweli ni kwamba wapalestina hata wakiuwawa na waisrael pale sio kwao warudi walikotoka

Ukweli ni kwamba wapalestina hata wakiuwawa na waisrael pale sio kwao warudi walikotoka

Misri ni nchi inayojulikana mipaka yake iko toka enzi za abraham na ilijulikana hivyo wataendaje kuishi huko
Shida husomi biblia kijana nchi ya ahadi ipo misri hadi iraq ila mmeng'ang'ania tu palestina ya watu

Mwanzo 15
18 Siku ile BWANA akafanya agano na Abramu, akasema, Uzao wako nimewapa nchi hii, kutoka mto wa Misri mpaka huo mto mkubwa, mto Frati,

Kwanni hamuendi misri au iraq mnagombania nchi na wapalestina?? Why wakati nchi ya ahadi hipo hadi huko if at all NCHI YA AHADI ndio hoja yenu??
 
Hivi unajua jina la palestina limetokana na nini au unabisha tu
Wwe umesema wapalestina ni waarab waliohamia tu ila unasahau wapalestin ni uzao wa Abraham pia kiufupi waisrael na wapalestina wote ni watoto wa baba mmoja hata utafiti wa DNA wa American journal of human genetics umethibitisha hilo sasa kwanni muwatenge hao kutoka urithi wa baba yao?? Nani alisema baraka ni za Yakobo peke ake hadi ajimilikishe ardhi??
 
Kijana unapingana na biblia yako

Wagalatia 3
28 Hapana Myahudi wala Myunani. Hapana mtumwa wala huru. Hapana mtu mume wala mtu mke. Maana ninyi nyote mmekuwa mmoja katika Kristo Yesu.
29 Na kama ninyi ni wa Kristo, basi, mmekuwa uzao wa Ibrahimu, na warithi sawasawa na ahadi
.

Ila bado mnaamini waisraeli wana ahadi zao wakati biblia imeshahitimisha hapa kuwa wote ni sawa na uzao wa Abraham ni wakristo wote sasa kwanni muamini ile nchi ni ya wayahudi pekeee?? Kwanni mnaipinga biblia yenu wenyewe!!??
Hiki ulicholeta hapa ni maandiko ya kumpwleka mtu mbinguni
Mimi nazungumzia ardhi ya wana wa Israel mkuu Acha kupindisha mada
 
Sasa kwanini hamsemi haya kwa uwazi mnajificha kwenye mwavuli kuwa ni nchi ya ahadi.... Mpka wa nchi ya ahadi upo kwenye hesabu ila leo hii kuna maeneo hayapo ndani ya ramani ile ila wayahudi wanayakalia je ni haki hiyo??
Sasa huo ni ujinga wa hao waarabu cha Mungu hakipingwi na ukikipinga hutashinda ndicho kilichotokea wakajikuta wanachukuliwa na maeneo yao mengine
Ni ujinga wao tu hawa waarabu wa kiislamu
 
Walifanywa watumwa irrespective walifikaje misri ndio najengea hoja kwamba ni kwanini unahalalisha laana ya Nuhu kwa canaan kwamba ndio ilisababisha canaan ije kutawaliwa na israel ila wana wa israel utumwani mbona hamsemi ni laana??huoni kuna undumilakuwili..... Je ina maana waafrika kwenda utumwani ulaya ni laana pia???
Utumwa ulikuja baada ya kuja mfalme mwingine ambae hakutambua Yusuf aliifanyia nini misri huku akiogopa kutokana na wingi wao huenda wakaja kuwatawala ndio wakaanza kuwatumikisha kama watumwa na kusahau yote waliyotendewa na Yusuf
 
Ni nabii gani kawarudisha hawa wayahudi wazungu israel maana miaka yote ni manabii ndio huwarudisha wayahudi kwao ssa naomba unitajie ni nabii gani kawarudisha hawa wayahudi feki israel??
Kwa akili yako ni wayahudi feki ila ni kizazi cha kabila la Yuda waliozamia maeneo mbalimbali baada ya uharibifu wa mji wote wa yersalemu walioufanya warumi kutokana na waisrael kuwa waasi dhidi ya dola la Roma wakati huo
 
Shida husomi biblia kijana nchi ya ahadi ipo misri hadi iraq ila mmeng'ang'ania tu palestina ya watu

Mwanzo 15
18 Siku ile BWANA akafanya agano na Abramu, akasema, Uzao wako nimewapa nchi hii, kutoka mto wa Misri mpaka huo mto mkubwa, mto Frati,

Kwanni hamuendi misri au iraq mnagombania nchi na wapalestina?? Why wakati nchi ya ahadi hipo hadi huko if at all NCHI YA AHADI ndio hoja yenu??
Akili zako ndio zimeishia hapa?
 
Wwe umesema wapalestina ni waarab waliohamia tu ila unasahau wapalestin ni uzao wa Abraham pia kiufupi waisrael na wapalestina wote ni watoto wa baba mmoja hata utafiti wa DNA wa American journal of human genetics umethibitisha hilo sasa kwanni muwatenge hao kutoka urithi wa baba yao?? Nani alisema baraka ni za Yakobo peke ake hadi ajimilikishe ardhi??
Nimesema waarabu wa kiislamu walivamia eneo ambalo sio Lao
 
Hatutafuti history ya nyuma tunachoangalia ni pale Ibrahim alipopewa ardhi Hiyo kuwa urithi wake huko mwanzo inawezekana kabisa ilikua yao lakini MUNGU wa Ibrahim alimpa Ibrahim tena kwa agano dhabiti lisilo wezwa kuvunjwa, Hivyo ndugu zenu wapelestina wanajisumbua tu.
Unasema "Hatutafuti history ya nyuma" sasa hio ardhi Abraham kapewa Leo? au na wewe unatumia reference za KIHISTORIA?
 
Hiki ulicholeta hapa ni maandiko ya kumpwleka mtu mbinguni
Mimi nazungumzia ardhi ya wana wa Israel mkuu Acha kupindisha mada
Haaahaaaa kwahiyo urithi wa ahadi za Abraham ni ya kwenda mbinguni na sio ahadi zote?? Unaweza tupa mstari unaosema ahadi hazihusianishi hadi ardhi?? Kwanni unailisha maneno biblia
 
Sasa huo ni ujinga wa hao waarabu cha Mungu hakipingwi na ukikipinga hutashinda ndicho kilichotokea wakajikuta wanachukuliwa na maeneo yao mengine
Ni ujinga wao tu hawa waarabu wa kiislamu
Na hii ndio shida ya wafia dini hivi hujui kuna wapalestina wakristo na wayahudi pia?? Na je unafaham kuna raia wa israel ambao ni waislam kabisa ingawa sio waarabu??? Je ina maana hao waislam wakiisrael nao ni wajinga na wale wapalestina wakristo/wayahudi ndio sio wajinga???
 
Nimesema waarabu wa kiislamu walivamia eneo ambalo sio Lao
Sasa nitajie nchi yeyote sahivi ambayo wakazi wa hapo walikuwepo miaka 2000 nyuma ntajie hata sehem moja...... Tanzania wote tulitoka pande zingine za afrika vivo hivyo hata ulaya sasa kwanni kwa palestina kuhamia ardhi nyingine kama tu ulimwengu mzima ulivyofanya iwe nongwa??

Anyway nasubiri unitajie hiyo nchi
 
Akili zako ndio zimeishia hapa?
Ndio zimeishia hapo naomba uniambie kwanni wayahudi wanakaa kwenye 10% ya nchi ya ahadi ilihali mipaka ya kibiblia ya nchi ya ahadi ni kubwa zaidi?? Kwanni wasiende misri au syria ambayo kibiblia ndimo nchi ya ahadi kwanni walazimishe kugombanka ardhi na wapalestina?? Kwanni hawafuati mipaka ya kibiblia wanajiamulia wenyewe alafu wakristo mnashabikia tu bila kuhoji??

Embu jibu hili ndio mada yako iwe na uhalali
 
Kwa akili yako ni wayahudi feki ila ni kizazi cha kabila la Yuda waliozamia maeneo mbalimbali baada ya uharibifu wa mji wote wa yersalemu walioufanya warumi kutokana na waisrael kuwa waasi dhidi ya dola la Roma wakati huo
Kabila ya yuda ndio ashkenazi??? Umesoma wapi hayo unayosema..... Wayahudi walishachangamana na hao waliorudi 90% ni ashkenazi jews na asili yao ni ukooo wa japhet sio shem hivyo hawana damu yeyote na wayahudi halisi..... Biblia iko wazi wayahudi halisi bado wako utumwani na watarudi nchi yao kipindi cha mpinga kristo na messiah Yesu akirudi ssa hao ashkenasizi toka lini wametoka ukoo wa shem ambao ndio Abraham alitokea humo? Hao walishachangamana na wazungu so sio wayahudi tena ni kitu kingine kabisa

Ashkenazi Jews - Wikipedia
 
Wafilisti walikuwa kabila la watu wa Ulaya ambao walivuka Bahari ya Kati na kisha kushindwa kuvamia Misri waliteka pwani ya Kanaani (1175 KK hivi) wakifaidika na silaha za chuma walizozitumia dhidi ya watu waliokuwa na zile za shaba tu, wakiwa wenyeji au Waisraeli.

Ingawa hawakuwa wengi, waliathiri sana nchi yao mpya, kiasi cha kuiachia jina la Palestina.

Habari nyingi juu yao zinapatikana katika Biblia.
Ha ha ha umenichekesha sana huo mstari wa mwisho eti "HABARI NYINGI JUU YAO ZINAPATIKANA KATIKA BIBLIA" ungeongezea nahii sentensi ya 'UKITAKA VICHEKESHO KAMA HIVI SOMA THREAD YANGU"
Hakuna biblia iliyoandika hayo uliyoyaandika ndiomaana umeshindwa hata kuweka kifungu kimoja umejiandikia tu mtu wa watu,umejiskia tu kuandika ili bando lako liishe kihalali
 
Ha ha ha umenichekesha sana huo mstari wa mwisho eti "HABARI NYINGI JUU YAO ZINAPATIKANA KATIKA BIBLIA" ungeongezea nahii sentensi ya 'UKITAKA VICHEKESHO KAMA HIVI SOMA THREAD YANGU"
Hakuna biblia iliyoandika hayo uliyoyaandika ndiomaana umeshindwa hata kuweka kifungu kimoja umejiandikia tu mtu wa watu,umejiskia tu kuandika ili bando lako liishe kihalali
Mkuu bora umekuja ... Nikiri tu kabla sijasoma thread yako ile kuhusu waisrael feki na mmi nilikuwa muumini wa propaganda kama hizi ila ulinifumbua macho na vile vitabu ulivyorecommend tusome vimenibadilisha kabisa mtazamo wangu kuhusu suala hili popote ulipo ubarikiwe
 
Mkuu bora umekuja ... Nikiri tu kabla sijasoma thread yako ile kuhusu waisrael feki na mmi nilikuwa muumini wa propaganda kama hizi ila ulinifumbua macho na vile vitabu ulivyorecommend tusome vimenibadilisha kabisa mtazamo wangu kuhusu suala hili popote ulipo ubarikiwe
thanks a lot nimefarijika sana kusikia hivyo ila kuna wakristo wengi sana bado ni mashabiki wa israel wengi wao hawana uelewa tu hata mimi nilikuwa hivyo zamani sishangai sana jitahidi hata na wewe kwa nafasi yako kuelimisha na wengine
kuna siri kubwa sana kuhusu israel ya kweli na si ajabu ukakuta wale wanaoitwa wapalestina leo hii ndio wakawa ndio wayahudi halisi! ila hawa waliopo pale leo hii ni fake sio wayahudi kama wengi wetu wanavyodhani
 
Ilikuwa ya Mungu na waliyoishi huko walikuwa waperisi na wakanaan ndio walikuwa wenyeji wa ardhi hiyo
Inaonyesha unamjibu kiulokole sana wakti mada umeileta jukwaani na hapa unatakiwa umjibu kwa majibu yanayoeleweka sasa ukisema ilikuwa ya MUNGU kila mtu anaelewa kila kitu ni cha MUNGU ila je ni ya Israelites au wapalestina
 
Kuhusu ardhi inayo piganiwa kati ya hayo mataifa mawili utata ulianzia pale ambapo Israelites walioyokuwa ujerumani kutokana na propaganda za mataifa yenye chuki na German kwa kipindi hicho.
Ikasemekama Hitler ana watesa na kuwaua sana sasa ikafika kipindi waisrael wanasema wanateswa na hapo wanajua kabisa sio kwao.

Lakini karibia asilimia kubwa ya biashara na viwanda vikubwa vya ujerumani vilikuwa vinamilikiwa na wayahudii sasa propanda ikaanza kwa wananchi wakijerumani kushinikiza hawa wayahudi warudi kwao na ukizingatia wayahudi walikuwa wanajua kabisa kwa muda huo hawana pakwenda na huku sekeseke la vita ya dunia inaanza na sekeseke la muingereza akiungana na marafiki zake kwa pamoja ili kupugana na mjerumani chini ya hitler anajipanga kupigana.

Huku mjerumani akiwa na silaha zenye technologia safi kabisa (kipindi hicho) kuliko nchi zote walizokuwa wanataka wapigane nazo mfano vifaru vinavyoweza kurusha makombora yake umbali mrefu na vyenye kumuona adui wakiwa kwa ndani pamoja na technoligia ya nyambizi inayosemekana ilikuwa imeanza chini ya uongozi wa Hitler huku german akiwa amejipanga kabisa kwa ajili ya vita na ikiwa imeshaanza baina yake na uingereza inakuja kuibuka familia yenye utajiri kuliko yote duniani (Rothschild family) hii ni familia inayoishi england ila wana asili ya kiyahudi hii familia inaanza kumshauri malkia kuhusu kuwapa wayahudi eneo la palestina huku wapelestina wakinyimwa uhuru wao.

Wakati kipindi muingereza anaacha makolini yake aliwapa kila koloni uhuru wao lakini wapelestina wakanyimwa uhuru na badala yake anaepewa myahudi na hapa ndio ugomvi mkuu unapoibuka zaidi (nimefupisha... Itaendelea siku nyingine..)
 
Hata mimi nabariki kwasababu ni haki yao na ni urithi wao na ni ardhi yao na wanacho kitaka ni mipaka yao halali waliyopewa na MUNGU wao ambae ni MUNGU wako pia, na hawataacha wapelestina watakapo achia aridhi yao waliyopewa urithi, na ukae ukiamini kwamba anguko la palestina limekalibia.
Huyo atakuwa mungu wa mama Yako Sio mungu wangu! Mungu wangu hawezi kubariki uwizi wa ardhi ya watu
 
Back
Top Bottom