zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Shida husomi biblia kijana nchi ya ahadi ipo misri hadi iraq ila mmeng'ang'ania tu palestina ya watuMisri ni nchi inayojulikana mipaka yake iko toka enzi za abraham na ilijulikana hivyo wataendaje kuishi huko
Mwanzo 15
18 Siku ile BWANA akafanya agano na Abramu, akasema, Uzao wako nimewapa nchi hii, kutoka mto wa Misri mpaka huo mto mkubwa, mto Frati,
Kwanni hamuendi misri au iraq mnagombania nchi na wapalestina?? Why wakati nchi ya ahadi hipo hadi huko if at all NCHI YA AHADI ndio hoja yenu??