Ukweli ni kwamba wapalestina hata wakiuwawa na waisrael pale sio kwao warudi walikotoka

Ukweli ni kwamba wapalestina hata wakiuwawa na waisrael pale sio kwao warudi walikotoka

Kama Abrahamu alisafiri kutoka Uru zaid ya kilomita 1500 mpaka kanaan akakuta wenyeji wakanaan na sio wafilisti basi hao wanaojidai ardhi ni yao wakati ina wenyewe wasepe au waendelee kuwa chini ya mwisrael la sivyo hakuna atakae wasikiliza wala kuwasaidia hao waarabu wa kiislamu wanajidai ni wapalestina halisi kumbe ni wahamiaji wa kiarabu
 
Kama Abrahamu alisafiri kutoka Uru zaid ya kilomita 1500 mpaka kanaan akakuta wenyeji wakanaan na sio wafilisti basi hao wanaojidai ardhi ni yao wakati ina wenyewe wasepe au waendelee kuwa chini ya mwisrael la sivyo hakuna atakae wasikiliza wala kuwasaidia hao waarabu wa kiislamu wanajidai ni wapalestina halisi kumbe ni wahamiaji wa kiarabu
Amka wewe GOYIM.
tapatalk_1531536437391.jpeg
tapatalk_1531398705260.jpeg
tapatalk_1531398684316.jpeg
 
Yaani nachosema wapalestina wa sasa na wayahudi feki wana DNA moja haijalishi nani ni feki nani sio feki ila hoja ni kwamba kama mnashare chanzo kimoja hiyo hoja ya kusema huyu sio ardhi yake maana sisi tulipewa na mababu zetu inatoka wapi wakati babu yenu ni mmoja

Nachotaka msiweke undumila kuwili mtuambie kivp israel ana haki ya hapo kuliko palestina kwa muktadha huu nasubiri
Mkuu nakupata sana, nachoshangaa ni kuwa wewe binafsi unang'ang'ania Huo undumilakuwili uñaowashauri wengine wasiwe nao! Kwa sababu mkuu, Haiwezekani watu unaodai kuwa wana DNA moja, wapalestina wawe feki halafu wenzao waisraeli wasiwe feki na au kinyume chake! Hebu nyoosha maelezo mkuu, kama wana DNA moja ni au wote ni halisi au wote ni feki.
 
Enzi hayo yanatokea dunia ilikuwa haiendeshwi kwa sheria zaidi ya kiimla kwenye falme nyingi ila miaka ya sasa kuna kitu kinaitwa sovereignty ambayo sheria za kimataifa linasimamia ndio maana hata urusi alipovamia crimea haikujalisha sababu ila ilipigiwa kelele na dunia nzima na hta kuwekewa vikwazo sasa nipe mfano wa nchi ambayo ilikaliwa kimabavu na dunia haijapiga kelele toka kuanzishwa kwa league of nations (mtangulizi wa UN) ili sasa ndio tuihalalishe israel kuwavamia palestina
Mkuu, hivi Urusi iliivamia Crimea lini na Israel ilianza kuikalia palestine lini?! Na hiyo Urusi unayoitolea mfano imeacha lini kuikalia Crimea?! Yaani hizo kelele zimesaidia nini?! Kuna Sahara magharibi pia mkuu....unaisemeaje?! Haya mambo yapo Sana mkuu, wala hayajaisha.
 
Mkuu nakupata sana, nachoshangaa ni kuwa wewe binafsi unang'ang'ania Huo undumilakuwili uñaowashauri wengine wasiwe nao! Kwa sababu mkuu, Haiwezekani watu unaodai kuwa wana DNA moja, wapalestina wawe feki halafu wenzao waisraeli wasiwe feki na au kinyume chake! Hebu nyoosha maelezo mkuu, kama wana DNA moja ni au wote ni halisi au wote ni feki.
Huyo anamuhuri ea moto moyoni
 
Mimi ni Mkristu lakini Sikubaliani Kabisa na WaIsraeli Wanachowafanyia WaPalestina..

Kama hukubaliani usije hata siku moja ukaomba Mungu ukasema haya maneno yafuatayo

1.Mungu wa Ibrahimu, Isacka na Yakobo
2. Mungu wa Israeli, uliyekuepo, uliyepo na utakae kuepo
3. Mungu Bab, Mwana na Roho.
4.Mungu uleyewapiga Wamisri wale mapigo 10
5.Mungu uliye wavusha watu wako katikati ya bahari

Ni nani kama wewe Eeee YAHU
 
Kama hukubaliani usije hata siku moja ukaomba Mungu ukasema haya maneno yafuatayo

1.Mungu wa Ibrahimu, Isacka na Yakobo
2. Mungu wa Israeli, uliyekuepo, uliyepo na utakae kuepo
3. Mungu Bab, Mwana na Roho.
4.Mungu uleyewapiga Wamisri wale mapigo 10
5.Mungu uliye wavusha watu wako katikati ya bahari

Ni nani kama wewe Eeee YAHU
Huyo ni GOYIM TUUU
 
Kitu kingine ambacho hamjui ni kwamba baada ya gharika kuu Noah na wanawe na wajukuu zake waliishi huko Uru na Abrahamu alizaliwa huko miaka miwili tu baada ya kifo cha Noah
 
Mkuu nakupata sana, nachoshangaa ni kuwa wewe binafsi unang'ang'ania Huo undumilakuwili uñaowashauri wengine wasiwe nao! Kwa sababu mkuu, Haiwezekani watu unaodai kuwa wana DNA moja, wapalestina wawe feki halafu wenzao waisraeli wasiwe feki na au kinyume chake! Hebu nyoosha maelezo mkuu, kama wana DNA moja ni au wote ni halisi au wote ni feki.
Mkuu alichosema mtoa mada ni kwamba nchi ni ya waisraeli kisa walipewa na mababu zao na sio ya wapalestina ndio namuelewesha hyo hoja haina maana sababu tafiti zinaonyesha hawa wayahudi wa sasa wanashare chimbuko moja na wapalestina haijalishi kama wote ni feki ama lah ila hyo hoja ya kusema mababu zao wayahudi ndio walipewa hyo nchi inakufa hapo. Hiyo hoja ikubalini imekufa ndio tuelezane ufeki wa hawa wayahudi wa sasa unaanzia wapi na ntakuwekea na vitabu hapa visivyo egemea upande wowote ili tuwe kundi moja
 
Kitu kingine ambacho hamjui ni kwamba baada ya gharika kuu Noah na wanawe na wajukuu zake waliishi huko Uru na Abrahamu alizaliwa huko miaka miwili tu baada ya kifo cha Noah
Haahaaaa acha utani bhana vizazi 10 vilipita baada ya Nuhu ndio abraham anazaliwa alafu unasema alizaliwa miaka 2 baada kifo cha nuhu?? Hivi unaweza kunipa huo mstari wa biblia

kasome mwanzo 11 sura nzima utagundua abraham kazaliwa miaka 400 toka kifo cha Nuhu hivyo unachosema hapa ni upotoshaji mkubwa sana ili tu kuitetea israel so sad!!!
 
Mkuu, hivi Urusi iliivamia Crimea lini na Israel ilianza kuikalia palestine lini?! Na hiyo Urusi unayoitolea mfano imeacha lini kuikalia Crimea?! Yaani hizo kelele zimesaidia nini?! Kuna Sahara magharibi pia mkuu....unaisemeaje?! Haya mambo yapo Sana mkuu, wala hayajaisha.
Wwe ulichosema ni kwamba mataifa mengi yanakalia nchi zingine na watu hawapigi kelele ndio nmetoa mfano kuwa russia hapa ilipo ina vikwazo kibao kisa tu kuivamia crimea na hata hiyo morocco iliwahi kimbia AU kisa tu walipingwa vikali kuikalia kimabavu Sahara..... Hivyo hoja yako kusema kwanni israel pekee inapigiwa kelele haina mashiko maana nmeshakupa mifano ya nchi zinazopigiwa kelele sababu ya kuikalia nchi zingine kimabavu
 
Mkuu alichosema mtoa mada ni kwamba nchi ni ya waisraeli kisa walipewa na mababu zao na sio ya wapalestina ndio namuelewesha hyo hoja haina maana sababu tafiti zinaonyesha hawa wayahudi wa sasa wanashare chimbuko moja na wapalestina haijalishi kama wote ni feki ama lah ila hyo hoja ya kusema mababu zao wayahudi ndio walipewa hyo nchi inakufa hapo. Hiyo hoja ikubalini imekufa ndio tuelezane ufeki wa hawa wayahudi wa sasa unaanzia wapi na ntakuwekea na vitabu hapa visivyo egemea upande wowote ili tuwe kundi moja
Kumbuka hao wapalestina wanaokaa hapo leo wakijiita wapalestina sio wapalestina halisi Bali ni waarabu wavamizi
Wapalestina halisi walikuwa wafilisti ambao sasa hawapo
 
Na kumbuka hao wafilisti wanatoka ulaya lengo lao lilikuwa uvamizi huko misri
Waliposhindwa wakateka pwani ya kanaan kwa kuwashinda wenyeji wakaiita palestina na miji waliyoiteka ni Gaza, Ashdod, Askalona, Ekroni, na gath
 
Haahaaaa acha utani bhana vizazi 10 vilipita baada ya Nuhu ndio abraham anazaliwa alafu unasema alizaliwa miaka 2 baada kifo cha nuhu?? Hivi unaweza kunipa huo mstari wa biblia

kasome mwanzo 11 sura nzima utagundua abraham kazaliwa miaka 400 toka kifo cha Nuhu hivyo unachosema hapa ni upotoshaji mkubwa sana ili tu kuitetea israel so sad!!!
Unasoma halafu hauelewi baada ya gharika kuu Noah aliishi miaka 350 baada ya kutoka katika safina
 
Mkuu umejibu vema sana. Hichi kitu najiuliza sana.. ilikuwaje Joshua na jeshi lake wakapata uhalali wa kuwaua watu wasio na hatia? Je Mungu aliwezaje kuruhusu mauaji hadi ya watoto wadogo? ....... kwa upande mwingine ni kuwa wapalestina walikuwa kwenye hiyo ardhi kabla hata ya Ibrahim sasa inakuwaje kwa sasa watimuliwe na kuuwawa ovyo kama nzige.
Jibu lako linazidi kuibua maswali zaidi mkuu!
Kwa kifupi tu hivi leo hii au kesho ikitokea Wayahudi wakaja hapa Tanzania wakiwa na ndege za kijeshi, vifaru, bunduki na kila aina ya silaha wakaanza kutushambulia kila kona wakisema, "JEHOVAH/MUNGU KATUPA NCHI YA TANZANIA TUITAWALE NA KUIMILIKI!" utawaelewa na kuwasaport kwa kuwa Mungu wao ndio amewapa Tanzania?
Kumbuka Mungu wao pia wakati ule aliwaamuru waue kila mtu watakaemkuta mule kanaan kuanzia watoto, wazee, kinamama, vijana, kukatakata na maashera yao na kuua mpaka na wanyama wafugwao! Sasa chukulia ndio tupewe taarifa leo kuwa asubuhi ya kesho tuwe tumeondoka nchini mwetu laa sivyo tutauawa wote na Wayahudi kwa kuwa Mungu amewapa nchi hii.

Nakuuliza tena! Utakuwa tayari kwa jambo hilo kwa kuwa Mungu ndio kasema?
Je, kwaweza kuwa na Mungu mpumbavu namna hii?

Mungu muweza wa yote, mwenye upendo, mjuzi wa yote, aliyeko kila mahali aweza kuyatenda hayo?

Unajua binadamu mwenye akili timamu akiyaamini haya, basi kuna haja hizi dini zipigwe marufuku maana zinadumaza akili za watoto wetu.
 
Mkuu umejibu vema sana. Hichi kitu najiuliza sana.. ilikuwaje Joshua na jeshi lake wakapata uhalali wa kuwaua watu wasio na hatia? Je Mungu aliwezaje kuruhusu mauaji hadi ya watoto wadogo? ....... kwa upande mwingine ni kuwa wapalestina walikuwa kwenye hiyo ardhi kabla hata ya Ibrahim sasa inakuwaje kwa sasa watimuliwe na kuuwawa ovyo kama nzige.
Wapalestina au wafilisti Waliingia kanaan kutokea ulaya wakati huo Joshua ameshakufa na Israel inaongozwa na waamuzi wakati huo
Wakazi wenyeji ni wakanaan ambayo kabla walichanganyika na abraham alipotoka Uru akawakuta wakanaan na makabila mengine hapo
 
Ila hao wanajiita wapalestina hivi sasa ni waarabu wa kiislamu waliovamia eneo hilo baada ya wayahudi kutawanyika huko ulaya
 
Kanaan kwa sasa imejaza nchi kibao kama Lebanon, Jordan, Syria lakini jiulize kwa nini kuna ugonvi kati ya Israel na palestina kwa sasa
Ni kwa sababu palestina anataka apewe mji ambao haujawahi kuwa wake na wala kihistoria haipo
Yerusalem
 
Back
Top Bottom