Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
' Season' ndio Series ?Season zinashika watu masikio kweli duh!!
Unachanganya rangi, km Dhurqarnain ndo Alexander ninakuuliza je huyo Alexander alikuwepo kipindi cha Musa?aiseee " mtihani Sana " nasio kwenye " historia ya madarasani tu" mkuu nyabhingi anasem huyo Alexander ndiye mtu anayefahamika Kama dhur qarnain kwenye Quran ametajwa kwa jina hilo mbaya zaidi amepewa sifa ya ucha mungu",ukiachlia mbali mauaji yote hayo aliyokuwa anayafanya
Pia usisahau kuna habari kua watu weusi kutoka Mali walikua wanaenda kuuza dhahabu kule America kwa wahindi wekundu kabla hata ya Columbus kufika. Huko Mexico kuna michoro ya Olmecs walikua na sura za watu weusi.Haahahaha unanikumbusha uongo wao wa kuwa captain cook alivumbua papua new guinea na australia ila ushahidi mpya unaonyesha kulikuwepo na biashara kati ya wakazi wa papua new guinea (aborigines) na wafanyabiashara wa kutoka pande zote za dunia tokea karne ya 14 hata kabla huyo cook hajatia maguu huko miaka 400 baadae!!!
Siku zinavyozidi kwenda uongo wao unadhidi kudhihirika
sasa siuende Wikipedia " mkuu utapata mlolongo mzuri wa hili swali lako "" nitakujibu baadae this time niko tight kiasiUnachanganya rangi, km Dhurqarnain ndo Alexander ninakuuliza je huyo Alexander alikuwepo kipindi cha Musa?
Wikipedia bado sio reliable source kwa sababu umehusisha Qur'an na mimi nimekujibu hao ni wawili tofauti sababu Dhurqarnain alionana na Musa na ndo maana nami nikakuuliza huyo Alexander alikuwepo kipindi cha Musa?sasa siuende Wikipedia " mkuu utapata mlolongo mzuri wa hili swali lako "" nitakujibu baadae this time niko tight kiasi
hawa wazungu ni wajanja wajanja sana...wamepindua historia nyingi sana,Haahahaha hao ndio wazungu yaani anageuza kwa kuogopa majeshi ya kihindi na kichina alafu analia amekosa wapinzani wa kupigana nao 😀😀
Ina maana wakati huyo mzungu anaingia pale Kilimanjaro hakuwakuta wamachame wanaendelea na shughuli zao...!!?[emoji15]Ogopa sana watu wanaotaka kukuaminisha mlima Kilimanjaro uligunduliwa sijui na mtu mzungu gani.
Naskia walikua civilized kitambo sana tatizo ni kuja kutawaliwa na waingereza tuu bora wangekomaa kama china.Binafsi nimewahi kitembelea maoneo ya kihistoria kule india. Wale jamaa wanahistoria ndefu sana enzi na enzi sema tu haiko celebrated kama ya ulaya. Wana kingdom kibao zilitamalaki na walikua na maendeleo sana tu kabla ya ukoloni wa waingereza. Kingdoms toka za akina Chola, Chalukya, masultan wa delhi mpaka akina Mughals. Wahindi toka enzi ni mafundi sana wa uchongaji,ujenzi na pia madawa ya mitishamba.
Alexandria mji mzuri sana huu kule misri,beach nzuri ,watoto wazuri,wana utamaduni Fulani wa kizungu hivi ,asee umenikumbusha huu mjiNia na lengo la Alexandre the Great ilikuwa kutawala dunia. Falme alizoziteka aliingiza utamaduni wa Kigiriki akichanganya na wa nchi husika.
Yeye ndiye sababu ya kuwa na mji wa Alexandria nchini Misri na alioa watoto wa wafalme aliowateka. Malkia na watoto wake waliendeleza utawala wake.
Baada ya Misri kuwa himaya yake Alexander the Great W alianza kufuata Helenic cultureAlexandria mji mzuri sana huu kule misri,beach nzuri ,watoto wazuri,wana utamaduni Fulani wa kizungu hivi ,asee umenikumbusha huu mji
Wana utamaduni Fulani tofauti na miji mingine pale Misri ,hapa Alexandria nili enjoy kwa kweliBaada ya Misri i kuwa Hinaya ya Alexander the Great W alianza kufuata Helenic culture
Sijawahi kufika Alexandria lakini kwa maelezo yako inaweza kuwa wana culture sawa na UgirikiWana utamaduni Fulani tofauti na miji mingine pale Misri ,hapa Alexandria nili enjoy kwa kweli
Kwa Egypt ,Alexandria kuna bata zote ,western life Fulani hivi ,fukwe moja matata sanaSijawahi kutoka Alexandria lakini kwa maelezo yako inaweza kuwa wana culture sawa na Ugiriki