Ukweli ni upi : Alexander the Great akiwa INDIA

hakika umechambua vizuri sana,, yani biblia ukiisoma ina stori za kusisimua sana.
 
I remember nimesoma soma kidogo History ya Alexander the Great, wanaodai kuwa alikuwa anashinda mapambano yote sio kweli. I remember kuwa Alexander alipata upinzani mkali sana katika ardhi ambayo leo ni Afghanistan ya leo, ujuzi wangu kiukweli kuhusu eastern campaign za Alexander the Great unaishia hapo. Wanahistoria wanasema upinzani mkali wa Afghanistan haukuanza kuonekana kwa Mmarekani
 
Hii story ipo kwenye kitabu cha daniel mkuu. But hakutajwa tu moja kwa moja.
najua,lakini unabii unatafsiriwa kulingana na matakwa au mtazamo wa watu fulani,kwa mfano wakatoliki na wasabato wanatofautiana katika kutafsiri unabii wa kwenye kitabu cha UFUNUO WA YOHANA
 
Mkuu zitto kama Alexander alikufa kwa kujeruhiwa baada ya kushindwa vita na kupata kipigo kikali basi hata mafundisho church hawako sahihi maana tusoma Alexander alikufa kwa homa kali na ulevi na ndipo majenerali wake akina cassander , Ptolemy n.k wakagawana falme mpk kuja wakati wa Roman empire
 
Mkuu mafundisho church bado wako sahihi maana kama ni homa kali huenda ilichangiwa na majeraha ya vitani ya muda mrefu !!!
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…