Ukweli ni upi : Alexander the Great akiwa INDIA

umenikumbusha season ya porus
Huyo anajiita Alexander MKUU
wakati yupo India alichezea kichapo heavy
ni vile wazungu wanapenda kupotsha as walivyopotosha hist Yetu
 
Alexa
Hakuwahi kuwa na watoto
 
Dah acha tu alafu mwisho wa siku hiyo historia ndio tunafundishwa madarasani huku Africa.... Kwa kweli tuna safari ndefu sana kujikomboa
Hivi ule uchafu wa historia ya mzungu wa kwanza kugundua mlima Kilimanjaro Joni Spiki bado unafundishwa?
 
Walimpa binti wa kihindi akamwoa na yeye kuwaachia mamlaka yao ya ndani lakini kwa makubaliano kuwa watakuwa chini ya himaya yake. Lakini alivyotoka tu huko Hindukush hakuwa na maisha marefu. Akapatwa mauti akiwa Babylon ambayo alikuwa ameifanya kuwa mji wa himaya yake kuu.
 
who knows folded codes?
hakuna mwenye uhakika 100 since ni unabii
Wenye Imani thabiti wana uhakika. Wale wasiofata mkumbo ila waliamini kwa kuitwa na Mungu. Tatizo sayansi imeshawajaza watu ujinga wa kudai, "without proof, you know nothing about it" huu ndo ujinga uliowakaa wengi wapenda sayansi kuliko Mungu. Kitu kimoja nachoweza sema kuhusu Mungu, ni Roho. Hutoichunguza kwa nyama wala mitambo
 
Nitatufa
Aisee, ndo mzigo umefika season ya 392 wallah! Vipande vingine hadi next week.

Tafuteni movie hii iendayo kwa jina la PORUS. Kumedadavuliwa kila kitu. Na mzigo umeenda shule sana
Nitaitafuta hii Nazani YouTube itakuwepo
 
Dah mi leo ndio nimeelewa ngoja nikaendelee na season ya porus labda ntapata jibu ila alexander kupigwa na wahindi ngumu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…