Ukweli ni upi juu ya wimbo wa Mandojo na Domokaya?

Ukweli ni upi juu ya wimbo wa Mandojo na Domokaya?

A sweet song of all time. When bongofleva was real music.

Fuc.k the current bull.shits eti ''weka mate niteleze'' and the likes.

-Kaveli-
 
Mzee unaweza kushare kidogo, maana jamaa kazungumzia kwamba mshua alikuwa katibu mkuu wizara ya fedha, kazungumzia vile vile kuhusu kuvunjwa kwa baraza( ingawa hii naona si kweli, makatibu wakuu na wizara wapi wapi), na vipi kuhusu kupotezana na mshua wake.
Itakua ilivunjwa baraza halafu wizara ikavunjwa ili kuunganishwa na wizara nyingine. Bahati ikawa mbaya kwa katibu wa wizara moja "Dingi" ndio akawa amepunguzwa kazini. (ni mawazo yangu)
 
Zamani nilikuwa na mawazo kama yako, dingi anaishi maisha yake, akishakufa nanyi inakuwa zamu yenu kula bata kupitia urithi atakaouacha. Waacheni madingi wale bata.
Hiyo inaitwa watoto mkome sunirini wakati wenu sio huu
 
Back
Top Bottom