Honey Faith
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 15,782
- 11,819
Wanasemaga mtu huwezi jiona atii watu ndio wanakuonateh teh jikague... jamani mmh hata kwa macho uoni?
Wewe mhaya naona mawazo yamehama ghafla.wimbo wake mpya ni mzuri sana lakini nashangaa kwanini haupati air time ya kutosha...jamaa ana kipaji sana?
Hivi Honey Faith huwa unakula ndizi au senene? kuna kitu nimegundua...
Dablyusibi[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mashabiki masikio yote yapo Dabliyusibi
Mzaramo,Tatizo lake Mwinyi mno yule Mdigo....ila kuhusu mziki wake jamaa ni mkali mno
Miguu mama. (Ntasutwa bureee)Kitu gani hicho?
Ni Mzigua. Ila sauti yake inanakshiwa sanaTatizo lake Mwinyi mno yule Mdigo....ila kuhusu mziki wake jamaa ni mkali mno
Mahaba yakizidi muone daktari[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Sasa kama Kassim ni Icon ya bongo je Diamond Platnumz baba tifah Dangote mtoto wa tandale young bilioner, icon ya africa mashariki na kati na mashariki ya mbali a.k.a Simba, Kifaru, atakuwa nani sasa?