Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Uongo alimwambia Ukw eli, "Hebu tuoge pamoja, maji ya kisima ni mazuri sana.
Ukweli, akiwa bado na mashaka, alijaribu maji na kugundua kuwa ni mzuri. Basi wakavua wote nguo wakawa uchi na kuanza kuoga.
Lakini ghafla, muongo akaruka kutoka majini na kukimbia, akiwa amevaa nguo za Kweli.
Ukweli, kwa hasira, alitoka nje ya kisima na kumkimbiza uongo ili kuchukua nguo zake.
Lakini walimwengu, walipoona Ukweli ulio uchi, ulitazama pembeni, kwa hasira, dharau na aibu
Maskini Ukweli ulirudi kisimani na kutoweka milele, kuficha aibu yake.
Tangu wakati huo, Uongo unazunguka ulimwenguni kote, umevaa kama Ukweli, na jamii ina furaha sana..... kwa sababu ulimwengu hauna hamu ya kujua Ukweli ulio uchi.
Happy new year in advance.. The naked truth is gone forever😭
Ukweli, akiwa bado na mashaka, alijaribu maji na kugundua kuwa ni mzuri. Basi wakavua wote nguo wakawa uchi na kuanza kuoga.
Lakini ghafla, muongo akaruka kutoka majini na kukimbia, akiwa amevaa nguo za Kweli.
Ukweli, kwa hasira, alitoka nje ya kisima na kumkimbiza uongo ili kuchukua nguo zake.
Lakini walimwengu, walipoona Ukweli ulio uchi, ulitazama pembeni, kwa hasira, dharau na aibu
Maskini Ukweli ulirudi kisimani na kutoweka milele, kuficha aibu yake.
Tangu wakati huo, Uongo unazunguka ulimwenguni kote, umevaa kama Ukweli, na jamii ina furaha sana..... kwa sababu ulimwengu hauna hamu ya kujua Ukweli ulio uchi.
Happy new year in advance.. The naked truth is gone forever😭
