Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,307
- 25,932
Viva yanga, Viva wanachi!Huo ndiyo ukweli. Hongereni sana Yanga na miamba ya soka ya Ulaya na dunia AC Milan. Mwenyezi Mungu aendelee kuwalinda na kuwaongoza katika kuilinda rekodi hii ya kuvutia.
Yanga: Daima Mbele, Nyuma Mwiko!
Umepitia ligi zote za dunia kabla ya kuandika mada yako?Huo ndiyo ukweli. Hongereni sana Yanga na miamba ya soka ya Ulaya na dunia AC Milan. Mwenyezi Mungu aendelee kuwalinda na kuwaongoza katika kuilinda rekodi hii ya kuvutia.
Yanga: Daima Mbele, Nyuma Mwiko!
Eti anaandika kabisa Ulimwenguni alivyo mpuuzi.Umepitia ligi zote za dunia kabla ya kuandika mada yako?
Cheki hapo ligi ya Ujerumani kuna Leverkusen na Wolfsburg hazijafungwa.
Hapo hapo Italy umeonaje Ac Milan na hujaona Juve na Sassuolo pia?Umepitia ligi zote za dunia kabla ya kuandika mada yako?
Cheki hapo ligi ya Ujerumani kuna Leverkusen na Wolfsburg hazijafungwa.
La liga pia kuna Atletico, pale Portugal Sporting Cp hajapoteza.Hapo hapo Italy umeonaje Ac Milan na hujaona Juve na Sassuolo pia?
Kwahiyo sisi mbumbumbu fc tunashiriki vp msiba wa azam fc [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wakati wa ukuaji wangu nilikuwa naamini sana hakuna watu wazima wajinga lakini cha ajabu nilivyokua mtu mzima niliona watu wazima wengi sana wajinga.
Wewe ni mmoja wao yani ni mjinga sana.
Siendi mbali ligi ya Afrika ya Kusini ina timu 5 ambazo hazijapoteza mpaka sasa.
Swallows, Orlando, Mamelodi n.k
Utopolo shirikini kwa kuitazama Simba SC/mnyama Taifa kubwa ikiichambaga fc plateau nyumbani kwake.Kwahiyo sisi mbumbumbu fc tunashiriki vp msiba wa azam fc [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu hata mimi nashangaaWe ni bonge la kilaza Lille ya ufaransa haijamfunga ac Milan goli 3 bila week kama mbili zimepita
Habari za asubuhi.Yanga ndio klabu bora africa kwa sasa