Nyanda Banka
JF-Expert Member
- Mar 14, 2023
- 304
- 1,054
. Kukataa kujilinganisha na watu Wengine hukufanya uwe na nguvu....
2. Kukubali udhaifu wako, hukufanya uwe na nguvu zaidi ..
3. Kukabiliana na changamoto zako uso kwa uso, hukufanya uwe na nguvu zaidi...
4. Kujipa fursa ya kuanza upya Baada ya kushindwa, hukufanya uwe na nguvu zaidi ...
5. Kukataa kutojiamini kama kikwazo, hukufanya uwe na nguvu zaidi...
6. Kufanya kazi kwa Mtazamo wa Upate na Wengine wapate, hukufanya uwe na nguvu zaidi ..
7. Kutokujilaumu mwenyewe hasa Mambo yanapoonekana kwenda Tofauti na Matarajio yako, hukufanya uwe na nguvu zaidi...
8. Kuamini katika uwezo wako, hukufanya kuwa na nguvu zaidi..
9. Kuwapandisha watu juu katika kutimiza ndoto zao, hukufanya kuwa na nguvu zaidi...
10. Kutokujidharau mwenyewe, hukufanya kuwa na Nguvu zaidi...
12. Kuamini Mafanikio ya kweli ni mchakato unaoambatana na juhudi zako, hukufanya kuwa na Nguvu zaidi...
13. Kujisamehe mwenyewe kwa makosa yako ya nyuma, Hukufanya kuwa na Nguvu zaidi..
4. Kuishi Leo yako, hukufanya kuwa na Nguvu zaidi...
NB: Kumtanguliza MUNGU katika kila unachofanya, ni ufunguo wa nguvu zako zote...
2. Kukubali udhaifu wako, hukufanya uwe na nguvu zaidi ..
3. Kukabiliana na changamoto zako uso kwa uso, hukufanya uwe na nguvu zaidi...
4. Kujipa fursa ya kuanza upya Baada ya kushindwa, hukufanya uwe na nguvu zaidi ...
5. Kukataa kutojiamini kama kikwazo, hukufanya uwe na nguvu zaidi...
6. Kufanya kazi kwa Mtazamo wa Upate na Wengine wapate, hukufanya uwe na nguvu zaidi ..
7. Kutokujilaumu mwenyewe hasa Mambo yanapoonekana kwenda Tofauti na Matarajio yako, hukufanya uwe na nguvu zaidi...
8. Kuamini katika uwezo wako, hukufanya kuwa na nguvu zaidi..
9. Kuwapandisha watu juu katika kutimiza ndoto zao, hukufanya kuwa na nguvu zaidi...
10. Kutokujidharau mwenyewe, hukufanya kuwa na Nguvu zaidi...
12. Kuamini Mafanikio ya kweli ni mchakato unaoambatana na juhudi zako, hukufanya kuwa na Nguvu zaidi...
13. Kujisamehe mwenyewe kwa makosa yako ya nyuma, Hukufanya kuwa na Nguvu zaidi..
4. Kuishi Leo yako, hukufanya kuwa na Nguvu zaidi...
NB: Kumtanguliza MUNGU katika kila unachofanya, ni ufunguo wa nguvu zako zote...