Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu mna uvumilivu wenu !! Simu nisubirie mwaka ?? Ni Kama haiwezekaniHapana, Bajeti Haitaniruhusu Ila Nitasubir Tu Maana Mwezi March Sio Mbali Sana. Ni Kama Nusu Mwaka Tu Umesalia!
Kama Mungu Amependa Sio Mbaya!!!Andaa 2+M
kwanini mkuu!?Samahani nimekosea kupita njia hii... endeleeni na kikao mimi ni mpita njia tu
Unashindwaje Kusubiri While Una Simu Nyingine Ya Kukuvusha Huo Mwaka!!!?Watu mna uvumilivu wenu !! Simu nisubirie mwaka ?? Ni Kama haiwezekani
Pamoja Na Hilo Ila Sanasana Natumia Camera Hasa Ninapokua Kwenye Matukio Mbalimbali Kama Kanisani!Unakuta wanaolalamika Ni wachezaji wa Magame kama FORTINITE NA PUBG sasa kama wewe utegemei fanya izo mambo relax nunua simu
Iko Wap Mkuu?Tecno iliyobadilishwa jina
Mkuu Mkwawa naomba unisaidie utatuzi,simu inashindwa ku-connect na Tv via USB.,ila nikijaribu simu nyungine za matoleo ya zamani zinakubali,hii ni Tecno spark 4. kama kuna jinsi nielekeze ili niwawekee watoto cartoon.Mkuu wewe kwanza unataka simu kwa ajili ya Nini? Flagship yoyote ile iwe ni Note 20, Oppo find X, p40, oneplus 8 etc haitakaa na Chaji compare na Midrange ama lowend, na ku heat pia tegemea iwe ya moto matumizi yakiwa makubwa, kuna simu zina hadi mafeni. Hivyo ni vyema kujua Matumizi yako kwanza na kitu unachofanya halafu ufanye maamuzi mazuri, kama ukaaji chaji na simu kutopata joto ni priority yako pengine kuna simu nzuri zaidi.
Kuhusu Exynos na snapdragon version ni kweli Snapdragon (865) inakaa na chaji zaidi kuliko mwenzake wa Exynos na haipati joto sana kama Exynos.
Ila tetesi za awali galaxy s21 Exynos yake inaweza kuwa nzuri zaidi ya snapdragon 875, hivyo kusubira pia ni option
nimeona simu za tecno otg ipo kwenye menu, jaribu kuiweka onMkuu Mkwawa naomba unisaidie utatuzi,simu inashindwa ku-connect na Tv via USB.,ila nikijaribu simu nyungine za matoleo ya zamani zinakubali,hii ni Tecno spark 4. kama kuna jinsi nielekeze ili niwawekee watoto cartoon.
Hapana mkuu Tv haina WiFi ni zile Samsung za mda kidogo, hapo juu sijakuelewa otg maana yake nini?.nimeona simu za tecno otg ipo kwenye menu, jaribu kuiweka on
na tv yako haina wifi?
Otg ni feature ya Usb kuweza kuconect na vifaa mbalimbali kama flash, mouse, etcHapana mkuu Tv haina WiFi ni zile Samsung za mda kidogo, hapo juu sijakuelewa otg maana yake nini?.
pubg nomaahUnakuta wanaolalamika Ni wachezaji wa Magame kama FORTINITE NA PUBG sasa kama wewe utegemei fanya izo mambo relax nunua simu
- File transferOtg ni feature ya Usb kuweza kuconect na vifaa mbalimbali kama flash, mouse, etc
Nimeona mahala hio simu otg unaiweka on kwa setting, hivyo nenda setting ya simu search kwenye connectivity humo.
Ama ukichomeka waya wa usb angalia kama kuna kitu kinatokea kuhusiana na hio setting.
Android version 6........ Hiyo simu si ni kama kununua gari ya mwaka 1990
Android version 6........ Hiyo simu si ni kama kununua gari ya mwaka 1990
Kipya kinyemi wahenga walisema , najua una simu Ila kusubiria kitu kwa miezi kadhaa huwa siwezi.Unashindwaje Kusubiri While Una Simu Nyingine Ya Kukuvusha Huo Mwaka!!!?