A man from Island
JF-Expert Member
- Aug 13, 2020
- 211
- 376
- Thread starter
-
- #41
Mkuu, Nimejaribu Kucheki Spec&Features Za Hiyo Simu Yako (Tecno Spark 4) Sioni Features Za Wife Direct & USB On The Go(OTG). Kukosa Kwa Hizo Feature Ndo Mwanzo Wa Simu Yako Kushindwa Kuconnect Na Tv Yako Through Usb Wire.Mkuu Mkwawa naomba unisaidie utatuzi,simu inashindwa ku-connect na Tv via USB.,ila nikijaribu simu nyungine za matoleo ya zamani zinakubali,hii ni Tecno spark 4. kama kuna jinsi nielekeze ili niwawekee watoto cartoon.
Kazi ya simu yangu ni mawasiliano na kupezuri mitandaoni hayo mengine ni kama kununua VX-R V8 kwa safari za Ilala - KariakooAndroid version 6........ Hiyo simu si ni kama kununua gari ya mwaka 1990
Wamependa wazungu sio MunguKama Mungu Amependa Sio Mbaya!!!
Alternative kama una flash nunua waya wa otg uwe unahamisha toka kwenye simu kwenda flash, then tumia flash kuangalizia kwenye tv.- File transfer
- Usb tethering
- MIDI
- No data Transfer
Mkuu CHIEF MKWAWA nina uzoefu kidogo na smartphone,ila hizo option uki-select hazirespond mdio inazidi kuonesha kuwa iko na chaji. Nilifili labda haya matoleo hizi feature imenyimwa. Labda niifanyie factory reset.
Hata hivyo simu ni mpya ina miezi miwili.lakini kila mara inaniomba update,
Asante Mkuu,nitafuata huu ushauriAlternative kama una flash nunua waya wa otg uwe unahamisha toka kwenye simu kwenda flash, then tumia flash kuangalizia kwenye tv.
Hivi kumbe unaweza ukawa unatumia Galaxy S20 ultra na Galaxy note 20 ultra halafu bado una shida!? 🤔 🤔Funguka Mkuu!! Kwann Hizi Exynos Chip Hazitaki Shida?
Mkurupukaji Katika Ubora Wake!!!Hivi kumbe unaweza ukawa unatumia Galaxy S20 ultra na Galaxy note 20 ultra halafu bado una shida!?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Hivi kumbe unaweza ukawa unatumia Galaxy S20 ultra na Galaxy note 20 ultra halafu bado una shida!? [emoji848] [emoji848]