Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Kimekukuta nn mkuuHuu ni ukweli ambao wapiganaji wengi wanaogopa kusema kwa uwazi. Usiombe ujichanganye hovyo nyau nyau kwa pisi kali.
Azuma haifanyi kazi kwa UTI ya pisi kali jichunge, naishia hapa mtaongeza ushuhuda wenu.
Jipende jilinde
Chief Wadiz a.k.a Chief Mapenzi
Muulize huyo mwanamke aliyemuambukiza UTI aliambukizwa na mwanamke mwenzake!?,au mwanaume!?Kimekukuta nn mkuu
Na hapo bado magonjwa ya ndan ndan 😂Kuna mtu Kapiga kapata uti kapiga azuma wapiiiiii? Chloroquin wapiiii sijui nini wapiiii?
Qbbk atasema tu mbona bado hajasema😂😂😂😂😂😂😂
🎵Ana andiiii anaa andiiii ana andiiii ana andidaa🎼🎶
Achana na haya mambo sweetheart...🎵Ana andiiii anaa andiiii ana andiiii ana andidaa🎼🎶
Naimba tu mie
Ngoja waje wazeiya wa yutiai sugu
Achana na haya mambo sweetheart...