TheForgotten Genious
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 2,087
- 3,156
[emoji16][emoji16][emoji2957][emoji2957]Kuna moder anafuta nyuzi zetu tukiizungumzia yanga Kama ni mbovu ashindwe yanga ni mbovu kweli
Mtachukua makombe ambayo marefa ni akina kayoko , Arajiga .Kuna mambo yanastaajabisha sana! Yaani udhaifu wa Yanga, eti unawaumiza mashabiki wa simba, ambao msimu mzima timu yao imetoka mikono mitupu!
Hivi mnapoandika huwa mnakuwa mmevuta Cha wapi? Yanga dhaifu? Umemaliza msimu huna hata kikombe Cha kuiba unamuitaje mwenzio dhaifu? Umefeli kimataifa umefeli mashindano yote ya ndani halafu unajiita Bora?USMA yuko hoi, hajiwezi anapumulia mashine anaweza hata kushuka daraja huyu ni mpinzani mwepesi sana ni aibu kushindwa kumfunga mtu kama huyu.
Halafu unakosa Kombe kwa mpinzani kama huyo unafurahia kuvaa kamba shingoni[emoji57]
View attachment 2645519
Sasa hao ambao sio vibonde uliotaka wacheze na Sevilla mbona hawajafika hiyo hatua? Walikuwa wapi? Huko walikuwa wamefanyeje?Sevila nae kamfunga kibonde,Man U ni timu ya wanariadha waliojiingiza kwenye soka wanarukaruka tu uwanjani.
Europer Leaugue aikua kipaumbele kwao.Sasa hao ambao sio vibonde uliotaka wacheze na Sevilla mbona hawajafika hiyo hatua? Walikuwa wapi? Huko walikuwa wamefanyeje?
we must learn to give out credits sometimes..
Bingwa wenu misimu miwili mfululizo,kafika final mashindano ambayo mlikoka moto uwanjani ili mshinde
Fei anamdai nani!?..angekua anaidai yanga angeweka pesa kwenye account ya yanga?..rage alikua sahihi kuwaita mbumbumbu makoloYanga mbovu babu mlipeni fei
Hawafundishiki hawa, unaichosha sauti yako bure.Kuna mambo yanastaajabisha sana! Yaani udhaifu wa Yanga, eti unawaumiza mashabiki wa simba, ambao msimu mzima timu yao imetoka mikono mitupu!
Kapata kombe gani kati ya mashindano yote aliyoshiriki pamoja na Yanga? Ngao kakosa, ligi kakosa, FA kakosa. Timu dhaifuYanga 0 vs Simba 2
Unaifananishaje na simba?au umelewa?
Sasa wewe kinachokuuma ni nini. Au kutoka patupu mbele ya 'timu dhaifu'USMA yuko hoi, hajiwezi anapumulia mashine anaweza hata kushuka daraja huyu ni mpinzani mwepesi sana ni aibu kushindwa kumfunga mtu kama huyu.
Halafu unakosa Kombe kwa mpinzani kama huyo unafurahia kuvaa kamba shingoni[emoji57]
View attachment 2645519
Nasikia Mh Rais kaialika Yanga ikulu kuipongeza kwa hatua iliyofikia CAFCC, ni kweli? Nahisi amewakubali kwa soka safi!USMA yuko hoi, hajiwezi anapumulia mashine anaweza hata kushuka daraja huyu ni mpinzani mwepesi sana ni aibu kushindwa kumfunga mtu kama huyu.
Halafu unakosa Kombe kwa mpinzani kama huyo unafurahia kuvaa kamba shingoni[emoji57]
View attachment 2645519
Baada ya hapo kabeba ubingwa gani? Au ndio timu dhaifu inafurahia kupata ushindi kwenye timu kubwa [emoji23][emoji23][emoji23]Yanga 0 vs Simba 2
Unaifananishaje na simba?au umelewa?