Ukweli usemwe: Israel Mbonyi ni msanii wa studio

Ukweli usemwe: Israel Mbonyi ni msanii wa studio

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,344
Reaction score
9,066
Najua huyu mnyarwanda Israel Mbonyi anapendwa sana na mashabiki wake na kama mnavyojua mapenzi upofu.

Ila sio mzuri kwenye kuimba live ameshindwa kabisa kuonesha uwezo kwenye show yake mlimani city.

Huwezi mfananisha wa waimba gospel kama Paul Clement .

Mbonyi ni aina ya wasanii wanaotoa muziki mzuri ukipitisshwa kwenye mitambo hata live zake za youtube sio sauti halisia kuna maboresho ya sauti uwa yanafanyika.

Anaebisha atazame live yake mlimani city au atazame kesho leaders club.
 
Najua huyu mnyarwanda Israel Mbonyi anapendwa sana na mashabiki wake na kama mnavyojua mapenzi upofu.

Ila sio mzuri kwenye kuimba live ameshindwa kabisa kuonesha uwezo kwenye show yake mlimani city.

Huwezi mfananisha wa waimba gospel kama Paul Clement .

Mbonyi ni aina ya wasanii wanaotoa muziki mzuri ukipitisshwa kwenye mitambo hata live zake za youtube sio sauti halisia kuna maboresho ya sauti uwa yanafanyika.

Anaebisha atazame live yake mlimani city au atazame kesho leaders club.
Ila zuchu anayeimba SUKARI utadhani kanywa gongo ndo msanii wa live? Achaga uchawa wa kimama we ndina
 
Walokole ni watu wajinga kwa kujihesabia haki.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
hakuna Mtu anayejihesabia haki,ila kwa la sababu ya ukaidi wako unahisi wanajitenga ama wanavyokemea maovu unahisi wanajiona wako sawa.
Turudi kwenye mada ,usilinganishe hata siku moja mziki wa kidunia na mziki wa dini yeyote Ile.Hata kama ala zinafanana,ila ujumbe ni vitu viwili tofauti ....Giza na mwanga
 
hakuna Mtu anayejihesabia haki,ila kwa la sababu ya ukaidi wako unahisi wanajitenga ama wanavyokemea maovu unahisi wanajiona wako sawa.
Turudi kwenye mada ,usilinganishe hata siku moja mziki wa kidunia na mziki wa dini yeyote Ile.Hata kama ala zinafanana,ila ujumbe ni vitu viwili tofauti ....Giza na mwanga
Walokole kama walokole.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Back
Top Bottom