britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Ukweli ni kwamba kisiasa pamoja na taaluma yake ya uwakili Lissu alifuatwa na Mbowe akitokea NCCR-Mageuzi, Msigwa alitokea TLP 2005 alipata kura 8000 mgombea wa Chadema alipata kura 2000 ndipo alifuatwa na Mbowe akiwa ametayarishwa kiuongozi, Lema alifuatwa na Mbowe akitokea TLP na mwaka 2005 alipata kura 42000 ukweli ni kwamba Lema alishinda ubunge. Mbowe aliona potentials kwao akawa leta CHADEMA.
Ukweli huo
Britanicca
Ukweli huo
Britanicca