1000 digits
JF-Expert Member
- Oct 16, 2012
- 7,201
- 9,529
Alipata kura 800000/- za watoto wa nyumbu .Lema alishinda ubunge Arusha mjini mwaka 2005 ikasemekana aliuza haki yake. Mbowe ninamkubali kwa kuweza kufanya usajili wa maana alipochukua uenyekiti. Ile cream yote aliyoisajili imekula shavu sana kwenye serikali ya CCM. Mbowe na helikopta yake 2005 alikiamsha sana chama chake.
Sasa hivi akigombea atapata kura 250,000/ za watoto wa fisi .
Mbowe ni laghai sana .
Mbowe must go.