britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Sasa hapo mwenye akili ni wao au Mbowe aliyewakusanya na kuwaleta Chadema? Kwenye leadership skills wanasema a good leader has a sharp eye to spot potential personnel and use them for his benefits! And that's what Mbowe did!Ukweli ni kwamba kisiasa pamoja na taaluma yake ya uwakili Lissu alifuatwa na Mbowe akitokea NCCR-Mageuzi, Msigwa alitokea TLP 2005 alipata kura 8000 mgombea wa Chadema alipata kura 2000 ndipo alifuatwa na Mbowe akiwa ametayarishwa kiuongozi, Lema alifuatwa na Mbowe akitokea TLP na mwaka 2005 alipata kura 42000 ukweli ni kwamba Lema alishinda ubunge. Mbowe aliona potentials kwao akawa leta CHADEMA.
Ukweli huo
Britanicca
It was a team work. Kidole kimoja hakivunji chawaUkweli ni kwamba kisiasa pamoja na taaluma yake ya uwakili Lissu alifuatwa na Mbowe akitokea NCCR-Mageuzi, Msigwa alitokea TLP 2005 alipata kura 8000 mgombea wa Chadema alipata kura 2000 ndipo alifuatwa na Mbowe akiwa ametayarishwa kiuongozi, Lema alifuatwa na Mbowe akitokea TLP na mwaka 2005 alipata kura 42000 ukweli ni kwamba Lema alishinda ubunge. Mbowe aliona potentials kwao akawa leta CHADEMA.
Ukweli huo
Britanicca
achore tena tumwone yeye mwambaSasa ukisikia majungu ndio haya, Yani umlinganishe Mchora Ramani na mtu atakae tekeleza Ramani useme wa pili ndo kumsaidia wa kwanza?
Unajua ifike sehemu ukubali tu kuwa flani anauwezo mkubwa inatosha.
Sasa hiyo haitoshi kufanya useme eti wao ndio wamejenga, Toka lini wachezaji ndio wakamjenga kocha?achore tena tumwone yeye mwamba
baada ya hili kama mbowe atakuwa mwenyekiti na TL na wenzie wakatimka cdm ndo bas tena
Dogo Machame Moja siyo?Sasa hiyo haitoshi kufanya useme eti wao ndio wamejenga, Toka lini wachezaji ndio wakamjenga kocha?
Lissu hatashinda, na Mbowe atashinda lakini Chadema itadidimia na sababu sio Kwa sababu kina Lissu wataondoka, sababu ni zingine kabisa.
Dogo unajiita mwenyewe au?Dogo Machame Moja siyo?
Mbowe hakusoma na ndio maana anakubalika na ambao hawakusoma.Dogo unajiita mwenyewe au?
Mimi naongelea uhalisia wewe unaongelea ukabila.
Sahihi, Mbowe aache utapeliUkweli ni kwamba kisiasa pamoja na taaluma yake ya uwakili Lissu alifuatwa na Mbowe akitokea NCCR-Mageuzi, Msigwa alitokea TLP 2005 alipata kura 8000 mgombea wa Chadema alipata kura 2000 ndipo alifuatwa na Mbowe akiwa ametayarishwa kiuongozi, Lema alifuatwa na Mbowe akitokea TLP na mwaka 2005 alipata kura 42000 ukweli ni kwamba Lema alishinda ubunge. Mbowe aliona potentials kwao akawa leta CHADEMA.
Ukweli huo
Britanicca
Lissu, Lema na Msigwa walikuwa wabunge kabla hawajahamia Chadema?Ukweli ni kwamba kisiasa pamoja na taaluma yake ya uwakili Lissu alifuatwa na Mbowe akitokea NCCR-Mageuzi, Msigwa alitokea TLP 2005 alipata kura 8000 mgombea wa Chadema alipata kura 2000 ndipo alifuatwa na Mbowe akiwa ametayarishwa kiuongozi, Lema alifuatwa na Mbowe akitokea TLP na mwaka 2005 alipata kura 42000 ukweli ni kwamba Lema alishinda ubunge. Mbowe aliona potentials kwao akawa leta CHADEMA.
Ukweli huo
Britanicca
Lema alishinda ubunge Arusha mjini mwaka 2005 ikasemekana aliuza haki yake. Mbowe ninamkubali kwa kuweza kufanya usajili wa maana alipochukua uenyekiti. Ile cream yote aliyoisajili imekula shavu sana kwenye serikali ya CCM. Mbowe na helikopta yake 2005 alikiamsha sana chama chake.Ukweli ni kwamba kisiasa pamoja na taaluma yake ya uwakili Lissu alifuatwa na Mbowe akitokea NCCR-Mageuzi, Msigwa alitokea TLP 2005 alipata kura 8000 mgombea wa Chadema alipata kura 2000 ndipo alifuatwa na Mbowe akiwa ametayarishwa kiuongozi, Lema alifuatwa na Mbowe akitokea TLP na mwaka 2005 alipata kura 42000 ukweli ni kwamba Lema alishinda ubunge. Mbowe aliona potentials kwao akawa leta CHADEMA.
Ukweli huo
Britanicca
Ukweli ni kwamba kisiasa pamoja na taaluma yake ya uwakili Lissu alifuatwa na Mbowe akitokea NCCR-Mageuzi, Msigwa alitokea TLP 2005 alipata kura 8000 mgombea wa Chadema alipata kura 2000 ndipo alifuatwa na Mbowe akiwa ametayarishwa kiuongozi, Lema alifuatwa na Mbowe akitokea TLP na mwaka 2005 alipata kura 42000 ukweli ni kwamba Lema alishinda ubunge. Mbowe aliona potentials kwao akawa leta CHADEMA.
Ukweli huo
Britanicca