1000 digits
JF-Expert Member
- Oct 16, 2012
- 7,201
- 9,529
Alipata kura 800000/- za watoto wa nyumbu .Lema alishinda ubunge Arusha mjini mwaka 2005 ikasemekana aliuza haki yake. Mbowe ninamkubali kwa kuweza kufanya usajili wa maana alipochukua uenyekiti. Ile cream yote aliyoisajili imekula shavu sana kwenye serikali ya CCM. Mbowe na helikopta yake 2005 alikiamsha sana chama chake.
Mbowe kaanza kua Mbunge Mwaka gani?Lissu, Lema na Msigwa walikuwa wabunge kabla hawajahamia Chadema?
Amandla...
Bila kumsahau MaranjaSahihi
Mbowe kawajenga mgambo wake tu akina Mrema, Boni Yai, Yeriko na Ntobi
Sasa mkuu ukitaka Kujua Messi ni mbora akiwa uwanjani ama akiwa kocha, mpe ukocha ndipo utanielewa.Hawawezi kuelewa.
Tundu Lisu a wise man, and Mbowe who knows the wise man
Who is the wise man? Again Tundu Lisu
Just because you see potential on others doesn’t make you have the same potential. Imekufanya u identfy potential
Na aliotoa mfano wa mpira, kwani ikitanbua Messi ni mkali, does it make you in the same league with Messi
Bad reasoning The Technologist
Mbowe alishapoteza ushawishi na imani kwa wanachadema walio wengi.Sasa hiyo haitoshi kufanya useme eti wao ndio wamejenga, Toka lini wachezaji ndio wakamjenga kocha?
Lissu hatashinda, na Mbowe atashinda lakini Chadema itadidimia na sababu sio Kwa sababu kina Lissu wataondoka, sababu ni zingine kabisa.
Mfano wako ni mfuSasa mkuu ukitaka Kujua Messi ni mbora akiwa uwanjani ama akiwa kocha, mpe ukocha ndipo utanielewa.
Mbowe ameijenga chadema, aliifanya chadema miaka hiyo ikapendwa na vijana wasomi hasa kwenye vyuo na kuwapa nafasi vijana za kisiasa.Ukweli ni kwamba kisiasa pamoja na taaluma yake ya uwakili Lissu alifuatwa na Mbowe akitokea NCCR-Mageuzi, Msigwa alitokea TLP 2005 alipata kura 8000 mgombea wa Chadema alipata kura 2000 ndipo alifuatwa na Mbowe akiwa ametayarishwa kiuongozi, Lema alifuatwa na Mbowe akitokea TLP na mwaka 2005 alipata kura 42000 ukweli ni kwamba Lema alishinda ubunge. Mbowe aliona potentials kwao akawa leta CHADEMA.
Ukweli huo
Britanicca
Sio lazima ukubaliane na Mimi, ila Kila mtu ameumbwa na Ufalme/Nguvu zake za kiroho.Mfano wako ni mfu
Hujui kocha mzuri ni yule aliyeucheza mpira uwanjani. He understandSasa mkuu ukitaka Kujua Messi ni mbora akiwa uwanjani ama akiwa kocha, mpe ukocha ndipo utanielewa.