Ukweli usemwe: Msanii Harmonize bado anashikilia rekodi ya Album bora lakini Darasa atatu-suprise mwaka huu kupitia album yake(Slave becomes King)


Aka Mimi, kwa Bongo hii ndiyo album yangu bora ya muda wote.
 
Pole sana mkuu hapa nazungumzia 2020/2021 huna haja ya kutukana mtu weka hoja hayo ni maoni yangu mkuu..punguza jaziba...
 
Album lazma iwe na theme sasa ukifanya cover na kucompile tu nyimbo zako mbalimbali haiwezi kuwa album labda angeita EP
Kwa hiyo hiyo si album ni EP?
 
Katika hili nakubaliana na wewe kabisa kuna madhaifu makubwa kwenye promotion kwa Darasa... ni either ana mkono wa birika au ana chukulia poa kuamini kuwa anapendwa atatoboa tuu... ukweli ni kwamba album yake ikipata promotion na akiwekeza kwa promotion lazima hii album itakwenda mbali sana tena sana.
 
Unavyosema album Ni Bora Ni vizuri ukatoa vigezo ulivyotumia au ukatoa matunda ya album Ni yapi? kwa kuonesha data wabongo mnakwama wapi? au hamjifunzi kupitia nchi Kama marekani
Kwani matunda ya album nilizo zieleza yamejificha si yako wazi kabisa?
 
DARASA KATOA ALBUM WAKATI MBAYA SANA.HUU NI WAKATI AMBAO AINA YA NYIMBO ZINAZOTAMBA NI ZA AINA KAMA YA AKINA MABANTU.HEBU USIKILIZE WIMBO WA WHOZU AU HUU WA SASA WA KINA LAVALAVA UNAITWA BADO SANA.
HII NI AINA YA MUZIKI AMBAO UNASHIKA CHAT SASA
Sio lazima aimbe kama wakina mabantu ndio asikilizwe... ukweli ni kwamba Darasa anatakiwa kufanyia promotion album yake ..... kuna shida kwenye promotion
 
Darasa flow zake ni zile zile zinazoeleka kwasababu habadiliki ,labda album itambeba kwa ajili ya colabo na wasanii tofauti
hili nalo ni tatizo kwenye album yake
 
Unavyosema album Ni Bora Ni vizuri ukatoa vigezo ulivyotumia au ukatoa matunda ya album Ni yapi? kwa kuonesha data wabongo mnakwama wapi? au hamjifunzi kupitia nchi Kama marekani
Hapa Tanzania sio marekani Dada
Basi bado sana ya lavalava ndo Kali au vipi?
 
Yan harmonize itabaki kuwa bora coz Ya utofauti wa uimbaji,darasa flow ni ile ile icho ndo kimeboa watu wengi,wabongo siku hizi wengi wanaelewa mziki wanataka vitu tofauti..hata aslay nae kuna kipindi ngoma zake zote zilikuwa zinafanana uimbaj mpaka beat,watu wakaanza kumtema taratibu taratibu
 
Unajua Darasa asili yake ni Hiphop, hivyo usimtarajie sana kwenye kubadili melody maana ni kama anarap (haimbi)

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Hapa Tanzania sio marekani Dada
Basi bado sana ya lavalava ndo Kali au vipi?
Sasa mzee baba lavalava kaingiaje hapa? Anyway Leo hii tunazungumzia album Bora Kama za professor jay, Cinderella ya king kiba,Machozi na damu ya Jide n.k nikutokana na mauzo yao pamoja ngoma hizo kufikiwa na Watanzania wengi kwa hizo ngoma kufanya vizuri na kuacha alama kwenye bongo fleva industry so unavyoleta hoja ya kwamba album ya darassa na Harmonize Ni Bora ndio nimeuliza hivyo vigezo gani amevitumia? Labda aseme kwa mapenzi yake binafsi tutamuelewa
 
Promise ya Hussein machozi
 
hii album ni ya kawaida sana na hakuna hit hata moja ngoma zote za kawaida na itapita kimya kimya haitaacha impact yoyote.
 
Umeambiwa ni kwa mwaka huu
Sasa kina prof jay wameingiaje?

Uwe muelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…