GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
- Thread starter
- #21
Nashukuru mkuu. Moderators walione hilo.Edit title yako kidogo mkuu isomeke "Ukweli Usemwe,ni Mwenge wa Uhuru au Uchawi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashukuru mkuu. Moderators walione hilo.Edit title yako kidogo mkuu isomeke "Ukweli Usemwe,ni Mwenge wa Uhuru au Uchawi?
Umepaniki sana inaonekana ni mnufaika wa mwenge. Hebu tupelo elimu kidogo tuone faida za mwengeMkuu wewe pambana hivyo unavyojua. Mjibu hiyo hoja uliyoiona, muelimishe unavyotaka.
Nimefundishwa, mtu akitukana, mtukane, akikupiga kibao, mpige mara mbili.
Amedhihaki na kuwatukana Watanzania. Simwachi.......huyo.... wahed
Umenena mkuu🙏Umepaniki sana inaonekana ni mnufaika wa mwenge. Hebu tupelo elimu kidogo tuone faida za mwenge
Sent from my SM-N975U using JamiiForums mobile app
Nakuhakikishia kitu, mtashindwa na mtalegea sana.
Uhuru wetu is here to stay, hakuna mtu, watu ambao watakuja tena kuuparaganya.
Na mwenge wetu utaendelea kuwepo. I guarantee that.
Angalia humo kichwani mwako, upo uwezekano mkubwa tu kuwa, kumejaa fikra za Kitumwa.
.....Na Ufinyu wa Mawazo