Ukweli usemwe: Ni Mwenge wa Uhuru au wa Utumwa?

Mkuu wewe pambana hivyo unavyojua. Mjibu hiyo hoja uliyoiona, muelimishe unavyotaka.


Nimefundishwa, mtu akitukana, mtukane, akikupiga kibao, mpige mara mbili.

Amedhihaki na kuwatukana Watanzania. Simwachi.......huyo.... wahed
Umepaniki sana inaonekana ni mnufaika wa mwenge. Hebu tupelo elimu kidogo tuone faida za mwenge

Sent from my SM-N975U using JamiiForums mobile app
 
Kwenye mwenge kuna milupo balaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…