Nakuhakikishia kitu, mtashindwa na mtalegea sana.
Uhuru wetu is here to stay, hakuna mtu, watu ambao watakuja tena kuuparaganya.
Na mwenge wetu utaendelea kuwepo. I guarantee that.
Angalia humo kichwani mwako, upo uwezekano mkubwa tu kuwa, kumejaa fikra za Kitumwa.
.....Na Ufinyu wa Mawazo