Ukweli Usemwe: Ubovu wa Album ya Rayvanny umechangiwa na kutengwa na kupuuzwa na Mameneja wake

Ukweli Usemwe: Ubovu wa Album ya Rayvanny umechangiwa na kutengwa na kupuuzwa na Mameneja wake

Leak

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2012
Posts
52,916
Reaction score
43,505
Wasalaam wana jamvi.
Bila shaka kila mtu amepata wasaha wakupitia na kusikiliza Album ya Msanii Rayvany basi utakubaliana nami na utaungana na wengi ni mmoja ya wasanii waliotoa album mbovu kwa sasa hapa nchi. Na ndio maana ni wazi kabisa Album za kina Harmonize na Darassa basi zinaendelea kuwa album bora sana na zenye nyimbo nzuri sana na hazichochi kusikilizwa.

Rayvany ni mmoja ya wasanii wazuri na wasanii bora kabisa wanaojua kutunga na kuimba lakini kwa Album hii yake watu na mimi tuna amini kabisa huu ubovu wa album yake umechangiwa kabisa na wanaomzunguka kwenye management yake.

Album ya Rayvany ni moja ya Album zilizo andaliwa kwa kukurupuka sana tena sana na ndio maana hata mamneja wake ni kama waliipuuza kabisa... na kitu kikisha puuzwa na watu wanao kuzunguka basi ata jamii itakipuuza tuu.

Album ya Rayvany haikupewa uzito unao stahili kabisa na manajement yake kuanzia promo na kila kitu na wengi wameipa kisogo kila mtu yuko busy na mambo yake Babu Tale yuko busy na ubunge , Diamond yuko busy na familia yake na Salam hajulikani anafanya nini kabisa...

Album ya Rayvanny alikosewa kwenye timing kabisa yaani ni kama hawakujiandaa kuiachia hii Album sema Rayvany na wengine walilazimisha kuitoa hiyo Album ndio maana inaoneakana kama wameipuuza kabisa.

Album ya Rayvany haikukaguliwa na mameneja wake na kama wangeikagua lazima wasingekubali itoke kama ilivyotoka kwani Album imejaa nyimbo zisizo bora na mvuto wa kutamani kusikiliza album au shauku ya kununua Album husika ni wazi waliipuuza hii album.

Album ya Rayvany haikuwa kwenye Ratiba ya WCB lakini Rayvany alilazimisha itoke wakawa hawana namna ndio maana support haijawa kubwa kutoka kwa mameneja wake ..... wao walipanga itoke mwakani lakini Rayvany alilazimisha iwe mwaka huu.

Rayvany aliachwa apambane peke yake wakidhani ameshakuwa msanii mkubwa sana hivyo angeliweza kusimama kwa miguu yeke mwenyeyewe lakini ukweli ni kwamba alihitaji support kubwa sana tofauti na walivyokuwa wana mtazama yeye kama yeye.

Wasalaam......
 
Japo ni nje ya mada ila naongeza kwenye upatikanaji wa hiyo album:-

Bongo kupata album ya msanii mtandaoni imekuwa tabu kuliko album za upande wa juu juu kule mwa Africa.

Walitakiwa waanze kwa kuhakikisha watu wana muitikio mzuri wa album then wahamie katika kushawishi watu kuzitafuta kwenye official platforms.
 
Wasalaam wana jamvi.
Bila shaka kila mtu amepata wasaha wakupitia na kusikiliza Album ya Msanii Rayvany basi utakubaliana nami na utaungana na wengi ni mmoja ya wasanii waliotoa album mbovu kwa sasa hapa nchi. Na ndio maana ni wazi kabisa Album za kina Harmonize na Darassa basi zinaendelea kuwa album bora sana na zenye nyimbo nzuri sana na hazichochi kusikilizwa.

Rayvany ni mmoja ya wasanii wazuri na wasanii bora kabisa wanaojua kutunga na kuimba lakini kwa Album hii yake watu na mimi tuna amini kabisa huu ubovu wa album yake umechangiwa kabisa na wanaomzunguka kwenye management yake.

Album ya Rayvany ni moja ya Album zilizo andaliwa kwa kukurupuka sana tena sana na ndio maana hata mamneja wake ni kama waliipuuza kabisa... na kitu kikisha puuzwa na watu wanao kuzunguka basi ata jamii itakipuuza tuu.

Album ya Rayvany haikupewa uzito unao stahili kabisa na manajement yake kuanzia promo na kila kitu na wengi wameipa kisogo kila mtu yuko busy na mambo yake Babu Tale yuko busy na ubunge , Diamond yuko busy na familia yake na Salam hajulikani anafanya nini kabisa...

Album ya Rayvanny alikosewa kwenye timing kabisa yaani ni kama hawakujiandaa kuiachia hii Album sema Rayvany na wengine walilazimisha kuitoa hiyo Album ndio maana inaoneakana kama wameipuuza kabisa.

Album ya Rayvany haikukaguliwa na mameneja wake na kama wangeikagua lazima wasingekubali itoke kama ilivyotoka kwani Album imejaa nyimbo zisizo bora na mvuto wa kutamani kusikiliza album au shauku ya kununua Album husika ni wazi waliipuuza hii album.

Album ya Rayvany haikuwa kwenye Ratiba ya WCB lakini Rayvany alilazimisha itoke wakawa hawana namna ndio maana support haijawa kubwa kutoka kwa mameneja wake ..... wao walipanga itoke mwakani lakini Rayvany alilazimisha iwe mwaka huu.

Rayvany aliachwa apambane peke yake wakidhani ameshakuwa msanii mkubwa sana hivyo angeliweza kusimama kwa miguu yeke mwenyeyewe lakini ukweli ni kwamba alihitaji support kubwa sana tofauti na walivyokuwa wana mtazama yeye kama yeye.

Wasalaam......
Nasema watapata tabu sana
 
Mimi kwa maoni yangu mtu ambaye yuko vizuri katika kutoa album ni Koffi olomide, mara nyingi album zake akitoa basi utaisikiliza yote na utairudia na itaishi. Naongelea kwa Africa haya ni maoni unaweza usikubali lakini unaweza kuchungulia album zake toka enzi za V12 mpaka sijui Efracata au Monde Arab na nyingine nyingi
 
Wasalaam wana jamvi.
Bila shaka kila mtu amepata wasaha wakupitia na kusikiliza Album ya Msanii Rayvany basi utakubaliana nami na utaungana na wengi ni mmoja ya wasanii waliotoa album mbovu kwa sasa hapa nchi. Na ndio maana ni wazi kabisa Album za kina Harmonize na Darassa basi zinaendelea kuwa album bora sana na zenye nyimbo nzuri sana na hazichochi kusikilizwa.

Rayvany ni mmoja ya wasanii wazuri na wasanii bora kabisa wanaojua kutunga na kuimba lakini kwa Album hii yake watu na mimi tuna amini kabisa huu ubovu wa album yake umechangiwa kabisa na wanaomzunguka kwenye management yake.

Album ya Rayvany ni moja ya Album zilizo andaliwa kwa kukurupuka sana tena sana na ndio maana hata mamneja wake ni kama waliipuuza kabisa... na kitu kikisha puuzwa na watu wanao kuzunguka basi ata jamii itakipuuza tuu.

Album ya Rayvany haikupewa uzito unao stahili kabisa na manajement yake kuanzia promo na kila kitu na wengi wameipa kisogo kila mtu yuko busy na mambo yake Babu Tale yuko busy na ubunge , Diamond yuko busy na familia yake na Salam hajulikani anafanya nini kabisa..
Diamond yuko busy na Wasafi media, na anawatumia wasanii wa WCB kuijenga Wasafi media wakati hawana hisa hata moja.

Babu Tale yuko busy na ubunge.

Sallam Sk alishasema yeye hasindikizi mtu kwenye utajiri. Kwahiyo na yeye yuko busy na DIZZIM Media inayojumlisha na Dizzim fm, Morogoro.

Na kama hilo halitoshi, ameanza kuandaa na yeye matamasha yake kupitia Dizzim fm. Mwaka jana lilifanyika Morogoro na kuna Wasanii kibao walishiriki akiwemo AY.

Kwahiyo, kupitia hiyo media yake na matamasha anajenga jina Morogoro, usishangae siku akimrithi Abooud hapo Moro.

Nadhani unapata picha.
 
Diamond yuko busy na Wasafi media, na anawatumia wasanii wa WCB kuijenga Wasafi media wakati haeana hisa hata moja.

Babu Tale yuko na ubunge.

Sallam Sk alishasema yeye hasindikizi mtu kwenye utajiri. Kwahiyo na yeye yuko busy na DIZZIM Media inayojumlisha na Dizzim fm, Morogoro.

Na kama hilo halitoshi, ameanza kuandaa na yeye matamasha yake kupitia Dizzim fm. Mwaka jana lilifanyika Morogoro na kuna Wasanii kibao walishiriki akiwemo AY.

Kwahiyo, kupitia hiyo media yake na matamasha anajenga jina Morogoro, usishangae siku akimrithi Abooud hapo Moro.

Nadhani unapata picha.
Sasa kwanini wasingempa support hata ya kushauri tuu kuhusu hii album?
 
Mimi kwa maoni yangu mtu ambaye yuko vizuri katika kutoa album ni Koffi olomide, mara nyingi album zake akitoa basi utaisikiliza yote na utairudia na itaishi. Naongelea kwa Africa haya ni maoni unaweza usikubali lakini unaweza kuchungulia album zake toka enzi za V12 mpaka sijui Efracata au Monde Arab na nyingine nyingi
Hapa tunaongelea album ya Rayvany...
 
Hapa tunaongelea album ya Rayvany...
Tatizo sijui kama kuna mtu anasikiliza album iwe Ryvan hata Diamond mwenyewe album yake ya Tandale sijui ina nyimbo gani. Naongelea kiujumla Tanzania katika album bado sana ila wa congo wanajuwa kutengeneza album. Nimesikia katika youtube kama nyimbo tatu na zote zina sound the same na ndio zimebeba album jina.
 
Hakuna album pale ni upuuzi mtupu,acha kuipa lawama management,uwezo wa Rayvany ndo umeishia pale.

Hata Diamond mwenyewe Album yake ya A boy From Tandale iliishia wapi,

Hiyo ni ishara kuwa WCB kwenye upande wa Album hawako vizuri,Wako vizuri kwenye Single tu.
 
Kiukweli Rayvanny amekrupuka aisee, kipind hiki management yake ipo busy kdog, wasafi tv imefungiwa, vikao vya Bunge vimeanza, n.k hata Mimi naona kuna vitu albam inakosa kabisa ..nyimbo zipo kama zimetungwa haraka haraka , mvuto ni kidog japo kuna nyimbo zingine nzuri Ila overall something is wrong ....

Hata Mimi naungana na mtoa mada huenda management haikutaka albam itoke Ila vanny boy akalazimisha , labda Kwa vile anataka kufungua label yake na studio .....

Ila tumpe pongezi kajitahdi
 
Sijui huo ubovu umeuchambulia wapi? Labd unambie featuring n nyingi mnoo hapo sawa. But ukiambia hii album ndo ya kwanza east Africa kufanya vzr utajib nn mana unasema promo hajapewa! 1 week imefikisha views 105,000,000 kwenye all platforms. Vip ya kondeboy ilifikisha ngap?

Usichambe album, chambua makosa uliyoyaona kwenye hiyo album. Ubovu na uzr wa nyimbo inategemeana na nani imemugusa na nani haijakugusa. Isipo kugusa usiseme n mbaya. Kuna walioguswa wameona n nzuri.
NB. Ndo mana mondi anawakomoa na manyimbo mabovu ila yakuchezeka tu na matusi mengi.
 
Mimi kila wimbo ninaouplay mbaya zaidi ya niloucheza nii inaniuma Sana kumbe albam si mchezo eee hongera kwa darassa ile ngoma yake ya loyalty ni kali sana
 
Njoo huku acha kulalamika,DDC Mlimani park,Kilimanjaro band,MSONDO ngoma,Tankat almasi,KIMULIMULI jazz band,Les wa nyika,Tabora jazz,Safari Tripper's,Moro Jazz etc
kweli uko hakuna vibaya au kwa sababu unasikia vizuri tuu?
 
Back
Top Bottom