Ukweli Usemwe: Ubovu wa Album ya Rayvanny umechangiwa na kutengwa na kupuuzwa na Mameneja wake

Ukweli Usemwe: Ubovu wa Album ya Rayvanny umechangiwa na kutengwa na kupuuzwa na Mameneja wake

Mimi kila wimbo ninaouplay mbaya zaidi ya niloucheza nii inaniuma Sana kumbe albam si mchezo eee hongera kwa darassa ile ngoma yake ya loyalty ni kali sana
Rayvany alikurupuka sana kwenye hii album lakini mimi nitaendelea kuwalaumu management yake... kuhusu Darasa kwakweli huo wimbo ni habari nyingine mimi nilipomsikia Rayvany anatoa album nikadhani kasikiliza album za kina Harmonize na Darasa jinsi walivyo kuwa wamejitahidi
 
Sijui huo ubovu umeuchambulia wapi? Labd unambie featuring n nyingi mnoo hapo sawa. But ukiambia hii album ndo ya kwanza east Africa kufanya vzr utajib nn mana unasema promo hajapewa! 1 week imefikisha views 105,000,000 kwenye all platforms. Vip ya kondeboy ilifikisha ngap?

Usichambe album, chambua makosa uliyoyaona kwenye hiyo album. Ubovu na uzr wa nyimbo inategemeana na nani imemugusa na nani haijakugusa. Isipo kugusa usiseme n mbaya. Kuna walioguswa wameona n nzuri.
NB. Ndo mana mondi anawakomoa na manyimbo mabovu ila yakuchezeka tu na matusi mengi.
Mkuu album nzuri kila mtu anasema kufikisha hizo views ni kwamba mashabiki wanataka kusikia kilichomo hata mimi nimechangia kwenye hizo views... baada ya kusikiliza ndio tunasema hii ni moja ya album mbovu kabisa kutoka hivi karibuni ,,,,,na wengi hawakutarajia... hivi kwenye hii album ukiacha wimbo wa jux na ule wa mboso ni wimbo gani unaweza kuusikiliza mara kwa mara?
 
Kiukweli Rayvanny amekrupuka aisee, kipind hiki management yake ipo busy kdog, wasafi tv imefungiwa, vikao vya Bunge vimeanza, n.k hata Mimi naona kuna vitu albam inakosa kabisa ..nyimbo zipo kama zimetungwa haraka haraka , mvuto ni kidog japo kuna nyimbo zingine nzuri Ila overall something is wrong ....

Hata Mimi naungana na mtoa mada huenda management haikutaka albam itoke Ila vanny boy akalazimisha , labda Kwa vile anataka kufungua label yake na studio .....

Ila tumpe pongezi kajitahdi
Album ilikosa timing kabisa
 
Hakuna album pale ni upuuzi mtupu,acha kuipa lawama management,uwezo wa Rayvany ndo umeishia pale.

Hata Diamond mwenyewe Album yake ya A boy From Tandale iliishia wapi,

Hiyo ni ishara kuwa WCB kwenye upande wa Album hawako vizuri,Wako vizuri kwenye Single tu.
Naipa lawama Management kwakuwa wao ndio walikuwa wahusika wakuuu wa kuhakikisha kitu bora na chenye mvuto kinatoka na si utumbo huu wa Rayvany
 
uchawi si lazima ushike tunguri, album mbovu tena ambayo haijapewa promo ina stream 105m ndani ya wiki moja, kupitia number mpaka sasa hii ndo album bora east afrika.
 
Album Bora Bora TANZANIA kwa mwaka Jana na mwaka huu so far ni

1. The Love Album by JUX ...

2. Album ya konde Boy

3. Album ya Darasa


Ila album ya Jux ni hatari Sana Sana Sana itafuteni
 
Mkuu album nzuri kila mtu anasema kufikisha hizo views ni kwamba mashabiki wanataka kusikia kilichomo hata mimi nimechangia kwenye hizo views... baada ya kusikiliza ndio tunasema hii ni moja ya album mbovu kabisa kutoka hivi karibuni ,,,,,na wengi hawakutarajia... hivi kwenye hii album ukiacha wimbo wa jux na ule wa mboso ni wimbo gani unaweza kuusikiliza mara kwa mara?
kwa nini hizo views nyingi zisiwe kwa konde boy/wasanii wengine walotoa album nzuri?
 
Nakuona ANT-WCB upo kazini,juzi umeanza na Zuchu leo upo kwa Rayvanny,WCB siku zote wao numbers zinawabeba,Mwisho wa siku unajikuta unaumia wewe na wenzako wachache wenye chuki,huku wengi wao kupitia digital platforms wakiwasikiliza.

Ruttashobolwa
 
Kuna wadau wa mziki na wanau wa Wanamuziki, binafsi nimekuelewa kama mdau wa muziki ulichokiandika kina nafasi yakutumiwa kwa siku zijazo.

Uzuri wa album ni namna msikilizaji anapopata radha ya kile anachokisikiliza kiasi chakukirudia ama kukimiliki.

Kwa wenye hoja ya viewers ama stream kuwa nyingi wanachotakiwa kufaham Mond na Familia ya Wasafi ina ma Die fans wa kutosha hata Producer wao akitoa album ya Beat tupu bado viewer na strem zitakua katika idadi hiyo na hapo hapo tuamini msanii yeyote wa wasafi akijitoa katika familia hiyo bado atatafuta hao viewer kama kwa Konde na Rich mavocal ilivyo. Maana mashabiki wengi ni wa wasafi na si wa muziki wa wasafi.

Ukweli haujifichi album haisikiliziki zaidi ya mara mbili nyimbo za kuzirusha ni nyingi kuliko za ku replay!!
 
Mkuu album nzuri kila mtu anasema kufikisha hizo views ni kwamba mashabiki wanataka kusikia kilichomo hata mimi nimechangia kwenye hizo views... baada ya kusikiliza ndio tunasema hii ni moja ya album mbovu kabisa kutoka hivi karibuni ,,,,,na wengi hawakutarajia... hivi kwenye hii album ukiacha wimbo wa jux na ule wa mboso ni wimbo gani unaweza kuusikiliza mara kwa mara?
Hahahaa, et nimechangia. Ila ni kweli mkuu: Kuna nyimbo zipo nzur, zinaweza kufika had kumi, mfano
Zamani-hii ni nyimbo tamu ya pekee yake
Kiuno
Ft young lunya
Ft linex
Ft vannessa
Ft karen
Ft innos' b
Marry you.
Zingne hata mm cjazielewa.
But mkuu kuhusu promo siku hiz sioni wakipeana promo kama zaman zaid ya kupost ulichokifanya kama n nyimbo au video, mf nyimbo ya zuchu n zuchu mwenyewe kajipigia promo kubwa na hakuna msani ata mond mwenyewe hakuwah ipigia promo had ilipotoka ndo aliipost tena mara moja tu. Haya angalia mbosso anavyokazana kivyake, na anadai anatoa album yake tarehe 14 na itaitwa valentine bt huoni mondi akimpa kampani wala vanny wala zuchu. Ko sk hiz n kivyake vyake.
But nikirejea kwa rayvanny album yake inafanya vizr kwasabb nyimbo zake amegusa sehem kubwa ya miziki ya kiafrika, japo binafs cjaridhika ft n nyingi balaaa, alafu nyimbo 85% n za slow.
Japo kwenye hizo slowly ndiko ana madhabiki weng hususan wa kike mf mzr kwenye ile EP yk ya flowers, ilifanya vzr sana japo nyimbo zilikuwa za kujiliza sana
 
Sasa kwanini wasingempa support hata ya kushauri tuu kuhusu hii album?
Sijaelewa! Si ni wewe ndie umeandika:-
Album ya Rayvany haikuwa kwenye Ratiba ya WCB lakini Rayvany alilazimisha itoke wakawa hawana namna ndio maana support haijawa kubwa kutoka kwa mameneja wake ..... wao walipanga itoke mwakani lakini Rayvany alilazimisha iwe mwaka huu.
Umeshasema hapo, haikuwa kwenye ratiba za WCB, na kwahiyo walishauri sio wakati muafaka lakini akavimba (na-assume maeleo yako ni kweli)! Sasa ushauri gani tena uliokuwa unataka? Na usisahau hao wote uliowataja sio mameneja wa Rayvanny bali ni mameneja wa Diamond. Meneja wa Rayvanny nadhani anaitwa Makame. Sasa endapo album ingekuwa kwenye ratiba ya WCB ndipo hao akina Sallaam wangeingia kwa sababu ni viongozi wa WCB lakini sio wa Rayvanny!

Na usisahau, Van Boy ana studio yake, kwahiyo kuna uwezekano hata gharama za kurekodi ameingia mwenyewe na studio yake kwahiyo huwezi kumpangia. Kama WCB ndo wangekuwa wameigharamia album, wasingekubali itoke kiholela, na hivyo Van Boy angelazimika kufuata matakwa ya WCB kwamba "NOT NOW"
 
Nakuona ANT-WCB upo kazini,juzi umeanza na Zuchu leo upo kwa Rayvanny,WCB siku zote wao numbers zinawabeba,Mwisho wa siku unajikuta unaumia wewe na wenzako wachache wenye chuki,huku wengi wao kupitia digital platforms wakiwasikiliza.

Ruttashobolwa
Huyo Sasa ndo member mtiifu was wcb kuliko hata wewe mfatilie toka zamani

Sio mnafki tu
 
mimi naona album ni nzuri tu so mawazo yako au hisia zako zisifanye ukawa msemaji wa wote.

by the way ndo album ya kwanza EA kuwa na wasikilizaji wengi ndani ya wiki 1 in all digital platforms.

umesema viongozi wake wamemwambia album aitoe mwakani ila yeye kafosi itoke mwaka huu, sasa unasemaje viongozi wake hawajamsapoti?? hili bandiko lako umejiuliza na kujijibu mwenyewe.
 
Mbona jamaa kila kiwanja nachoenda nyimbo zake ndio zinapigwa sana na ni kali...ubovu gani unaongelea? Halafu sidhani kama wasafi ni watu wa albums kiviiile, ni hit songs tu...ukitaka kusikiliza album, wasikilize navy kenzo
 
Leta uchambuzi wa hiyo albamu ubovu wake upo wàp nini kakosea ilitakiwa afanyaje lkn mkuu unalalamika tu.
 
Uzuri wa album ni namna msikilizaji anapopata radha ya kile anachokisikiliza kiasi chakukirudia ama kukimiliki.

Kwa wenye hoja ya viewers ama stream kuwa nyingi wanachotakiwa kufaham Mond na Familia ya Wasafi ina ma Die fans wa kutosha hata Producer wao akitoa album ya Beat tupu bado viewer na strem zitakua katika idadi hiyo na hapo hapo tuamini msanii yeyote wa wasafi akijitoa katika familia hiyo bado atatafuta hao viewer kama kwa Konde na Rich mavocal ilivyo.
ume-reason kitoto sana mkuu, digital platform ndo kipimo cha album maana huko ndo walipo wasikilizaji unaowasema.

ikiwa mondi na wcb wana die hard fans kwa nini lava lava na kwin darlin hawafanyi vizuri digital platform?
 
Back
Top Bottom