Ukweli Usemwe: Uongozi wa Rais Samia ni Changamoto

Waeleze. Wao wanajua kusema tu "fly over"
 
Kuna nchi viongozi wake wanaondolewa kwasababu ya huu mfumuko wa bei!! Muache mama aupige mwingi!
 
Anaesema Putin kidume ni MaCCM na CCM yenu, hata kura ya tanzania UN imemtetea muuaji mwenzao Putin.

Koma kuja kusema uongo humu.

Samia na serikali yake wamefeli kabla ya kianza.. mama hafai, mama hatoshi.

#katibampya ni lazima na ni sasa.
Itabidi usage chupa ,ndio keshakuwa Raisi wako na watu wanampenda wakikumbuka adhabu ya uongozi uliopita.
 
Computer na TV halafu unasema unaongelea kupitia mtazamo wa wananchi wa kawaida?! Tutake radhi mkuu
 
Wala msiumize kichwa hamieni Ulaya kule bei za vitu zimeshuka au kama mbali hapo Kenya tuu bei ziko karibu na bure 🀣🀣
 

Uongozi wa Rais Samia ni Changamoto kubwa ambayo haijawahi onekana tangu uhuru​

 

Vita ya ukrein na urusi

Imewauma sana huyu mama kushika uongozi. Allaah amjaalie, na amlinde na watu wabaya.
 

Uongozi wa Rais Samia ni Changamoto kubwa ambayo haijawahi onekana tangu uhuru​


Nyerere ❌❌❌❌❌
Mkapa ❌❌❌❌❌
Magu ❌❌❌❌❌

Mwinyiβœ”βœ”βœ”βœ”βœ”
Kikweteβœ”βœ”βœ”βœ”βœ”
Samiaβœ”βœ”βœ”βœ”βœ”

Utaelewa namaanisha nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…