Afisa Tabibu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2021
- 511
- 848
Kama hujasoma chuo cha Public au FBO basi una hasara sana, hapa namaanisha kwa level zote, vyuo vya kati na vya juu.
Vyuo vya Private vinajua kutoza ada kubwa tu na kufaulisha wanafunzu kwa ujanja ujanja ila wanafunzi wanaotoka vyuo hivyo ni weupe sana kichwani.
Serikali iingilie kati, wataalamu wanaotoka vyuo vya Private ni bomuuu
Vyuo vya Private vinajua kutoza ada kubwa tu na kufaulisha wanafunzu kwa ujanja ujanja ila wanafunzi wanaotoka vyuo hivyo ni weupe sana kichwani.
Serikali iingilie kati, wataalamu wanaotoka vyuo vya Private ni bomuuu