Ukweli usemwe, Wamakonde nao ni wachangamfu na wachakarikaji sana!!

Ukweli usemwe, Wamakonde nao ni wachangamfu na wachakarikaji sana!!

Dr wa Manesi

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2024
Posts
997
Reaction score
1,220
Huu ni uchunguzi wangu binafsi.

Ni kabila kubwa kabisa kusini yote na hata maneno ya kimakonde utayakuta kwenye lugha zao bila wenyewe kujua kuwa ni maneno ya kimakonde. Mfano, kule Kilwa yule ndege mkubwa mweusi mwenye mdomo mwekundu (ndege Ngoma) wanamuita 'nditi'. Kumbe hilo neno ni la kimakonde lakini wanakilwa wenyewe wengi hawajui, wanajua ni kiswahili tu. Makabila mengine ya kusini ni Wamwera, Wayao, Wamakua, Wamatumbi na Wangindo. Wote hao, wanasubiri kwa mmakonde.

Bck to the topic, aisee hawa jamaa, pamoja na shits nyingiii utakazozisikia kutoka kwa watu waliopewa kipaji Cha kujivuna, ni watu na nusu aisee.......wapambanaji na wacharikaji mno:

1. Dar Es Salaam bila Wamakonde si Dar tena. Hapo ilipo imechangiwa mno na uchakarikaji wa wamakonde....wapo Kila sehemu na kwenye Kila shughuli. Hata neno 'Wamachinga' nasikia limetokana na wao.

2. Wakulima wakubwa wa korosho ni wao. Naambiwa wilya ya tandahimba tu peke yake inazalisha korosho nyingi zaidi ya mkoa wa Lindi wote. Kusini inachangamka kwa mchango wao kwa kiasi kikubwa.
3. Nimeenda Nanjilinji (Kilwa) wanakolima ufuta, aisee nimewakita Wamakonde kama wote kule wamekamatia fursa.....wanaupiga mwingi tu.
4. Nachingwea, aisee wafanyabiashara wakubwa ni Wamakonde bana.
5. Nineangalia kwenye upande wa dini, hususani Imani kubwa iliyopo kusini ya Kiislamu......nahitimisha kuwa Wamakonde wako serious mno na hilo kuliko wengi. Nimetembelea shule nyingi za Kiislamu huko Nachingwea kwa mfano, Wamakonde wamejaa pomoni.
6. Nilipitia shule flani yenye hosteli ya Ngongo pale Lindi, nimewakita Wamakonde kibao wamekamatia hostel pale wanasoma.....hilo kwa uchache tu.
7. Kwenye Sanaa wapo na wanaendelea kupambana balaa. Tangu Enzi za Tongolanga, ambaye alitufanya sote tuisikie lugha ya kimakonde, mpaka huyu tozi mlamba lips Harmonize. Nasikia mpaka kule futuhi Kuna mmakonde kutoka mtwara.

Wamakonde pokeeni maua yenu.....mnajua kupambana.
 
Huu ni uchunguzi wangu binafsi.

Ni kabila kubwa kabisa kusini yote na hata maneno ya kimakonde utayakuta kwenye lugha zao bila wenyewe kujua kuwa ni maneno ya kimakonde. Mfano, kule Kilwa yule ndege mkubwa mweusi mwenye mdomo mwekundu (ndege Ngoma) wanamuita 'nditi'. Kumbe hilo neno ni la kimakonde lakini wanakilwa wenyewe wengi hawajui, wanajua ni kiswahili tu. Makabila mengine ya kusini ni Wamwera, Wayao, Wamakua, Wamatumbi na Wangindo. Wote hao, wanasubiri kwa mmakonde.

Bck to the topic, aisee hawa jamaa, pamoja na shits nyingiii utakazozisikia kutoka kwa watu waliopewa kipaji Cha kujivuna, ni watu na nusu aisee.......wapambanaji na wacharikaji mno:

1. Dar Es Salaam bila Wamakonde si Dar tena. Hapo ilipo imechangiwa mno na uchakarikaji wa wamakonde....wapo Kila sehemu na kwenye Kila shughuli. Hata neno 'Wamachinga' nasikia limetokana na wao.

2. Wakulima wakubwa wa korosho ni wao. Naambiwa wilya ya tandahimba tu peke yake inazalisha korosho nyingi zaidi ya mkoa wa Lindi wote. Kusini inachangamka kwa mchango wao kwa kiasi kikubwa.
3. Nimeenda Nanjilinji (Kilwa) wanakolima ufuta, aisee nimewakita Wamakonde kama wote kule wamekamatia fursa.....wanaupiga mwingi tu.
4. Nachingwea, aisee wafanyabiashara wakubwa ni Wamakonde bana.
5. Nineangalia kwenye upande wa dini, hususani Imani kubwa iliyopo kusini ya Kiislamu......nahitimisha kuwa Wamakonde wako serious mno na hilo kuliko wengi. Nimetembelea shule nyingi za Kiislamu huko Nachingwea kwa mfano, Wamakonde wamejaa pomoni.
6. Nilipitia shule flani yenye hosteli ya Ngongo pale Lindi, nimewakita Wamakonde kibao wamekamatia hostel pale wanasoma.....hilo kwa uchache tu.
7. Kwenye Sanaa wapo na wanaendelea kupambana balaa. Tangu Enzi za Tongolanga, ambaye alitufanya sote tuisikie lugha ya kimakonde, mpaka huyu tozi mlamba lips Harmonize. Nasikia mpaka kule futuhi Kuna mmakonde kutoka mtwara.

Wamakonde pokeeni maua yenu.....mnajua kupambana.
Ni kweli ila tatizo lao ni UCHAWI!!,unaambiwa ukimkabidhi mmakonde akulindie shamba lako ukifanya mchezi utalisahau!!!!,,,nenda maeneo ya mikocheni,pugu na kote unapopajua,,,,kuna mapagala wamakonde walikabidhiwa kuyalinda mpaka leo wenyewe wameyasahau...nenda pale maeneo ya chuo cha kodi ukajionee
 
Wapambanaji ila wengi wajinga shule hamna,ujuaji mwingi.

Sema dada zao wana viuno vya kwenda na hawajui kukataa kulombana wao wanaita kulombana.
 
Ni kweli ila tatizo lao ni UCHAWI!!,unaambiwa ukimkabidhi mmakonde akulindie shamba lako ukifanya mchezi utalisahau!!!!,,,nenda maeneo ya mikocheni,pugu na kote unapopajua,,,,kuna mapagala wamakonde walikabidhiwa kuyalinda mpaka leo wenyewe wameyasahau...nenda pale maeneo ya chuo cha kodi ukajionee
Hizo ni stori zenu tu! Ila wamakonde wapo mbali na masuala ya ushirikina,ni watu wa dining vibaya mno
 
Hizo ni stori zenu tu! Ila wamakonde wapo mbali na masuala ya ushirikina,ni watu wa dining vibaya mno
hamna bhana!! ata roho yako inajua wamakonde ni wachawi ila kwa vile wewe ni mmakonde ubongo wako unakataa!! ilikuaje magufuli akakwepa moshi wa upepo usimpate pale mtwara?? bila shekh mkuu sijui ingekuaje!!
 
hamna bhana!! ata roho yako inajua wamakonde ni wachawi ila kwa vile wewe ni mmakonde ubongo wako unakataa!! ilikuaje magufuli akakwepa moshi wa upepo usimpate pale mtwara?? bila shekh mkuu sijui ingekuaje!!
Wewe ulipataje taarifa hiyo
 
Yote ni sahihi ila upande wa elimu hapana. Hawana interest na elimu hata kidogo
 
Ni kweli ila tatizo lao ni UCHAWI!!,unaambiwa ukimkabidhi mmakonde akulindie shamba lako ukifanya mchezi utalisahau!!!!,,,nenda maeneo ya mikocheni,pugu na kote unapopajua,,,,kuna mapagala wamakonde walikabidhiwa kuyalinda mpaka leo wenyewe wameyasahau...nenda pale maeneo ya chuo cha kodi ukajionee
Hahaha uchawi upo kila kabila Mwanza wanajivunia Wachawi wao mmoja wapo Mwanamalundi mboni watu hawasemi, kule Arusha na Kilimanjaro ambako kila mwisho wa mwaka Christmas wanaenda kuyafukua makaburi kuchinja kumwaga damu juu ya kaburi na kuinywa damu ya mnyama mboni husemi wachaga kwenye maduka yao wanaweka nini, acha uzuzu
 
Back
Top Bottom