Simba lunyasi
JF-Expert Member
- Sep 28, 2022
- 385
- 840
Hii timu hamna kitu, yaani timu inayomtegemea mchezaji mmoja Kila mechi ndio upate ushindi?
Siku uyo mchezaji akipatwa na majeraha ni wataomba mechi ihairishwe?
Itoshe kusema Yanga hamna timu pale.
Ukimtoa Mayele, Yanga ni majimaji tu
Siku uyo mchezaji akipatwa na majeraha ni wataomba mechi ihairishwe?
Itoshe kusema Yanga hamna timu pale.
Ukimtoa Mayele, Yanga ni majimaji tu