Ukweli usemwe, Yanga siyo bora kama tunavyo aminishwa

maneno Aina hii yalisemwa kipindi tumepoteza kwa Ihefu kilicho fuata ni aibu
 
Jamaa ana kitu huyu asipuuzwe
 
Waachane na focus ya kucheza pira biriyani na kufunga magoli mengi sijui 5G. Timu ifocus kwenye kutafuta points tatu muhimu kila mechi. Msimu uliopita Simba alifunga magoli mengi sana na alipoteza mechi moja tu ila kwasababu ya kuzalisha draws 7 kizembe zembe hakubeba ndoo pamoja na viungo wake wengi kua kwenye viwango bora sana.
 
Kuna tatizo gani mbna ushauri umekuwa mwingi.. inamaana yanga haipaswi kupata Sare
 
Kuna tatizo gani mbna ushauri umekuwa mwingi.. inamaana yanga haipaswi kupata Sare
Walevi wengi hii nchi, kwenye ligi ya NBC mpaka sasa Yanga ndio ina takwimu bora kuliko timu linatoka jitu huko na hasira limechaniwa mkeka lina anzisha lawama za kijinga
 
Ishu ilikuwa ni mapumziko kama nilivyokwambia toka awali ila wewe ukakosa ustahimilifu ukaanza kuiponda timu
Kazi ya shabiki ni mbili Tu...
Kushangilia timu inapofanya poa...
Kuponda inapodolora
 
Nadhani ni mipango tu, Tanzania tuna team nzuri.. unajua bana mpira ni calculations. Afcon ya mwaka huu kwa mfano tu, imetoa tafsiri ya hisabati za mpira. Na hapo kwenye hisabati ndo bado tunafeli
Hesabu haidanganyi, pitia na piga kura yako

 
Simba hii ambayo ipo shirikisho au ipi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…