ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
maneno Aina hii yalisemwa kipindi tumepoteza kwa Ihefu kilicho fuata ni aibuKuanzia Kule mapinduzi Zanzibar, Yanga walicheza soka la hovyo Sana wakasingizia kina Pacome hawapo lakini leo wote walikuepo hadi forward jipya la mchongo. Ila ni upuuuuuzi mtupu.
Naitabiria Simba msimu mzuri na wanachukua makombe yote muhimu kuanzia FA hadi la Ligi kama walivobeba Ngao ya jamii kibabe.
Hata huko kimataifa ni tia maji tia maji tu, hamna cha ajabu Simba ataenda robo Yanga watarudi kujipanga.
Sio kwamba wewe ndio mgonjwa wa akili huku jamii forum..kwendahuko na timu lako bovu la yanga.Unaumwa wewe
Jamaa ana kitu huyu asipuuzweKuanzia Kule mapinduzi Zanzibar, Yanga walicheza soka la hovyo Sana wakasingizia kina Pacome hawapo lakini leo wote walikuepo hadi forward jipya la mchongo. Ila ni upuuuuuzi mtupu.
Naitabiria Simba msimu mzuri na wanachukua makombe yote muhimu kuanzia FA hadi la Ligi kama walivobeba Ngao ya jamii kibabe.
Hata huko kimataifa ni tia maji tia maji tu, hamna cha ajabu Simba ataenda robo Yanga watarudi kujipanga.
Kuna tatizo gani mbna ushauri umekuwa mwingi.. inamaana yanga haipaswi kupata SareWaachane na focus ya kucheza pira biriyani na kufunga magoli mengi sijui 5G. Timu ifocus kwenye kutafuta points tatu muhimu kila mechi. Msimu uliopita Simba alifunga magoli mengi sana na alipoteza mechi moja tu ila kwasababu ya kuzalisha draws 7 kizembe zembe hakubeba ndoo pamoja na viungo wake wengi kua kwenye viwango bora sana.
Walevi wengi hii nchi, kwenye ligi ya NBC mpaka sasa Yanga ndio ina takwimu bora kuliko timu linatoka jitu huko na hasira limechaniwa mkeka lina anzisha lawama za kijingaKuna tatizo gani mbna ushauri umekuwa mwingi.. inamaana yanga haipaswi kupata Sare
Ishu ilikuwa ni mapumziko kama nilivyokwambia toka awali ila wewe ukakosa ustahimilifu ukaanza kuiponda timuBila huu Uzi Yanga isingeamka usingizini [emoji2]
SawaKesho ndo utaelewa kadri gape linavopungua Simba wanazidi kua Bora na hizi game zimepangwa kimkakati mno Yanga atakua anapoteza Simba anashinda
Hesabu haidanganyi, pitia na piga kura yakoNadhani ni mipango tu, Tanzania tuna team nzuri.. unajua bana mpira ni calculations. Afcon ya mwaka huu kwa mfano tu, imetoa tafsiri ya hisabati za mpira. Na hapo kwenye hisabati ndo bado tunafeli
Haya tumekusikia bingwa la FA,BINGWA WA LIGI ...... USINENE UKAMALA ....Kesho ndo utaelewa kadri gape linavopungua Simba wanazidi kua Bora na hizi game zimepangwa kimkakati mno Yanga atakua anapoteza Simba anashinda
Simba hii ambayo ipo shirikisho au ipiKuanzia Kule mapinduzi Zanzibar, Yanga walicheza soka la hovyo Sana wakasingizia kina Pacome hawapo lakini leo wote walikuepo hadi forward jipya la mchongo. Ila ni upuuuuuzi mtupu.
Naitabiria Simba msimu mzuri na wanachukua makombe yote muhimu kuanzia FA hadi la Ligi kama walivobeba Ngao ya jamii kibabe.
Hata huko kimataifa ni tia maji tia maji tu, hamna cha ajabu Simba ataenda robo Yanga watarudi kujipanga.