Ukweli usemwe Yanga wamefika mwisho, ligi ya mabingwa sio lelemama

Ukweli usemwe Yanga wamefika mwisho, ligi ya mabingwa sio lelemama

Twende kimahesabu tuache uchale, Yanga ana points 2, amebakisha mechi 2 za nyumbani, mwarabu na Medeama na anamalizia kwa Al Ahly.Anaweza kumfunga Medeama na mwarabu hapa nyumbani lakini kule Misri labda sare, akijitahidi saaaaana, hiyo sare yenyewe labda mwarabu awe amefuzu na mechi moja mkononi, otherwise tusidanganyane.

Al Ahly ana point 5 tayari, anamsubiri Yanga nyumbani, anatakiwa aende Ghana kwa Medeama na aende Algeria kwa mwarabu mwenzake, ina maana ana mechi 1 tu nyumbani na Yanga, mechi 2 anatoka nje.

Medeama ana mechi 1 nyumbani nayo ni dhidi ya Al Ahly, mechi 2 anatoka kwenda kwa Yanga na Mwarabu wa Algeria yaan CRB.Yanga iombe Medeama ifungwe na Al Ahly nyumbani ili ikapate unafuu kule Misri ila Al Ahly akifungwa pale Ghana, iwe jua iwe mvua lazima akoge kule Misri.Hata mkatoe misaada kwa yatima wote kule Misri kufa ni haki yenu.

CRB ana pointi 4 ss hv baada ya kusare nyumbani kwa Al Ahly leo, anamsubiri Medeama na Al Ahly kwao, kwa Medeama atachukua 3 atakuwa na saba, atachukua 1 au 3 kwa ahly ameshafuzu huyo.

Yaani no way out, Yanga lazima amfunge CRB na Medeama hapa kwa Mkapa vinginevyo ameyaaga mashindano abaki asubiri kucheza na akina Mashujaa na Ihefu na uchale mwingi nje ya uwanja.Semaji lenu lenye rangi nyeupe lilishasema mechi kule Ghana ni ngumu na michuano hii ni migumu jamani, haya mwenzenu mliyempiga 4 anacheza kesho.Kila la heri.
Habari za siku ndugu. Vipi hii ramli yako uliyoipiga imefikia wapi
 
Twende kimahesabu tuache uchale, Yanga ana points 2, amebakisha mechi 2 za nyumbani, mwarabu na Medeama na anamalizia kwa Al Ahly.Anaweza kumfunga Medeama na mwarabu hapa nyumbani lakini kule Misri labda sare, akijitahidi saaaaana, hiyo sare yenyewe labda mwarabu awe amefuzu na mechi moja mkononi, otherwise tusidanganyane.

Al Ahly ana point 5 tayari, anamsubiri Yanga nyumbani, anatakiwa aende Ghana kwa Medeama na aende Algeria kwa mwarabu mwenzake, ina maana ana mechi 1 tu nyumbani na Yanga, mechi 2 anatoka nje.

Medeama ana mechi 1 nyumbani nayo ni dhidi ya Al Ahly, mechi 2 anatoka kwenda kwa Yanga na Mwarabu wa Algeria yaan CRB.Yanga iombe Medeama ifungwe na Al Ahly nyumbani ili ikapate unafuu kule Misri ila Al Ahly akifungwa pale Ghana, iwe jua iwe mvua lazima akoge kule Misri.Hata mkatoe misaada kwa yatima wote kule Misri kufa ni haki yenu.

CRB ana pointi 4 ss hv baada ya kusare nyumbani kwa Al Ahly leo, anamsubiri Medeama na Al Ahly kwao, kwa Medeama atachukua 3 atakuwa na saba, atachukua 1 au 3 kwa ahly ameshafuzu huyo.

Yaani no way out, Yanga lazima amfunge CRB na Medeama hapa kwa Mkapa vinginevyo ameyaaga mashindano abaki asubiri kucheza na akina Mashujaa na Ihefu na uchale mwingi nje ya uwanja.Semaji lenu lenye rangi nyeupe lilishasema mechi kule Ghana ni ngumu na michuano hii ni migumu jamani, haya mwenzenu mliyempiga 4 anacheza kesho.Kila la heri.
Mbumbumbu unaendeleaje... unaonaje huu umbumbumbu wako
 
Najua mnataka Simba ifeli ili tufanane. Yanga Ni Mtoto Sana kwa haya mashindano. Klabu bingwa si lelemama.

Yanga imetumia miaka 26 kukusanya pointi 2,Simba imetumia wiki 2 na mechi 2 kupata points 2.

Yanga wao Ni kukimbia tu uwanjani ili kuonekana wanaupiga mwingi. Hanna mipango. Approach ya kucheza na Geita,Dodoma jiji Ndiyo Hiyo hiyo wanaitumia klabu bingwa.
Mungu siku zote huwaumbua sana wachawi.

Unajisikiaje kwa sasa
 
Gamondi alikuwa anasafiria upepo wa Yanga ya Nani na upepo umeisha.

Ila Yanga ajitahidi tu awe anashika nafasi ya Pili au ya 3 ktk ligi ili akacheze shirikisho. Huku Ndiyo saizi yao.

Yanga Ni wadogo Sana mwenye klabu bingwa.

Kazi kukimbia hovyo uwanjani bila mipango Eti Ndiyo kuupiga mwingi.

Gamond hamna kocha mle!
Na bado mechi ya marudiano tutawabaka 7
 
Twende kimahesabu tuache uchale, Yanga ana points 2, amebakisha mechi 2 za nyumbani, mwarabu na Medeama na anamalizia kwa Al Ahly.Anaweza kumfunga Medeama na mwarabu hapa nyumbani lakini kule Misri labda sare, akijitahidi saaaaana, hiyo sare yenyewe labda mwarabu awe amefuzu na mechi moja mkononi, otherwise tusidanganyane.

Al Ahly ana point 5 tayari, anamsubiri Yanga nyumbani, anatakiwa aende Ghana kwa Medeama na aende Algeria kwa mwarabu mwenzake, ina maana ana mechi 1 tu nyumbani na Yanga, mechi 2 anatoka nje.

Medeama ana mechi 1 nyumbani nayo ni dhidi ya Al Ahly, mechi 2 anatoka kwenda kwa Yanga na Mwarabu wa Algeria yaan CRB.Yanga iombe Medeama ifungwe na Al Ahly nyumbani ili ikapate unafuu kule Misri ila Al Ahly akifungwa pale Ghana, iwe jua iwe mvua lazima akoge kule Misri.Hata mkatoe misaada kwa yatima wote kule Misri kufa ni haki yenu.

CRB ana pointi 4 ss hv baada ya kusare nyumbani kwa Al Ahly leo, anamsubiri Medeama na Al Ahly kwao, kwa Medeama atachukua 3 atakuwa na saba, atachukua 1 au 3 kwa ahly ameshafuzu huyo.

Yaani no way out, Yanga lazima amfunge CRB na Medeama hapa kwa Mkapa vinginevyo ameyaaga mashindano abaki asubiri kucheza na akina Mashujaa na Ihefu na uchale mwingi nje ya uwanja.Semaji lenu lenye rangi nyeupe lilishasema mechi kule Ghana ni ngumu na michuano hii ni migumu jamani, haya mwenzenu mliyempiga 4 anacheza kesho.Kila la heri.
vipi umeisha tawaza?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Twende kimahesabu tuache uchale, Yanga ana points 2, amebakisha mechi 2 za nyumbani, mwarabu na Medeama na anamalizia kwa Al Ahly.Anaweza kumfunga Medeama na mwarabu hapa nyumbani lakini kule Misri labda sare, akijitahidi saaaaana, hiyo sare yenyewe labda mwarabu awe amefuzu na mechi moja mkononi, otherwise tusidanganyane.

Al Ahly ana point 5 tayari, anamsubiri Yanga nyumbani, anatakiwa aende Ghana kwa Medeama na aende Algeria kwa mwarabu mwenzake, ina maana ana mechi 1 tu nyumbani na Yanga, mechi 2 anatoka nje.

Medeama ana mechi 1 nyumbani nayo ni dhidi ya Al Ahly, mechi 2 anatoka kwenda kwa Yanga na Mwarabu wa Algeria yaan CRB.Yanga iombe Medeama ifungwe na Al Ahly nyumbani ili ikapate unafuu kule Misri ila Al Ahly akifungwa pale Ghana, iwe jua iwe mvua lazima akoge kule Misri.Hata mkatoe misaada kwa yatima wote kule Misri kufa ni haki yenu.

CRB ana pointi 4 ss hv baada ya kusare nyumbani kwa Al Ahly leo, anamsubiri Medeama na Al Ahly kwao, kwa Medeama atachukua 3 atakuwa na saba, atachukua 1 au 3 kwa ahly ameshafuzu huyo.

Yaani no way out, Yanga lazima amfunge CRB na Medeama hapa kwa Mkapa vinginevyo ameyaaga mashindano abaki asubiri kucheza na akina Mashujaa na Ihefu na uchale mwingi nje ya uwanja.Semaji lenu lenye rangi nyeupe lilishasema mechi kule Ghana ni ngumu na michuano hii ni migumu jamani, haya mwenzenu mliyempiga 4 anacheza kesho.Kila la heri.
Wakati wenzenu tunajizuia kuandika ujinga muwe mnajifunza.
 
Gamondi alikuwa anasafiria upepo wa Yanga ya Nani na upepo umeisha.

Ila Yanga ajitahidi tu awe anashika nafasi ya Pili au ya 3 ktk ligi ili akacheze shirikisho. Huku Ndiyo saizi yao.

Yanga Ni wadogo Sana mwenye klabu bingwa.

Kazi kukimbia hovyo uwanjani bila mipango Eti Ndiyo kuupiga mwingi.

Gamond hamna kocha mle!
Enheeei unasemaje........
 
Wewe nawe kama haujui mambo ya mpira bora ujikalie kimya heshima yako kidogo uliyonayo uendelee nayo.

Yanga hadi sasa kacheza mechi 3 kaambulia points 2. Bado mechi 3 zingine ambazo hata akishinda hawezi kufika points 12 unazosema wewe.

Kule kwa Al Ahly anakula kipigo, CRB anamkazia hapa nyumbani sare ama kipigo pia.

Huyo Medeama labda ndiyo timu pekee mnaweza kuifunga hapa nyumbani.
Enheee rudi tuzungumze ulicho kiandika......
 
Tusiongopeane wala kufarijiana kinafki ukweli ni kuwa mechi rahisi kwa Yanga ilikuwa ni hii

Kujipa hope kuwa utapata matokeo kwa Cr Belouzidad binafsi nafasi ya hilo kuwezekana naiona ni finyu sana.

Hata wenyewe sidhani kama wana hayo matarajio kwa asilimia kubwa. Focus ya Yanga kwa saizi naona ni bora kuweka nguvu kwenye NBC
Kwema mkuu
 
Tusiongopeane wala kufarijiana kinafki ukweli ni kuwa mechi rahisi kwa Yanga ilikuwa ni hii

Kujipa hope kuwa utapata matokeo kwa Cr Belouzidad binafsi nafasi ya hilo kuwezekana naiona ni finyu sana.

Hata wenyewe sidhani kama wana hayo matarajio kwa asilimia kubwa. Focus ya Yanga kwa saizi naona ni bora kuweka nguvu kwenye NBC
Yanga wameshatoka CAF champions
 
Back
Top Bottom