Simba lunyasi
JF-Expert Member
- Sep 28, 2022
- 385
- 840
Anatokea Upande Ule Wanaogombea Haki Za KifuaniSijawahi kuwa mtabiri, lakini leo ngoja nijaribu kutabiri ;Mtoa post jiandae kwa matusi tu katika uzi huu🙊
Hadi wewe umekubali!Kikubwa VISIT TANZANIA imeonekana
Wewe utakuwa kibaraka wa Fred vunjapriceAnatokea Upande Ule Wanaogombea Haki Za Kifuani
Simba Jersey Zao Zipo Poa Na Nzuri Sana
Yaani sijui anatuonaje mkuu? Yaani anashindwa hata kukopi jezi Kali ya huko mambele? Kila mara anatuletea jezi hovyohovyoHuyu vunjabei ana tuchukulia poa sana..
Asante Kwa mchango wako[emoji120][emoji120]Kikubwa VISIT TANZANIA imeonekana
Yaani hayo madaso yanauzwa elf35? Kweli mbumbu FC ni shamba la Bibi!Low price Huendana na low quality.. Sasa jezi ya 50,000/= Huwezi linganisha ubora na matambala ya 35,000/=
Yaani Mikia [emoji881] safari hii mmepigwa za Uso kwelikweli
Haya matambala ingefaa muuziwe hata efu 7500/=, Jezi kama gagulo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
W ni guluguja kweli, watu wanawaza malengo makubwa ya kufika mbali zaidi kimafanikio w unaongelea mambo ayo hayakupeleki kokote....ngoja tusubir utopolo kama hyo jezi itawasadia kufunga magoli. W ni utopolo bila kupepesa macho.Hivi Uongozi wa Simba kwanini usitoe masharti kwa Vunja bei yenye kumfanya atengeneze jezi zenye viwango vyao klabu kama Simba? Yaani kitendo cha kumpa mkataba ambao haumbani ndio kinachofanya tuletewe haya madekio ambayo hata sokoni yataenda kudoda.
Jezi hazina ubunifu wowote, jezi hazina ubora wowote yaani ni Bora liende tu. Kwa kuwa mtani kazindua jezi eti nayeye vunja bei ili asionekane yupo nyuma nayeye kaleta matambala yake sokoni..
Kiufupi vunjabei anapaswa ajitafakali maana jezi za hii miaka miwili ya udhamini wake ni takataka sana[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]View attachment 2509772
[emoji2][emoji2][emoji2]Kikubwa VISIT TANZANIA imeonekana