Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,629
- 34,199
Wanasiasa wote nia yao ni moja: Pesa na Madaraka.
Kwenye pesa na madaraka kikweli haijalishi ni chama gani, mtauana.
Hizi kelele za katiba zinapigwa na watu wasionufaika na katiba iliyopo, ila ikitokea na wao wakapata madaraka ndani ya katiba hii hii, msitegemee tena katiba ya Warioba. Sahauni kabisa.
Suluhisho kamili ni namna ya kuwafanya wanasiasa waheshimu matakwa ya wananchi.
Katiba haipaswi kuwa jambo la mwanasiasa kwasababu siku zote anajiangalia yeye tu namna anavyowrza kunufaika.
Wananchi tupambanie mamlaka ydtu kwa uangalifu, ila tuhakikishe hayaanguki mikononi mwa chama cha siasa tena.
Kwenye pesa na madaraka kikweli haijalishi ni chama gani, mtauana.
Hizi kelele za katiba zinapigwa na watu wasionufaika na katiba iliyopo, ila ikitokea na wao wakapata madaraka ndani ya katiba hii hii, msitegemee tena katiba ya Warioba. Sahauni kabisa.
Suluhisho kamili ni namna ya kuwafanya wanasiasa waheshimu matakwa ya wananchi.
Katiba haipaswi kuwa jambo la mwanasiasa kwasababu siku zote anajiangalia yeye tu namna anavyowrza kunufaika.
Wananchi tupambanie mamlaka ydtu kwa uangalifu, ila tuhakikishe hayaanguki mikononi mwa chama cha siasa tena.