Ndenji five
JF-Expert Member
- Nov 1, 2021
- 1,985
- 3,109
Mkopo ni laanaYessss! Utakuwa ni tajiri sana maana kukopesha kwa riba ni uhuni mkubwa na dini zote zimekataza
Daaaa !!!! [emoji1787][emoji1787]Kariakoo nimeuziwa jeans hilo ukivuta kidogo tu linatatuka daah
Hizo jeans zinakuwa zishaoza kwahiyo wanachofanya wanawapa wale wanangu wanaomwaga chini wapige mnada. Au wao wenyewe wanakuonesha jeans ya sample unaiona ipo fresh ila kwenye kufungiwa sasa ndo unapewa zilizooza.Kariakoo nimeuziwa jeans hilo ukivuta kidogo tu linatatuka daah
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hizo jeans zinakuwa zishaoza kwahiyo wanachofanya wanawapa wale wanangu wanaomwaga chini wapige mnada. Au wao wenyewe wanakuonesha jeans ya sample unaiona ipo fresh ila kwenye kufungiwa sasa ndo unapewa zilizooza.
Ilinikuta hiyo 2020 nikachukua mzigo wa duka wa kutosha, nilichokutana nacho sitokuja kusahau daima. Ndo maana siku hizi nikitaka kununua kiwalo dukani lazima nikikague kama vile kina kunguni
Duh! Oil?Siku hizi hadi oil chafu inachemshwa inatoka mpya watu wanauza ya kupima kwenye chupa za maji kuanzia lita 1 na kuendelea
Noma sana saivi oil chafu hadi imepanda bei kutoka 10k kwa litre 20 hadi 20k kwa litre 20Duh! Oil?
Sijaona alieandika kuhusu kuibiwa pesa kimazingara!Biashara ni nyepesi kwenye makaratasi
Kifupi unataka kutuambia kuwa kupigwa kwenye nchi zetu za dunia ya tatu hakukwepeki...Ni matumaini yangu hamjambo wakuu,
Moja kwa moja kwenye mada, nimefanya utafiti karibu biashara zote kubwa na ndogo aisee my friend biashara haitaki usamalia.
Hakuna mfanyabiashara kafanikiwa bila kufanya uhuni, biashara zina uhuni mwingi sana, kuna jamaa ni tajiri mkubwa sana alikuwa ana duka la vifaa vya kielectronic
Jamaa alikuwa anachanganya mzigo OG na fake, alikuwa anaenda China kuchongewa subofer fake mfano anauza subofer za abooder zinakuwemo OG na fake za kuchonga humo humo ndani
Na hii unakuta mmenunua bidhaa moja kwenye duka moja ila ww yako inachoka mapema ya mwenzako inapeta
Kwenye mabaa pombe fekii ni nyingi sana, Simu ndio usiseme,, Nguo hapa ndio balaaa
Watu wanatafuta asali kuna jamaa wananunua asali Mpanda na Tabora kisha wanazitia maji na kuzipika
Maduka ya vifaa vya ujenzi Rangi, Cement nk yana vitu feki vingi sana,, ukienda dukan kuchukua rangi ukaikosa then mwenye duka akakuambia wanaweza kuchanganya kuwa makini sana kuna kupigwa hapo ww ulitaka Plascon ambayo inauzwa laki 2 na kitu utachanganyiwa Robbialac za laki na nusu
Hii iwafikie ma- interpreneur wote biashara haitaki usamalia utaanza na mtaji wa mil 6 baada ya mda utajikuta unarudi nyuma biashara za faida halali ni chache sana zinazokua