Ukweli usioujua kuhusu biashara

Ukweli usioujua kuhusu biashara

Mimi namshukuru Mungu nimekula chumvi,nina uhakika na hili jambo nitakalo kuambia.....
UKWELI wafanya biashara baadhi huyafanya hayo.........lakini maisha yao yanakuwa ya mateso sana,mfano kama hatakuwa na mtoto teja,atasumbuliwa na maradhi au mitihani katika ndoa au mikosi na balaa za kila aina.
Kwa wale wanaofanya halali inakuwa ni kunyume chake......kwenye kodi hawaibi hata mia,hawadhulumu mtu,wanatoa sadaka,hutoa misaada sana na kamwe hawataki kutangazwa.
 
Kariakoo nimeuziwa jeans hilo ukivuta kidogo tu linatatuka daah
Hizo jeans zinakuwa zishaoza kwahiyo wanachofanya wanawapa wale wanangu wanaomwaga chini wapige mnada. Au wao wenyewe wanakuonesha jeans ya sample unaiona ipo fresh ila kwenye kufungiwa sasa ndo unapewa zilizooza.

Ilinikuta hiyo 2020 nikachukua mzigo wa duka wa kutosha, nilichokutana nacho sitokuja kusahau daima. Ndo maana siku hizi nikitaka kununua kiwalo dukani lazima nikikague kama vile kina kunguni
 
Hizo jeans zinakuwa zishaoza kwahiyo wanachofanya wanawapa wale wanangu wanaomwaga chini wapige mnada. Au wao wenyewe wanakuonesha jeans ya sample unaiona ipo fresh ila kwenye kufungiwa sasa ndo unapewa zilizooza.

Ilinikuta hiyo 2020 nikachukua mzigo wa duka wa kutosha, nilichokutana nacho sitokuja kusahau daima. Ndo maana siku hizi nikitaka kununua kiwalo dukani lazima nikikague kama vile kina kunguni
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hapo kwenye cement ni mwendo wa kupiga bomba kila mfuko unapunguzwa 5kg hadi 10kg

Kwenye nondo kuna nondo za kimagumashi kuanzia ubora mdogo na dimensions za uongo, utakuta nondo ya 12mm iko kama ya 10mm. Na zinauzwa bei sawa na zile zenyewe mafundi ndo huwa wanazitambua
 
Vitu feki feki na watu wanasifu hali hiyo
Hii yote lakn ni sabb ya jamii wengi ni wa kipato cha chini
 
Nyie biashara ni ngumu sana ndo maana statistics za mwaka jana ya sensa zinasema vijana waliomaliza chuo wengi wanasubiri ajira. Wengine wamejiajiri na wengine wamekataa kujiajiri wanasema liwalo na liwe.
Tatizo ni kwamba unakuta wengi hawana family background kuhusu biashara so unapoanza biashara huna background ni kama unaanza na sifuri sasa Kuna matatu, eidha upandishe hiyo sifuri au ubaki hapohapo au udondoke kwenye negatives.
Ndo maana usijaribu kitu chochote bila kujua risks zake.
Pia kitu jingine ukijifanya Mtakatifu sana kwenye biashara hutoboi, katafute ajira.
 
Ni matumaini yangu hamjambo wakuu,

Moja kwa moja kwenye mada, nimefanya utafiti karibu biashara zote kubwa na ndogo aisee my friend biashara haitaki usamalia.

Hakuna mfanyabiashara kafanikiwa bila kufanya uhuni, biashara zina uhuni mwingi sana, kuna jamaa ni tajiri mkubwa sana alikuwa ana duka la vifaa vya kielectronic

Jamaa alikuwa anachanganya mzigo OG na fake, alikuwa anaenda China kuchongewa subofer fake mfano anauza subofer za abooder zinakuwemo OG na fake za kuchonga humo humo ndani

Na hii unakuta mmenunua bidhaa moja kwenye duka moja ila ww yako inachoka mapema ya mwenzako inapeta

Kwenye mabaa pombe fekii ni nyingi sana, Simu ndio usiseme,, Nguo hapa ndio balaaa

Watu wanatafuta asali kuna jamaa wananunua asali Mpanda na Tabora kisha wanazitia maji na kuzipika

Maduka ya vifaa vya ujenzi Rangi, Cement nk yana vitu feki vingi sana,, ukienda dukan kuchukua rangi ukaikosa then mwenye duka akakuambia wanaweza kuchanganya kuwa makini sana kuna kupigwa hapo ww ulitaka Plascon ambayo inauzwa laki 2 na kitu utachanganyiwa Robbialac za laki na nusu

Hii iwafikie ma- interpreneur wote biashara haitaki usamalia utaanza na mtaji wa mil 6 baada ya mda utajikuta unarudi nyuma biashara za faida halali ni chache sana zinazokua
Kifupi unataka kutuambia kuwa kupigwa kwenye nchi zetu za dunia ya tatu hakukwepeki...
 
Back
Top Bottom