Ukweli Vs Usiri katika MMU....Ni taarifa kiasi gani apewe mwenza?

Kwenye suala la hisia zako za kimapenzi...asilimia ngapi iwe real na ngapi iwe usanii??

Hivi kwani ukitoa chini ya 100% lazima sehemu inayobaki ijazwe ba usanii?!

Nadhani waweza sema unayoona uko tayari kwa wakati ule mengine ukayaacha kama vile hayapo badala ya kuamsaniisha mwenzako!!
 
Well

hiiz sredi za time hizi inabidi kuzijibu jua likiwaka manake pande nilipo ni kiza kinene

hivi DC unamanisha encounter ya mwana JF wa kiume kwa mwanaJF wa kike sio....

orait

Hapana mkuu,

Simaanishi vituo vya mapumziko i.e mahali pa kuchimaba dawa aisee!
 
Hivi kwani ukitoa chini ya 100% lazima sehemu inayobaki ijazwe ba usanii?!

Nadhani waweza sema unayoona uko tayari kwa wakati ule mengine ukayaacha kama vile hayapo badala ya kuamsaniisha mwenzako!!

Lizzy...realities ziki-unfold utajua tu kwamba...bila usanii hakuna mechi ya kwenye 6 x 6....hivi vitu ni mapacha wasioweza kutenganishwa!

Ngoja babu Asprin aje afafanue vizuri zaidi!!
 
Mengi katika past relationship hayana uzito wa kuitwa siri kwa hiyo useme usiseme bado unakuwa huru unless kama hiyo past bado unaambatana nayo kwa mfano labda ulipata mtoto katika maisha yako ya nyuma.

In most cases ukiwa mtu wa kubwabwaja bila kuulizwa inaweza kumfanya ulonae akubwage kwani kutamka tamka mpenzi wako wa nyuma ni kama kumkoga mwenzio.

Huwa sizungumzii kabisa past relationships zangu kwani naamini itaishia kwenye ugomvi tu maana hata nikimwambia jamaa kuwa yeye ni much better bado anaweza kudhani am not telling the truth.

But that depends; mimi na yeye hatuongelei past kwa kuwa tulikutana wote tukiwa single hamna aliyemuiba mwenzie. Kama uhusiano ulianza wakati mmoja au wote mlikuwa kwenye relationships hapo mwanawani hamna cha kuficha kwani you all know each other's last partner, tena wakati mwingine mpaka kwa sura; sasa kwa hapo kuongelea kunasaidia kupeana uhakika kuwa the past is the past.

Nimeongelea past relationship; Tukija mambo ya bedroom kwa kweli hayo mazungumzo ni mwiko! Hata kwa wanaume wenye vimada nawashauri muepuke kuongelea mambo yenu ya kitandani na wake zenu, hiyo ni dharau iliyopitiliza. Kwa kweli ukiona mwanaume anakusimulia mambo yake ya kitandani na x wake iwe anabonda au anasifu jua huyo ni hatari sana. Mkiachana atasimulia wengine. Ni ujinga. A gentleman hazungmzii vibaya kuhusu wanawake hata kama wameachana kwa ubaya. Kwa hiyo mimi naku disqualify ukibonda your ex lover.
 


Safi kabisa dada,

Kwenye 6 x6, ningependa kusikia unalisemeaje suala la kumpa mwenzio feedback baada ya kufunga mahesabu ya kutwa mzima....Unashauri tuseme ukweli kwa asilimia ngapi na usanii ubaki kiasi gani???

Vipi mambo ya mafweza...Tuseme au kila mtu afe na account yake???


Current (dubious) relations je????

Tupe ma uzoefu yako kwenye hizo pia!!
 
babu mi nafikiri hakuna siri yeyote unatakiwa kuwa nayo ukiwa na mwenza , mnatakiwa muwe wawazi sana ili isije kosesha uaminifu, coz hakuna siri inayokaa milele, huwa zinabumburuka then hapo inapoteza kabisa uaminifu
mmmmmmhhhhh kina mama hamuna muamana bana,siku tukikorofishana (hasa ukinifumania au nikizaa nje) siri zangu za magendo na kuwakwepa TRA si utazianika kwa Kova?
 
mmmmmmhhhhh kina mama hamuna muamana bana,siku tukikorofisha siri zangu za magendo na kuwakwepa TRA si utazianika kwa Kova?

Nilijua tu kuwa Babu Asprin hayuko peke yake katika kuhakikisha kuwa kila kitu ni 100% undisclosed!!
 

Ngoja nicheke kwanza halafu ndio nitoe ushauri dah
 
Nilijua tu kuwa Babu Asprin hayuko peke yake katika kuhakikisha kuwa kila kitu ni 100% undisclosed!!
Mkuu inaweza isiwe 100% lakini yale nyeti sana ushauri kwa couples ni kuyatunza mwenyewe rohoni mwako maana bana huwezi jua,mi nshashuhudia mke wa mtu anakwenda kwa katibu mkuu wa mmewe na copy za mazabe anayofanya mmewe,jamaa aliishia segerea mama anahangaika na watoto.
 

Sawa sasa tueleze...unashauri asilimia ngapi ziwekwe mezani kwenye conference ya wanandoa???

Halafu kuna mijamaa nasikia inaficha habari zao za fweza kwa 100%, hiyo unatumia kichwa halisi au Masaburi??
 

Nadhani umenisoma DC
DA...........
 

Nadhani umenisoma DC
DA...........

Moja tu la mwisho...Yaani kigezo cha kulala uchi ndio kinakufanya umwambie kila kitu?? Kwani akitokea XY leo hamtalala uchi?

Na endapo amekuboa sana kwa kushindwa kufikia matarijio yake ya siku hiyo unampa ukweli right away??

samahani kama nimezidi!!
 
Sawa sasa tueleze...unashauri asilimia ngapi ziwekwe mezani kwenye conference ya wanandoa???

Halafu kuna mijamaa nasikia inaficha habari zao za fweza kwa 100%, hiyo unatumia kichwa halisi au Masaburi??

mie ni mkweli 100% kitandani tu, umeniridhisha/hujaniridhisha...menginryo ni 50-50 kutokana na uzito wa jambo.
 
mie ni mkweli 100% kitandani tu, umeniridhisha/hujaniridhisha...menginryo ni 50-50 kutokana na uzito wa jambo.

Kwa maana hiyo msukuma wako akishindwa kibarua unamwabia live ...na vibao juu???

Sasa dada, ukifikia hapo si itabidi uwe unakaa macho (bila kumbua hata kidogo) ili uhakikishe unapata 100% returns on investment???

Halafu.....hivi vitu vinaitwa fake peaks vinaokeaga wapi??

Mimi bado naanimi usanii na mambo ya 6x6 havitenganishwi kama kidole na pete.
 


'Usanii' kwa maana ya ku fake orgasms au sanaa kwa maana ya 'art' ya manjonjo?
 

wakati ule wa gal/boyfrnd alikuwa kama ananishangaa fulani nikimuambia, alivyokuja kunizoea akaona kawaida sana, yap! namwambia leo hollaa my frnd sio lazima ajikunje kwa cku hiyo hiyo kuniridhisha but akitulia atanipa kinachostahili, c wangu bwna sasa nimwambie nani?.....mie sio msanii kabisa kwenye hilo jambo aisee, napenda kula nishibe!
 
Kuhusu 6 X 6 najua wanaume in most round wanakuwa satisfied 100% Mimi sina haja ya kumwambia level ya satisfaction yangu kwa kuwa jamaa anajua kabisa ku evaluate kazi alofanya. Ila huwa namsifia saaana akifanya kazi yake ipaswavyo kwa sababu najua ina mfanya a feel good. Akiifanya vibaya sisemi kitu ni yeye mwenyewe ndo anakiri kuchemka na mimi naongezea tu kuwa asijali we can do it better next time..

Fweza yangu ni yak hivyo hata dili nalopiga nje ya mshahara huwa naiweka wazi. tuna joint account. Mimi pesa hazinichukulii muda kwenye uhusiano.


Current dubious relationship??? I don't have and never had any. Na sitegemei hata yeye akiwa nayo anambie I have to do my research to know. Ila napenda kukiri kuwa kuna siku jamaa alikiri kuwa na crush na mdada nadhani ilikuwa first experience kwake na ilimuumiza so we had to abstain mpaka acheki afya yake. Kwa kweli I was speechless na nilishindwa hata kumsema kwani he was crying; mpaka leo ni years nimeshindwa kuuliza details za hiyo one night stand naogopa kuonekana kero kwani alikiri mwenyewe angeweza kunificha tukafa na ngoma so at least kukiri kwake kumenifanya nimuone ananijali.







 

Nitarudi baadaye nikitoka sokoni kuhemea!
 
Hii sredi maadam imerushwa na babu mwenzangu,

Ngoja leo tupate uzoefu wa wajukuu zetu.

Afu mwishoooooooni kabisa nitatoa mauzoefu yangu kwanini bibi yenu mpaka leo hajabanduka ubavuni mwangu na miaka yote hii lukuki ya ndoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…