Ukishasema uungu wa fulani teyari ni tatizo,maana hata wanaoabudu ng'ombe pia wanaweza kukwambia huelewi uungu wa ng'ombe.
Uungu haugawanyiki maana Mungu ni mmoja tu na ana sifa zake hivyo huwezi kuniambia et uungu wa Yesu siuelewi,labda huo uungu wa Yesu ni kwa ajiri ya wakristo tu na si yule Mungu muumba na ndiyo maana unasema waislamu hawawezi kumuelewa.
Usichelewe sana kuileta ndugu kabla kiu haijaisha.BADO NAIFUATILIA ASILI YA WAARABU NA WAISRAELI.KUNA JAMAA HAPA WANASEMA MITUME WALE WAISRAELI KUWA NI WAO WAKATI HUO HUO WAO WANAWAITA WAISRAEL MAKAFIRI....
Kuna mada nitaileta itawavunja vunja na kuwasambaratisha hao watu.STAY TUNED
Ni kweli maana Mungu wa wakristo ni mfano wa binaadamu ambao hao binaadamu ni viumbe wa waliyoumbwa na Mungu muumba,hivyo ni kweli haiwezekani Muumba akawa mfano wa kiumbe ambacho kimeumbwa na yeye.Ni kweli kabisa Uungu wa Yesu ni kwa ajili ya wakristo. Mungu wa mwislamu hafanani kamwe na wa mkristo, kama huyo mkristo anaelewa kikamilifu maana ya kuwa mkristo.
Mungu wa waislamu anafanana na nini? Anaonekanaje? Ulishawahi kumwona?Ni kweli maana Mungu wa wakristo ni mfano wa binaadamu ambao hao binaadamu ni viumbe wa waliyoumbwa na Mungu muumba,hivyo ni kweli haiwezekani Muumba akawa mfano wa kiumbe ambacho kimeumbwa na yeye.
Unajua ukiuondoa uislamu basi imani karibu zote zimeugawa uungu kwa viumbe vilivyoumbwa na Muumba,na ndiyo utaona mungu jua,mungu ng'ombe,mungu Yesu..na hivyo vyote vimeumbwa.
Yaani ulivyoandika kuwa ni kuanzia Leo kama vile wewe ni Mungu wa Waislamu!! Hahahaa
Mtoa mada kama unaijua koraan vizuri kasome tena vizuri au kama huijui vizuri tafuta ajuae akufafanilie urudi hapa usahihishe ulichoandika
Mkuu hakuna aliyewahi kumuona Mungu na wala Mungu hajafanana na chochote,mbona haya mambo hata kwenye biblia yameelezwa.Mungu wa waislamu anafanana na nini? Anaonekanaje? Ulishawahi kumwona?
aca kuongea uso yajua dini ya ki islam haiend na matakwa wala mawazo kila kitu kisha wekwa waziiWewe na huyo Kipozeo wote mambumbu hamjui kitu, mmedandia treni la waarabu tu mnapelekwa kama ng'ombe. Ule msalaba aliovaa Diamond sio wa Yesu, ile inaitwa Ethiopian cross na Rastafari wengi wanavaa ile kitu. Naweza kusema aina ya muziki na collable na Morgan Heritage ndio maana Diamond akavaa kwenye video. Mwambie Kipozeo atafute kazi ya kufanya maana hajui kitu.
aca kuongea uso yajua dini ya ki islam haiend na matakwa wala mawazo kila kitu kisha wekwa wazii
Mkuu hakuna aliyewahi kumuona Mungu na wala Mungu hajafanana na chochote,mbona haya mambo hata kwenye biblia yameelezwa.
Watu wanapopinga madai yenu ya kumwita Yesu ni Mungu si kwamba wameamua tu bali Yesu hana hizo sifa za Mungu kama biblia ilivyoelezwa na wala Mungu hajafanana na chochote,ukisoma sifa za Mungu kwenye biblia utaona.
Mkuu tofautisha sifa za Mungu na imani ya wakristo juu ya Yesu,mie nimejikita kwenye sifa za Mungu na siko huko kwenye imani za wakristo kuhusu Yesu.Unadhani Yesu sasa yuko wapi? Je, waislamu wanatambua kuwa Mungu ni Roho? Na kama wanatambua hivyo, wanaelewaje?
Huna unachokijua kuhusu Yesu, Yasu na Isa, kakojoe ulale. Yesu ni myahud na wewe ni mmatumbi wapi na wapi. Ongea habari za akina mwanamalundi, MKWAWA, KINJEKITILE mungu atakuelewa vizuri. Hiyo misahafu na bible unayotokea mapofu ziliwafikia wamatumbi kwa bahati mbaya tu kwa kutumia madhumuni ofu ya uporaji wa mali na utu wetu.Nilimsikiliza sheikh kipozeo wakati akimzungumzia dimondi
Sina shida na alichosema kuhusu huyu mtoto wa Kiislamu bali kilichonifanya niandike haya ni maneno yake kwamba dimond kuvaa msalaba anakubali kuwa Isa alisulubiwa wakati wao Waislamu wanaamini Isa hakusulubiwa
Huenda alichosema ni sahihi kabisa lakini kuna vitu akawa havielewi
Isa = zeruzeru
Yesu = mkombozi
Au Kiebrania yehosua = Mungu mkombozi
Historia inatueleza Isa alizaliwa katika chini ya mti wa mtende lakini qurani haitaji nchi ila inasema alizaliwa mchana na mama yake ni Mariamu
Hii ni stori tofauti na inayotupa bible
Kiarabu Yesu inatamkwa Yasu na sio Isa kama Waislamu wanavyowaaminisha wenzao kuwa ni Isa
Historia ya bible inasema Yesu Kristo au Yasu kwa Kiarabu alizaliwa nchini Israeli,katika mji wa Bethlehemu na katika hori la ngo'mbe hiyo ni bible inasema hivyo
Ukiangalia kwa makini huyu Isa utagundua sio Yesu kabisa na hata kuzaliwa kwao ni tofauti na hata walichokuja kuhubiri ni tofauti
Isa alikuja kuhubiri dini mpya ya mwenyezi Mungu kwa mujibu wa historia
Wakati Yesu alikuja kuwakomboa watu na dhambi zao
So kuanzia leo Waislamu wajue Yesu sio Isa kama wanavyoaminishwa
Na wala Isa sio Yesu kama wanavyoaminishwa
Nawasilisha tu
Huna unachokijua kuhusu Yesu, Yasu na Isa, kakojoe ulale. Yesu ni myahud na wewe ni mmatumbi wapi na wapi. Ongea habari za akina mwanamalundi, MKWAWA, KINJEKITILE mungu atakuelewa vizuri. Hiyo misahafu na bible unayotokea mapofu ziliwafikia wamatumbi kwa bahati mbaya tu kwa kutumia madhumuni ofu ya uporaji wa mali na utu wetu.Nilimsikiliza sheikh kipozeo wakati akimzungumzia dimondi
Sina shida na alichosema kuhusu huyu mtoto wa Kiislamu bali kilichonifanya niandike haya ni maneno yake kwamba dimond kuvaa msalaba anakubali kuwa Isa alisulubiwa wakati wao Waislamu wanaamini Isa hakusulubiwa
Huenda alichosema ni sahihi kabisa lakini kuna vitu akawa havielewi
Isa = zeruzeru
Yesu = mkombozi
Au Kiebrania yehosua = Mungu mkombozi
Historia inatueleza Isa alizaliwa katika chini ya mti wa mtende lakini qurani haitaji nchi ila inasema alizaliwa mchana na mama yake ni Mariamu
Hii ni stori tofauti na inayotupa bible
Kiarabu Yesu inatamkwa Yasu na sio Isa kama Waislamu wanavyowaaminisha wenzao kuwa ni Isa
Historia ya bible inasema Yesu Kristo au Yasu kwa Kiarabu alizaliwa nchini Israeli,katika mji wa Bethlehemu na katika hori la ngo'mbe hiyo ni bible inasema hivyo
Ukiangalia kwa makini huyu Isa utagundua sio Yesu kabisa na hata kuzaliwa kwao ni tofauti na hata walichokuja kuhubiri ni tofauti
Isa alikuja kuhubiri dini mpya ya mwenyezi Mungu kwa mujibu wa historia
Wakati Yesu alikuja kuwakomboa watu na dhambi zao
So kuanzia leo Waislamu wajue Yesu sio Isa kama wanavyoaminishwa
Na wala Isa sio Yesu kama wanavyoaminishwa
Nawasilisha tu
Kwa hiyo hizo sifa za Mungu umezitoa wapi? Na ni kitu gani kinachokuaminisha kuwa Mungu ana hizo sifa unazoziamini wewe?Mkuu tofautisha sifa za Mungu na imani ya wakristo juu ya Yesu,mie nimejikita kwenye sifa za Mungu na siko huko kwenye imani za wakristo kuhusu Yesu.
The religious affiliation of the Israeli population as of 2011 was 75.4% Jewish, 16.9% Muslim, 2.1% Christian, and 1.7% Druze, with the remaining 4.0% belonging to minor faiths such as Samaritanism, Baha'iism or no religion.BADO NAIFUATILIA ASILI YA WAARABU NA WAISRAELI.KUNA JAMAA HAPA WANASEMA MITUME WALE WAISRAELI KUWA NI WAO WAKATI HUO HUO WAO WANAWAITA WAISRAEL MAKAFIRI....
Kuna mada nitaileta itawavunja vunja na kuwasambaratisha hao watu.STAY TUNED
Mkuu hizo sifa zipo kwenye biblia,sasa hiyo imani ya wakristo juu ya Yesu imekuja baadaye na inapingana na sifa za Mungu.Kwa hiyo hizo sifa za Mungu umezitoa wapi? Na ni kitu gani kinachokuaminisha kuwa Mungu ana hizo sifa unazoziamini wewe?
acha kujizonga ndugu...hiyo bible imeshushwa kutoka wapi? lete andiko bible imeshushwa,nani kaishusha na kwenda kwa nani? na ilishushwa kwa mechanism ipi?Its true story ya Yesu kwenye Bible ni tofauti na Qur'an inavyomzungumzia Issah bina Marium...Naamini bible coz ndio ya kwanza kushushwa b4 Qur'an...
Mkuu hizo sifa zipo kwenye biblia,sasa hiyo imani ya wakristo juu ya Yesu imekuja baadaye na inapingana na sifa za Mungu.
Sasa mkristo anaamini Yesu ni Mungu na alikufa,ni kinyume na sifa Mungu kufa.
Kama Qur'an ilivyoshushwa.....maandiko ni mengi tafuta Bible usome now cko na muda wa quotes ...that is why imejaa na imekamilika hiyo Qur'an nahis jamaa alisoma bible akameza baadhi ya sehemu akaanza kutiririka ukadhani imeshushwa...kama huamini roho mtakatifu huwezi kuelewa..acha kujizonga ndugu...hiyo bible imeshushwa kutoka wapi? lete andiko bible imeshushwa,nani kaishusha na kwenda kwa nani? na ilishushwa kwa mechanism ipi?