Tman900
JF-Expert Member
- May 30, 2017
- 589
- 1,897
Katika Dunia, kuna mengi ila mume/mke ulie nae, unaeza kuta katika ukweli wa ndani wa moyo wake wala wewe ulie nae sio chaguo lake, ila yuko na wewe ili mladi tu maisha yaende.
Yaani unaeza kuta mwanaume/mwanamke yuko katika uhusiano lakini hisia zake na upendo wake wa dhati uko kwa mwingine kabisa.
Miyoyo ya wanadamu imebeba mengi, ikitokea ukapata nafasi ya kuujua ukweli wa mwenza uliyenae ndio utajua binadamu wanasiri katika nafsi zao.
Nanuukuu kauli, "Kweli nimeolewa unadhani mimi nampenda mume wangu, wala hayuko Moyoni mwangu!"
Yaani kwa hii kauli ilinibidi nikae kwenye kiti nikatafakari sana, kwa jinsi Binadamu tulivyo.
Tembea ujionee mengi, zungumza na watu usikie zaidi na zaidi.
Yaani unaeza kuta mwanaume/mwanamke yuko katika uhusiano lakini hisia zake na upendo wake wa dhati uko kwa mwingine kabisa.
Miyoyo ya wanadamu imebeba mengi, ikitokea ukapata nafasi ya kuujua ukweli wa mwenza uliyenae ndio utajua binadamu wanasiri katika nafsi zao.
Nanuukuu kauli, "Kweli nimeolewa unadhani mimi nampenda mume wangu, wala hayuko Moyoni mwangu!"
Yaani kwa hii kauli ilinibidi nikae kwenye kiti nikatafakari sana, kwa jinsi Binadamu tulivyo.
Tembea ujionee mengi, zungumza na watu usikie zaidi na zaidi.