Ukweli wa Erick Kabendera ndio huu

Ukweli wa Erick Kabendera ndio huu

Kwanza kabisa niwape pole familia ya kabendera,wengi wanaogopa kusema ukweli na makosa ya kabendera kwa upande wake ,kwakua wataonekana hawana ubinaadamu,
Lakini kama nchi ,kabendera aliikosea sana akaangalia maslahi yake akamtukana raisi atakavyo akainanga serikali atakavyo eti leo hii kuna watu ni watetezi wake,na bado jeshi la polisi lilitoa sababu kwanini lilimkamata kwa kumvamia kwa kuwa alikaidi wito,je hapo hatuoni makosa ya kabendera,
Kwanini alikuwa hataki kuitikia wito kama huna kosa polisi ni rafiki na kwenda polisi sio kwamba umefungwa tayari ni mahojiano.
Kabendera alikuwa anaonyesha jeuri kuwa nyuma yake kuna ubalozi wa mmarekani na uingereza.
Ndio maana alikuwa anakaidi,bwana huyo anaonekana ana mambo mengi mabaya ana tuhuma za kukwepa kodi na kutakatisha fedha bado kuna watu wanatetea je mnaujua undani wake ilihali wengine wanakamatwa italy kwa kwa kusafirisha madawa.
Tuwache kupiga mayowe waachwe jeshi la polisi,
mahakama wafanye kazi yao,
Ndio watakao toa maamuzi ya haki na sheria.
Angalizo hawezi kuwa mfungwa bila ya kutiwa hatiani na mahakama!
Bila shaka watakufuata pm kukuuliza unataka cheo gani. Jakaya atakumbukwa kwa uhuru wa kutoa maoni huyu atakumbukwa kwa kupambana na rushwa,wapingaji na kuu....wapinzani
 
Uovu haujawahi shinda haki na MTU muovu ajawahi kuwa na Amani
 
Kwanza kabisa niwape pole familia ya kabendera,wengi wanaogopa kusema ukweli na makosa ya kabendera kwa upande wake ,kwakua wataonekana hawana ubinaadamu,
Lakini kama nchi ,kabendera aliikosea sana akaangalia maslahi yake akamtukana raisi atakavyo akainanga serikali atakavyo eti leo hii kuna watu ni watetezi wake,na bado jeshi la polisi lilitoa sababu kwanini lilimkamata kwa kumvamia kwa kuwa alikaidi wito,je hapo hatuoni makosa ya kabendera,
Kwanini alikuwa hataki kuitikia wito kama huna kosa polisi ni rafiki na kwenda polisi sio kwamba umefungwa tayari ni mahojiano.
Kabendera alikuwa anaonyesha jeuri kuwa nyuma yake kuna ubalozi wa mmarekani na uingereza.
Ndio maana alikuwa anakaidi,bwana huyo anaonekana ana mambo mengi mabaya ana tuhuma za kukwepa kodi na kutakatisha fedha bado kuna watu wanatetea je mnaujua undani wake ilihali wengine wanakamatwa italy kwa kwa kusafirisha madawa.
Tuwache kupiga mayowe waachwe jeshi la polisi,
mahakama wafanye kazi yao,
Ndio watakao toa maamuzi ya haki na sheria.
Angalizo hawezi kuwa mfungwa bila ya kutiwa hatiani na mahakama!
Wewe mbona hujaacha polisi na mahakama vifanue yao, huo ukweli wako umehukumiwa na mahakama gani? Mbona ninasema anatakatisha fedha na kukwepa kodi? Juha wewe!
 
Kwanza kabisa niwape pole familia ya kabendera,wengi wanaogopa kusema ukweli na makosa ya kabendera kwa upande wake ,kwakua wataonekana hawana ubinaadamu,
Lakini kama nchi ,kabendera aliikosea sana akaangalia maslahi yake akamtukana raisi atakavyo akainanga serikali atakavyo eti leo hii kuna watu ni watetezi wake,na bado jeshi la polisi lilitoa sababu kwanini lilimkamata kwa kumvamia kwa kuwa alikaidi wito,je hapo hatuoni makosa ya kabendera,
Kwanini alikuwa hataki kuitikia wito kama huna kosa polisi ni rafiki na kwenda polisi sio kwamba umefungwa tayari ni mahojiano.
Kabendera alikuwa anaonyesha jeuri kuwa nyuma yake kuna ubalozi wa mmarekani na uingereza.
Ndio maana alikuwa anakaidi,bwana huyo anaonekana ana mambo mengi mabaya ana tuhuma za kukwepa kodi na kutakatisha fedha bado kuna watu wanatetea je mnaujua undani wake ilihali wengine wanakamatwa italy kwa kwa kusafirisha madawa.
Tuwache kupiga mayowe waachwe jeshi la polisi,
mahakama wafanye kazi yao,
Ndio watakao toa maamuzi ya haki na sheria.
Angalizo hawezi kuwa mfungwa bila ya kutiwa hatiani na mahakama!
Usihukumu mtu kabla mahakama haijatoa hukumu. Mimi sina tatizo na mtu yeyote kukamatwa, kinachotakiwa ni polisi kufuata taratibu za kumkamata mtu kisheria, na mtuhumiwa aelezwe kwa nini anakamatwa. Sio hii ya mara tumemkamata kwa kosa la uraia, mara baada ya siku uchochezi mara baada ya siku utakatishaji fedha hii sio sahihi. Na unapomkamata mtuhumiwa nyumbani kwake polisi watoe taarifa kwa mwenyekiti wa kitongoji au ndugu mahali au kituo cha polisi anakopelekwa mtuhumiwa.
 
Wewe acha unazi.kwann police wakaenda Kama watu wasiojulikana?gari halina namba,wako kiraia,Nia yao ilikua kumteka baada ya kuona wananchi wamejitokeza watauwawa wakaamua kunitambulisha
 
Kwanza kabisa niwape pole familia ya kabendera,wengi wanaogopa kusema ukweli na makosa ya kabendera kwa upande wake ,kwakua wataonekana hawana ubinaadamu,
Lakini kama nchi ,kabendera aliikosea sana akaangalia maslahi yake akamtukana raisi atakavyo akainanga serikali atakavyo eti leo hii kuna watu ni watetezi wake,na bado jeshi la polisi lilitoa sababu kwanini lilimkamata kwa kumvamia kwa kuwa alikaidi wito,je hapo hatuoni makosa ya kabendera,
Kwanini alikuwa hataki kuitikia wito kama huna kosa polisi ni rafiki na kwenda polisi sio kwamba umefungwa tayari ni mahojiano.
Kabendera alikuwa anaonyesha jeuri kuwa nyuma yake kuna ubalozi wa mmarekani na uingereza.
Ndio maana alikuwa anakaidi,bwana huyo anaonekana ana mambo mengi mabaya ana tuhuma za kukwepa kodi na kutakatisha fedha bado kuna watu wanatetea je mnaujua undani wake ilihali wengine wanakamatwa italy kwa kwa kusafirisha madawa.
Tuwache kupiga mayowe waachwe jeshi la polisi,
mahakama wafanye kazi yao,
Ndio watakao toa maamuzi ya haki na sheria.
Angalizo hawezi kuwa mfungwa bila ya kutiwa hatiani na mahakama!
pumbavu huna lolote.Nilivyoona ni zombie la Lumumba sijahangaika kusoma.
 
Nchi zilizoendelea raisi anachanwa lakini hakuna mtu anakamatwa, sisi tumebaki na tabia zetu za kizamani. Kama muandishi anaamua kuandika uharo mwache aandike, hakuna litakalo haribika. Mambo mengine tunajitakia wenyewe, kwani raisi amepungukiwa kitu gani kutokana na hayo maandishi. Tatizo letu wantanzania ego imetuzidi, mtu akiwa kiongozi basi anakua mungu mtu, hata yesu alitukanwa itakuja kuwa magufuli. Haki yao wazungu watuseme.

Wenzetu wana dili na Ishu kubwa za kusaidia watu wao hawashindi mitandaoni kutoa maagizo kamkamate yule,au kudukua Simu za watu,au personal Ishu MTU kakosana na kimada wake,wako bize na issues za kitaifa.
 
Yaani buku 7 ndio inakufanya ujitoe ufahamu kiasi hiki
 
Kwanza kabisa niwape pole familia ya kabendera,wengi wanaogopa kusema ukweli na makosa ya kabendera kwa upande wake ,kwakua wataonekana hawana ubinaadamu,
Lakini kama nchi ,kabendera aliikosea sana akaangalia maslahi yake akamtukana raisi atakavyo akainanga serikali atakavyo eti leo hii kuna watu ni watetezi wake,na bado jeshi la polisi lilitoa sababu kwanini lilimkamata kwa kumvamia kwa kuwa alikaidi wito,je hapo hatuoni makosa ya kabendera,
Kwanini alikuwa hataki kuitikia wito kama huna kosa polisi ni rafiki na kwenda polisi sio kwamba umefungwa tayari ni mahojiano.
Kabendera alikuwa anaonyesha jeuri kuwa nyuma yake kuna ubalozi wa mmarekani na uingereza.
Ndio maana alikuwa anakaidi,bwana huyo anaonekana ana mambo mengi mabaya ana tuhuma za kukwepa kodi na kutakatisha fedha bado kuna watu wanatetea je mnaujua undani wake ilihali wengine wanakamatwa italy kwa kwa kusafirisha madawa.
Tuwache kupiga mayowe waachwe jeshi la polisi,
mahakama wafanye kazi yao,
Ndio watakao toa maamuzi ya haki na sheria.
Angalizo hawezi kuwa mfungwa bila ya kutiwa hatiani na mahakama!

Hatuwezi yaamini sababu hatujasikia ajapewa nafasi tuyasikie hizo tuhuma ni kweli.
 
Baada ya miaka kadhaa:Mahakama imemfutia mashitaka Kabendera baada ya DPP kutoa notice ya kutokuwa na nia ya kuendelea na kesi!!!!

Wadau: daaaaaaah,Mungu yupo!


!
!
Mkuu Huyu Jamaa Aliyeleta Post Ni Wa Kumpuuza Tu. Anajifanya Haoni Haki Zinavyopindishwa. Usikute Anaona Sawa Kabisa Mtu Kufatwa Na Mabunduki Kwa Kumtukana Tu Mkewe Je Akimpiga Si Wataenda Na Vifaru Na Makomandoo
 
Kwanza kabisa niwape pole familia ya kabendera,wengi wanaogopa kusema ukweli na makosa ya kabendera kwa upande wake ,kwakua wataonekana hawana ubinaadamu,
Lakini kama nchi ,kabendera aliikosea sana akaangalia maslahi yake akamtukana raisi atakavyo akainanga serikali atakavyo eti leo hii kuna watu ni watetezi wake,na bado jeshi la polisi lilitoa sababu kwanini lilimkamata kwa kumvamia kwa kuwa alikaidi wito,je hapo hatuoni makosa ya kabendera,
Kwanini alikuwa hataki kuitikia wito kama huna kosa polisi ni rafiki na kwenda polisi sio kwamba umefungwa tayari ni mahojiano.
Kabendera alikuwa anaonyesha jeuri kuwa nyuma yake kuna ubalozi wa mmarekani na uingereza.
Ndio maana alikuwa anakaidi,bwana huyo anaonekana ana mambo mengi mabaya ana tuhuma za kukwepa kodi na kutakatisha fedha bado kuna watu wanatetea je mnaujua undani wake ilihali wengine wanakamatwa italy kwa kwa kusafirisha madawa.
Tuwache kupiga mayowe waachwe jeshi la polisi,
mahakama wafanye kazi yao,
Ndio watakao toa maamuzi ya haki na sheria.
Angalizo hawezi kuwa mfungwa bila ya kutiwa hatiani na mahakama!
Huna lolote wewe hayo matukio yamefanyika lini?mungu mtu akisemwa tuu ndiyo mnakurupuka na kesi za kipuuzi
 
Kwanza kabisa niwape pole familia ya kabendera,wengi wanaogopa kusema ukweli na makosa ya kabendera kwa upande wake ,kwakua wataonekana hawana ubinaadamu,
Lakini kama nchi ,kabendera aliikosea sana akaangalia maslahi yake akamtukana raisi atakavyo akainanga serikali atakavyo eti leo hii kuna watu ni watetezi wake,na bado jeshi la polisi lilitoa sababu kwanini lilimkamata kwa kumvamia kwa kuwa alikaidi wito,je hapo hatuoni makosa ya kabendera,
Kwanini alikuwa hataki kuitikia wito kama huna kosa polisi ni rafiki na kwenda polisi sio kwamba umefungwa tayari ni mahojiano.
Kabendera alikuwa anaonyesha jeuri kuwa nyuma yake kuna ubalozi wa mmarekani na uingereza.
Ndio maana alikuwa anakaidi,bwana huyo anaonekana ana mambo mengi mabaya ana tuhuma za kukwepa kodi na kutakatisha fedha bado kuna watu wanatetea je mnaujua undani wake ilihali wengine wanakamatwa italy kwa kwa kusafirisha madawa.
Tuwache kupiga mayowe waachwe jeshi la polisi,
mahakama wafanye kazi yao,
Ndio watakao toa maamuzi ya haki na sheria.
Angalizo hawezi kuwa mfungwa bila ya kutiwa hatiani na mahakama!

Hujaongea jambo jipya, wenzako wote watetea vyeo wamejikita humo humo kwenye kutetea uovu.
 
Kwanza kabisa niwape pole familia ya kabendera,wengi wanaogopa kusema ukweli na makosa ya kabendera kwa upande wake ,kwakua wataonekana hawana ubinaadamu,
Lakini kama nchi ,kabendera aliikosea sana akaangalia maslahi yake akamtukana raisi atakavyo akainanga serikali atakavyo eti leo hii kuna watu ni watetezi wake,na bado jeshi la polisi lilitoa sababu kwanini lilimkamata kwa kumvamia kwa kuwa alikaidi wito,je hapo hatuoni makosa ya kabendera,
Kwanini alikuwa hataki kuitikia wito kama huna kosa polisi ni rafiki na kwenda polisi sio kwamba umefungwa tayari ni mahojiano.
Kabendera alikuwa anaonyesha jeuri kuwa nyuma yake kuna ubalozi wa mmarekani na uingereza.
Ndio maana alikuwa anakaidi,bwana huyo anaonekana ana mambo mengi mabaya ana tuhuma za kukwepa kodi na kutakatisha fedha bado kuna watu wanatetea je mnaujua undani wake ilihali wengine wanakamatwa italy kwa kwa kusafirisha madawa.
Tuwache kupiga mayowe waachwe jeshi la polisi,
mahakama wafanye kazi yao,
Ndio watakao toa maamuzi ya haki na sheria.
Angalizo hawezi kuwa mfungwa bila ya kutiwa hatiani na mahakama!
Tukubali kuwa uko sahihi. Sasa je, polisi nao walikuwa sawa kuanzia ukamataji na ufunguzi wa kesi dhidi yake?

Vv
 
Bora unyamaze kuliko kupoteza muda wa watu kusoma hadithi za kitoto hivi.
Kama Kabendera kafanya makosa ya kumuandika vibaya Rais na kuisema nchi yake kwa nini anashtakiwa kwa uhujumu uchumi na money laundry?
Huo huoni kuwa ni uhuni? Ni kuwa Kabendera hana alilofanya kuvunja sheria na sasa serikali imeamua kumbambika kesi.
Kumbe hata serikali inabambika watu kesi?
Huu ndio upumbav.u wa elimu ya taarifa, nyinyi mnaishi na kabendera na kujua maisha yake kwa kila anachofanya?? mtu yeyote anaposhitakiwa kwa kosa lolote, hiyopeke yake inaalika wachunguzi kuchunguza makosa mengine juu ya mtu huyu, unaweza shitakiwa kwa kosa la wizi wa ndoo kumbe pia wewe ni mbakaji, kuna ajabu gani hapo..cha muhimu pale kesi inapofika kwenye vyombo vya kutoa haki makosa yote unayoshitakiwa nayo yathibitishwe bila shaka yoyote..imesemwa kabendera ni mshirika wa makundi ya uhalifu..hao waliosema hivyo wamepekua emails zake, simu nk sasa utashangaa vipi kama mtu anashirikiana na mtandao wa uhalifu kimataifa kuwa na kosa la kutakatisha pesa?? tumieni akili kuona zaidi ya unachosikia hata kama elimu yenu mlisoma kwa kufundishwa taarifa tu na si maarifa.
 
Hebu tupe mifano kadhaa ya jinsi Rais alivyotukanwa, halafu Unatoa 'pole' kwa familia ya Kabendera wakati huo huo unaona ni sawa kwa madhila anayopitia Kabendera!!?
 
Kwanza kabisa niwape pole familia ya kabendera,wengi wanaogopa kusema ukweli na makosa ya kabendera kwa upande wake ,kwakua wataonekana hawana ubinaadamu,
Lakini kama nchi ,kabendera aliikosea sana akaangalia maslahi yake akamtukana raisi atakavyo akainanga serikali atakavyo eti leo hii kuna watu ni watetezi wake,na bado jeshi la polisi lilitoa sababu kwanini lilimkamata kwa kumvamia kwa kuwa alikaidi wito,je hapo hatuoni makosa ya kabendera,
Kwanini alikuwa hataki kuitikia wito kama huna kosa polisi ni rafiki na kwenda polisi sio kwamba umefungwa tayari ni mahojiano.
Kabendera alikuwa anaonyesha jeuri kuwa nyuma yake kuna ubalozi wa mmarekani na uingereza.
Ndio maana alikuwa anakaidi,bwana huyo anaonekana ana mambo mengi mabaya ana tuhuma za kukwepa kodi na kutakatisha fedha bado kuna watu wanatetea je mnaujua undani wake ilihali wengine wanakamatwa italy kwa kwa kusafirisha madawa.
Tuwache kupiga mayowe waachwe jeshi la polisi,
mahakama wafanye kazi yao,
Ndio watakao toa maamuzi ya haki na sheria.
Angalizo hawezi kuwa mfungwa bila ya kutiwa hatiani na mahakama!
Wewe mdigo tumeshakufahamu vzr. Ww endelea tuu na ujjinga wako
 
Kwanza kabisa niwape pole familia ya kabendera,wengi wanaogopa kusema ukweli na makosa ya kabendera kwa upande wake ,kwakua wataonekana hawana ubinaadamu,
Lakini kama nchi ,kabendera aliikosea sana akaangalia maslahi yake akamtukana raisi atakavyo akainanga serikali atakavyo eti leo hii kuna watu ni watetezi wake,na bado jeshi la polisi lilitoa sababu kwanini lilimkamata kwa kumvamia kwa kuwa alikaidi wito,je hapo hatuoni makosa ya kabendera,
Kwanini alikuwa hataki kuitikia wito kama huna kosa polisi ni rafiki na kwenda polisi sio kwamba umefungwa tayari ni mahojiano.
Kabendera alikuwa anaonyesha jeuri kuwa nyuma yake kuna ubalozi wa mmarekani na uingereza.
Ndio maana alikuwa anakaidi,bwana huyo anaonekana ana mambo mengi mabaya ana tuhuma za kukwepa kodi na kutakatisha fedha bado kuna watu wanatetea je mnaujua undani wake ilihali wengine wanakamatwa italy kwa kwa kusafirisha madawa.
Tuwache kupiga mayowe waachwe jeshi la polisi,
mahakama wafanye kazi yao,
Ndio watakao toa maamuzi ya haki na sheria.
Angalizo hawezi kuwa mfungwa bila ya kutiwa hatiani na mahakama!
Mkuu, pub zimefunguliwa saa ngapi?
 
Usihukumu mtu kabla mahakama haijatoa hukumu. Mimi sina tatizo na mtu yeyote kukamatwa, kinachotakiwa ni polisi kufuata taratibu za kumkamata mtu kisheria, na mtuhumiwa aelezwe kwa nini anakamatwa. Sio hii ya mara tumemkamata kwa kosa la uraia, mara baada ya siku uchochezi mara baada ya siku utakatishaji fedha hii sio sahihi. Na unapomkamata mtuhumiwa nyumbani kwake polisi watoe taarifa kwa mwenyekiti wa kitongoji au ndugu mahali au kituo cha polisi anakopelekwa mtuhumiwa.
wewe unawafundisha Polisi kazi, umetuhumiwa na makosa ukaitwa polisi uende kwa hiyari ukakataa halafu unawapangia waje kukuchukua unavyotaka wewe..akili ya ma.pumbu kabisa hii.
 
Hv huu upuuzi mnaondikaga hapa kisa buku saba una uhakika ametakatisha fedha? Unapompa kesi ya kumnyima dhamana si umemfunga tu hapo leo rugemalila ana miaka mingapi jela jinga kabisa ww na mtu akishikwa na madawa ya kulevya inatuhusu nini sisi hio ni personal interest zake
Wewe ndio unauhakika hajatakatisha fedha...
Kama unaushahidi lete usibeze bila maelezo
 
Back
Top Bottom