Ukweli wa Erick Kabendera ndio huu

Ukweli wa Erick Kabendera ndio huu

Mbona bandiko lako linaonyesha na wewe hamna unachojua kuhusu huyu mwanahabari
 
Nawewe unajiona umeandikaaaa!!
Hakuna mtu anakataa kuchukua hatua dhidi ya wahalifu,lakini hii style ya kubambikia watu kesi kwa sababu tu wana mitazamo tofauti na yako ni ushamba na upuuzi wa hali ya juu!
Yaani hata mtu mwenye akili ndogo anaona wazi wazi kwamba jamaa anasingiziwa makosa makubwa kwa sababu maalum!

Haiwezekani mtu mmoja unasema umemkamata kwa kosa X, kesho unasema hapana ni kosa Y,kesho kutwa unasema sio Y ni Z!

Siku mbili baadaye unasema yale yote X,Y,na Z si makosa unayomshtaki kwayo,ila ni D,C na F! Hii ni dalili ya wazi kwamba alikamatwa makosa yake hayajulikani,makosa yametafutwa baada ya kumkamata baaas!

Sisi sio wajinga!
 
Hv huu upuuzi mnaondikaga hapa kisa buku saba una uhakika ametakatisha fedha? Unapompa kesi ya kumnyima dhamana si umemfunga tu hapo leo rugemalila ana miaka mingapi jela jinga kabisa ww na mtu akishikwa na madawa ya kulevya inatuhusu nini sisi hio ni personal interest zake
Wewe unayesema madawa ya kulevya ni personal, ni jinga! Binafsi Kabendera ni bonge la jinga!! Hao wote unaowataja akina Rugemalira ni kundi la wajinga. Sihitaji kufundishwa na yeyote anayejidai ana huruma.Hakuna nchi inayosifia wapuuzi kama hawa.
 
Kwanza kabisa niwape pole familia ya kabendera,wengi wanaogopa kusema ukweli na makosa ya kabendera kwa upande wake ,kwakua wataonekana hawana ubinaadamu,
Lakini kama nchi ,kabendera aliikosea sana akaangalia maslahi yake akamtukana raisi atakavyo akainanga serikali atakavyo eti leo hii kuna watu ni watetezi wake,na bado jeshi la polisi lilitoa sababu kwanini lilimkamata kwa kumvamia kwa kuwa alikaidi wito,je hapo hatuoni makosa ya kabendera,
Kwanini alikuwa hataki kuitikia wito kama huna kosa polisi ni rafiki na kwenda polisi sio kwamba umefungwa tayari ni mahojiano.
Kabendera alikuwa anaonyesha jeuri kuwa nyuma yake kuna ubalozi wa mmarekani na uingereza.
Ndio maana alikuwa anakaidi,bwana huyo anaonekana ana mambo mengi mabaya ana tuhuma za kukwepa kodi na kutakatisha fedha bado kuna watu wanatetea je mnaujua undani wake ilihali wengine wanakamatwa italy kwa kwa kusafirisha madawa.
Tuwache kupiga mayowe waachwe jeshi la polisi,
mahakama wafanye kazi yao,
Ndio watakao toa maamuzi ya haki na sheria.
Angalizo hawezi kuwa mfungwa bila ya kutiwa hatiani na mahakama!
Mkuu hayaelewagi baadhi ya majitu humu,na wengine wanafanya makusudi kwasababu ya maslahi yao, Kabendera lazima ashughulikiwe kikamilifu maana ni muharifu kama waharifu wengine tu.
 
Nikajua kwenye uzi wako umeandika facts ila baada ya kusoma nimekutana na porojo, upumbavu wa first degree bila kusahau unfounded allegations.

You have written totally rubbish.
Take this shit to the [emoji372]
 
Kwani Mkuu kwanini sasa tunadangaywa kuwa Uhujumu uchumi kumbe hilo siyo tatizo kubwa, maana content nzima ya Andiko lako ni Kumchafua Mfalme wenu.
Halafu Kabendera anafanya biashara gani mpaka aingie Kukwepa Kodi na kuhujmu Uchumi? Hata haingii akilini hata Kidogo.
Malimbukeni na washamba wa madaraka wamepewa nchi,basi imekuwa taabu tupu
 
Mkuu hayaelewagi baadhi ya majitu humu, na wengine wanafanya makusudi kwa sababu ya maslahi yao, Kabendera lazima ashughulikiwe kikamilifu maana ni muharifu kama waharifu wengine tu.
Si heri muongee tu kilugha? Washamba na limbukeni mnatupa tabu kweli kweli humu ndani! Si Kiswahili, si Kimombo...
 
The police doesnt work to suite peoples feelings, from apprehension to interrogations police intends to gather from the suspect any possible acts of breaching the law, you cant force or instruct police on the way, timing and contents to report or write for the suspect..or even not to list other allegations even if revealed during interrogations simply they didnt mention at the start, why people finds it fair when in hospital a malaria patient is finally diagnosed having HIV???
Unfortunately I can not keep discussing with someone who has a low thinking capacity. From the way u write I can tell your IQ level
 
Unfortunately I can not keep discussing with someone who has a low thinking capacity. From the way u write I can tell your IQ level
You r so foolish..thats why you count on the way I write n not on contents, reasoning zero! may be cramming..
 
Si heri muongee tu kilugha? Washamba na limbukeni mnatupa tabu kweli kweli humu ndani! Si Kiswahili, si Kimombo...
Nashukuru wewe umenielewa mkuu tutakua ni kabila moja.
 
Kadai kodi!
Jinga wewe mke wako hajawahi kujutukana?
Mume gani wewe. Mwanaume suruali
Msenge.kumamayo. Je ulimshtaki? Au kumuacha?
Mungu anadhihakiwa mpaka leo mbona hajawaua.
Mramba viatu wa lumumba.mbona jiwe anafanya biashara ikulu
 
Tusi gani alilomtukana raisi na pia polisi wanamkamata mtu kwa kosa tofauti na analoenda kushtakiwa?
 
Kwani Mkuu kwanini sasa tunadangaywa kuwa Uhujumu uchumi kumbe hilo siyo tatizo kubwa, maana content nzima ya Andiko lako ni Kumchafua Mfalme wenu.
Halafu Kabendera anafanya biashara gani mpaka aingie Kukwepa Kodi na kuhujmu Uchumi? Hata haingii akilini hata Kidogo.
Kukwepa kodi na kuhujumu uchumi sio lazima uwe unafanya biashara tu, hata wewe hapo ulipo umeshakwepa sana ndikwega
 
Back
Top Bottom